Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
- Thread starter
- #321
Babu nitakutafuta nikwambie ni vitu gani niliomba serious kwa mungu na akanifanyia vile nitakavyo vingine hata sistahili kuwa navyo, acha kabisa na utachoka kabisa siku hiyo. Tatizo watu wanaomba bila imani
Sikatai kwamba ukiomba hujibiwi, lakini je ni vyote?.......Kila ulichoomba tangu uzaliwe ulikipata? Vingine naamini hujavipata...to be frank.
sasa itakuwaje hili la kuomba uvumilivu ujiaminishe kuwa lazima ukubaliwe? Usipokubaliwa hutachakachua?