Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,690
Inasemekana mwanamke asiepata kichapo kizuri cha chakula ya wakubwa mara kwa mara huwa bitter........kama umewahi kufanya kazi chini ya Boss mwanamke au unafanya kazi na wanawake ambao hawapati "ile mwili inataka" wanakuwa wakali wakali tuuuu....wengine wako humu, from nowhere unatukanwa 4 no reason....