WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 963
Hahahaaaaaa mi namjua alipo nikuonyeshe nilikutunzia asiibiwe bana
yuko wapi?
Sasa Maty kunifanyia hivyo mwenzio ndo nini?? Unajua vile navyomtafuta halafu huniambii si vizuri bana nionyeshe basi maana sina raha bila yeye si unajua tena
Ha ha ha hah ha WOS wewe acha bana nimecheka mpaka basi
Hahahaaaaaa dena mamy ushaamka lol mzima lakini? sijamuona mwaya nilikua nakutania hv ni kweli hata we hujui alipo maana kapotea sana huyu au mabomu yamemchakachua nini?
umeona eeeeeeee WOS ndio nini kututafutia matatizo na wakoloni asubuhi asubuhi mwe mbavu zangu
Tena matatizo maana nimecheka kwa nguvu kweli mpaka mkoloni katoka ofisini kauliza kulikoni sina jibu
upo Mamii?
Yaani na wasiwasi na hilo la mabomu maana ana shamba kule naogopa mwenzio maana mawasiliano yote not reachable
Aisee yaani hii sredi ndiyo mmeichakachua namna hii?
Ngoja nitafute listi ya wachakachuzi afu nijue cha kufanya
Khaa!:rain::rain:
Uwiiiiiiiiiiiii usifanye nianze kuangusha kilio omwana wa mae yo
Haaa ahaaaa ahaaaaaUwiiiiiiiiiiiii usifanye nianze kuangusha kilio omwana wa mae yo
Well said Mwanamke Wa Sabustance!Hii ni kali na ngumu kusema ukweli.
Hebu tufunge safari ya mawazoni tujifikirie wenyewe kisha tuwe wakweli.Walichofanya hawa watu wawili na hatimaye kufa ni kitu kibaya cha kisaliti ukizingatia urafiki wa kifamilia uliojengeka ukawa kama undugu.
Lakini tuchukulie ni mwanamke ame paralyse je mumewe angekuwa anajihini akisubiri kifo kiwatenganishe? Kiimani ndivyo inavyotakiwa lakini kiuhalisia katika dunia ya dhambi tuwe wakweli ni ngumu hasa kama damu bado inachemka.Wengi hapa watajitahidi kusema watavumilia hadi kifo kije lakini nasita kusema hivyo maana huwezi kujua litakalotokea mbele.
Well Said Kamanda!WomanOfSubstance,
Usisite kusema - Hakuna binadamu anayejua nini kitamtokea baada ya sekunde moja ijayo!
Ukweli ubaki kuwa ukweli tu ...
Leo hii Kyabu anapatata "paralysis" , Inawezekana ni kauguzwa miaka mitano au zaidi kabla ya kuonja mauti! Haiwezekani, narudia tena haiwezekani, Mke wa Kyabu aishi miaka yote hiyo bila kugonoka na wanaume wengine no, never! Sheria za maumbile haziwezi kumruhusu kuwa "mpweke" !
Labda muanzisha mada nitam-PM kumuuliza, kama inawezekana mwanamke aliye katika ndoa kwenda kusoma Ujerumani miaka mitano bila kurejea nyumbani na arudi akiwa "salama"? samahani kwa wale ambao wake zao wako masomoni au kwenye "special assignment", lakini ukweli ndiyo huo, uko waliko wana-do kama kawaida!
Well said Mosquito!...dah, ulivyoisimulia mada hii umeniachia kicheko wallah!
ANYWAY, back to topic...
"for better or worse" ni pamoja na makubaliano ya 'kusimamisha gari kwenda kuchimba dawa' bana, so long as hataonyesha dalili zakunogewa kiasi cha kusahau wajibu wake. Si unajua 'njaa' ikishika hatamu, hata uinyweshe uji kazi bure?
au mnasemaje dada zangu? yanavumilika 'na tai shingoni' mkisubiria roho ya baba mwenye nyumba iache mwili?
Sidhani!
wasilisha mama...wasilisha mapointi haya!Na akikataa kukubali talaka utafanyaje? Kumbuka hapa ni mtu mgonjwa hajiwezi na anajua mkiachana uwezekano wa kupatamtu mwingine ni nil.Wapo wanawake wengi wanaishi na waume zao ilhali wote wanajua kuwa "ndoa" hamna. Wanakaa pamoja kwa sababu mbalimbali ambazo kwa kiasi haziwafungi kivile kwenye mambo mengine.Hawa nao watasaidiwa vipi?
Kuna kesi ya wanandoa waliokuwa wanaishi mradi tu...mama akachukua jukumu la kufungua kesi ya talaka mahakamani.Kila kesi ikienda, mwanaume alijitahid sana kupinga talaka isitolewe kisa kwa vile anampenda bado mkewe na haoni kama ndoa imevunjika pasina shaka kama inavyotakikana kisheria. Kwa vile sheria nayo iko kulinda taasis ya ndoa, basi mahakama ikawa inakataa ombi la talaka.Mara kadhaa mwanamke alishindwa kupata talaka hadi alipozirai mahakamani ndipo wakaamini kweli ndoa imevunjika maana mwanamke alionyesha dhahiri haivumiliki kuishi na mumewe.Hadi kuzirai, angeweza kupoteza maisha!
Tusijadili jambo zito kama hili kimzahamzaha ndugu zanguni..tuangalie mapana ya hili suala. Katika mila na desturi za makabila mengi kulikuwa na mfumo na utaratibu wa kusaidia wenye matatizo kama haya ndani ya familia pasipo kuleta mfarakano au aibu.Lakini siku hizi jamii zimepoteza mila na desturi kwa kukumbatia usasa na dini na sheria zinazoweka mipaka ya mambo mbalimbali kwa nia njema. Hapa tutajadili weee lakini ukweli utabakia kwa yule anayeguswa na tatizo na jinsi anavyoona apateje msaada.
Nawasilisha.
Nimekusamehe kwa kuwa hulijui ulitendalo...kosa lilikuwa langu kukuacha ukalelewa kwa wajomba![
Kwanza nakupongeza sana kwa uandishi mzuri unaotia hamasa ya kusoma zadi na zaid. Hongera
Kwa nini uulize kama ni practical kwa WANAWAKE kwani kiapo hiki uapwa na wanawake tu??................ kama unahalalisha kuwa kwa wanaume si practical unatuthibitishia kuwa pale Madhabahuni huwa mnaapa kinafki na kumthihaki MUNGU aliyebariki ndoa. Ametuasa kuwa ... ndoa na iheshimiwe na watu wote. So usiweke exceptions otherwise kama si practical kwa wanaume then si practical kwa wanawake pia. But at least wanawake wanajitahidi kuifanya iwe practical.... kuliko wale ambao hata kujaribu wanakiri udhaifu.
Ila kwa mwanaume kwenda kula uroda kwa mwingine ilhal mkewe yuko juu ya kitanda mgonjwa au kendamletea mwanaye duniani ni sawa........Ndio maana hukuwa MUNGU maana ungeshindwa kujihukumu mwenyewe.
Nyie mwaweza?? .................
Babu nisamehe...mie bado Mjukuu Mtiifu. nimechakachuka tu na MArunyag ....kesho ntakupa majibu uyatakayo loh
Mheshimiwa mbu, si kosa lake....nlimwachia mjombake amlee...watoto wanaolelewa na wajomba huwa hawana nidhamu kwa babu zao....mnh, leo uandishi wako umekuwa wa ukali mno. Is everything ok mydear?
:A S 13::A S 13::A S 13:Hahaha Mbu this is called Missing syndrome........umenigaya eh?
Hapana jana nadhani keroro ilizidi mukichwa nikajisikia kumkoromea babu loh..............I hope hatanipa adhabu.
Hakika umenena vema mtumishi wa MunguKumbe bado tunaendelea hapa , na asiyekuwa na dhambi na awe wa kwanza kumponda mama huyo jiwe
Amina
Babu jana ukasingizia kichwa kinauma baada ya faili lako kufika kwa PopeWell said Mwanamke Wa Sabustance!
Well Said Kamanda!
Well said Mosquito!
wasilisha mama...wasilisha mapointi haya!
Nimekusamehe kwa kuwa hulijui ulitendalo...kosa lilikuwa langu kukuacha ukalelewa kwa wajomba!
Mheshimiwa mbu, si kosa lake....nlimwachia mjombake amlee...watoto wanaolelewa na wajomba huwa hawana nidhamu kwa babu zao.
:A S 13::A S 13::A S 13:
Hakika umenena vema mtumishi wa Mungu
Nyie wote hapo juu ahsante kwa michango yenu mizuri na kwa kutotoka nje ya mada kama hivi vimjamaa vilivyoigeuza hii sredi chat room yao
Nimejaa tele mpendwa vipi salama huko utokako?
Salama salimini.. Kwetu tumeyaokota sita... Tukabeba wenyewe mpaka jeshini.. maana mpaka jana hawajaja kuyachukua... Salama wewe?