Babu nitakutafuta nikwambie ni vitu gani niliomba serious kwa mungu na akanifanyia vile nitakavyo vingine hata sistahili kuwa navyo, acha kabisa na utachoka kabisa siku hiyo. Tatizo watu wanaomba bila imani
DENA ndio maana nakupenda tungekuwa tunaambiana ukweli na matatizo yangepungua.
Sikatai kwamba ukiomba hujibiwi, lakini je ni vyote?.......Kila ulichoomba tangu uzaliwe ulikipata? Vingine naamini hujavipata...to be frank.
sasa itakuwaje hili la kuomba uvumilivu ujiaminishe kuwa lazima ukubaliwe? Usipokubaliwa hutachakachua?
DENA ndio maana nakupenda tungekuwa tunaambiana ukweli na matatizo yangepungua.
Mbona mnakubali ukweli wa upande mmoja tu jama? asi hata shilingi ina pande mbili au
Stand on what you firmly believe.Heee..kumbe!!! Sikuyajua hayo...!!! kwa hiyo bora nijifanye nisiwe mkweli!!??? Mhhh....hapo kuna kazi!
Kila mtu anamuomba mungu atakacho na anapewa wewe umeshasema msimamo wako uko pale pale kwamba huwezi kua mvumilivu usijali mungu atakulegeza mpaka ushindwe kuvumilia mara mbili ya hapo. Mimi namuomba mungu niwe mvumilivu na nimeona akifanya kazi yake
Stand on what you firmly believe.
Huyo mwanaume sijui katokea sayari ganiKabisa.
Ila kuna mdada mmoja bana mimi alinisimulia (Mie sina ujasiri huo) eti alikuwa kaolewa
lakini alikuwa dah hatulii jamaa akitoka kwenda kazini yeye mtindo mmoja anarudi kabla
hajatoka sasa hana kumbukumbu vizuri wakipiga story anasahau anasema kama leo nilipokuwa
ubungo nimeona hiki mara kile jamaa anamuuliza mbona hukuniambia kama unatoka anamwambia
nilikwenda kunanihii ila aaa jamaa mwenyewe kanichafua tu na kabamia kake na jamaa anafurahi
kuambiwa ukweli kama huo NILICHOKA na hawagombani ng'o kisa mdada kasema ukweli so ukweli
saa nyingine unasaidia my dear. Hii ni kweli kabisa wala si utani
Kabisa.
Ila kuna mdada mmoja bana mimi alinisimulia (Mie sina ujasiri huo) eti alikuwa kaolewa
lakini alikuwa dah hatulii jamaa akitoka kwenda kazini yeye mtindo mmoja anarudi kabla
hajatoka sasa hana kumbukumbu vizuri wakipiga story anasahau anasema kama leo nilipokuwa
ubungo nimeona hiki mara kile jamaa anamuuliza mbona hukuniambia kama unatoka anamwambia
nilikwenda kunanihii ila aaa jamaa mwenyewe kanichafua tu na kabamia kake na jamaa anafurahi
kuambiwa ukweli kama huo NILICHOKA na hawagombani ng'o kisa mdada kasema ukweli so ukweli
saa nyingine unasaidia my dear. Hii ni kweli kabisa wala si utani
Anahutubia nchi nzima, mnasema TF amefanya hikiiiii, amefanya hikiiiiii, amefanya hiki biiiila kumsikiliza
Mi nadhani tatizo ni U-TF,
Kwamba ionekane TF amefanya hayaaaaaaa, ionekane TF amefanya hayaaaaaaa, tumuondolee heshima au tumwajibishe
Nimetafakari sana, kwa niaba ya MMU, kwa niaba ya CPU, nimemwandikia barua Babu ya kuomba niachie ngazi
Hivi ni wewe au naota l.o.l!!!! Ulikuwa umepotelea wapi masai camp au......
Maty bwana umeamua kunihukumu sasa haya bana nitajifunza kuwa mvumilivu dear usijali pole kama nimekukwaza
Huyo ni Maty aliyezaliwa na uvumilivu, je ambao hawajazaliwa nao?
Kumpenda Mungu ni pamoja na kuzishika sheria zake!!
Sio kuosha kikombe kwa nje wakati kwa ndani ni kichafu. Nikukubali udhaifu wako na kumuomba Mungu akupe neema ya kushinda. Nikuikana nafsi na kuacha kumsaidia shetani kazi zake, manake yeye ndio baba wa uovu wote.
Kusali tu haitushi, wala kujifariji ni na nani asiyetenda dhambi haitoshi kukufanya wewe u justify uovu. Kuhusu kujibiwa kwa maombi, Mungu anajibu kwa wakati wake na sio lazima ajibu kama unavyotaka wewe!!
Anakupa kile anachoona ni saizi yako, na kile ambacho utampa Mungu utukufu kwa kuwa nacho.
Sio kweli kwamba hatujui kama tunamkosea Mungu tufanyapo uovu ila tunajitaidi kujihesabia haki, wala hatufanyi toba ya kweli juu ya uovu tuutendao. Tumeshajihalalishia na wala hatutaki kubadilika tunasema haiwezekani. Je ni kweli haiwezekana???
Inawezekana kwa Neema ya Mungu!!!
CPU kula tano.....you have made my day brighter kwa kucheka kimoyomoyo maana hawa wakoloni zangu wasijenimind bure.
Nakusalimu bi dada! Me mcd u! Ivi hisa zangu una take a good look?Acha 2 mkoloni kasimamia kucha.