The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Grrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!!!!salama hapa?hitimisho la sred ni inawezekana kuvumilia au haiwezekani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Grrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!!!!salama hapa?hitimisho la sred ni inawezekana kuvumilia au haiwezekani?
nimejifunza uvumilivusalama hapa?hitimisho la sred ni inawezekana kuvumilia au haiwezekani?
salama hapa?hitimisho la sred ni inawezekana kuvumilia au haiwezekani?
salama hapa?hitimisho la sred ni inawezekana kuvumilia au haiwezekani?
Thread imechakachuliwa lakini ukweli umebainika:
Wanaume hawafichi wayafanyayo
wanawake wanafanya kwa siri kubwa sana.........
Wanaume si wavumilivu na hawana cha kujitetea
Wanawake si wavumilivu ila wana cha kujitetea.......kisingizio chao kikuu ni Kumtumainia Mungu!
haya bana
Nimekusamehe kwa kuwa hulijui ulitendalo...kosa lilikuwa langu kukuacha ukalelewa kwa wajomba!
Mheshimiwa mbu, si kosa lake....nlimwachia mjombake amlee...watoto wanaolelewa na wajomba huwa hawana nidhamu kwa babu zao.
Hivi wajomba zangu si ndio wanao wa kiume Babu eh? na si wanasema laiki faza laiki san.
BTT:
Kusema ukweli nilichotaka kukwambia Babu yangu ni kuwa Ugumu uko pande zote mbili kwani wote ni binadamu, tuna nyama, damu na maji mwilini. Inategemea na imani ya mtu kwa sababu kusema kweli wote tuna mahitaji sawa so uvumilivu unaozungumziwa hapa haupo Babu labda kama ungeuliza kuvumilia kwa muda gani??...........
Sawa mjukuu:
Hoja hapa ilikuwa wanaume inaeleweka si wavumilivu...fuatilia posts nyingi hapa JF. wanakiri kabisa......Ishu ilikuwa kwa wanawake ambao siku zote hujifanya wao ni watakatifu na huwa hawatoki nje ya ndoa zao kama hawajawahi kutendwa. Sasa ishu kama hii, mwanamke hajawahi kutendwa na mumewe, lakini ndio likatokea la kutokea mwanaume baioloji imesizi mpaka kifo kiibuke....Hawa 'watakatifu' ambao hawawezi toka nje ya ndoa zao kama waume zao hawajawatenda....watavumilia mpaka kifo kiwachukue?
Hilo tu basi!
Orait orait.........siwezisemea moyo wa mtu but ninaamini kbisa kuwa wapo ambao wanawezavumilia hadi kifo kimchukue mwenzake na hili pia linategemea
1. Kiwango cha Imani ya mtu na upendo alionao kwa mwenzi wake.
2. Umri wa hao wanandoa- kama wamekula chumvi kiasi mwanamke anaweza akavumilia (Kwa umri wa Mama yangu inaniwia vigumu kuamini kuwa anaweza akachakachuliwa nje iwapo lolote litatokea kwa baba) but kwa wenzi ambao bado wanadai kiumri (hasa kizazi hiki chetu) kusema kweli hata nikisema ndio wanaweza ntakuwa nawasemea uwongo).
Hivi Mwanaume ambaye amepatwa na matatizo ya kushindwa kutimiza majukumu yake anawezatoa ruhusa kwa mkewe aende akajisevie nje kama wafanyavyo wanawake ambao hufikia hata wakati mwingine anakwambia ' Baba chanja, si unaona mwenzio kiuno sina tena hapa, na siwezi KUKUHUDUMIA. Hebu ntafutie mwenzangu anisaidie kukuTUNZA'
Hivi huku ni kupenda kwa ukweli??
Hahahaahahahahahahahah Husninyo nimecheka bila ridhaa yangu na cheko hili limenidhihirishia kuwa nimekuelewa na kukusoma vizuri nso bado niko sober so.............Dada Eliza hebu niongezee tafadhali1. Kiapo kinatekelezeka bila wasiwasi.
2. Kwakweli kama una mapenzi na mumeo huwezi kufanya hivyo. Kwanza ni kujiletea mikosi.
3. Kama bailojia yake sio riziki itabidi tukubaliane mimi niwe na mtu mwingine wa kuniondolea mihemko ila yeye mume wangu nitamuhudumia na kumuheshimu kama kawaida.(mbona umestuka)?
Ohhh!!! nilifikiri unaniPM kimoyomoyo.....🙂
Nitasema nimesikia
Ahaaa Dena...yamekuwa hayo tena??!!! au wewe kiranja mkuu msaidizi wa CPU??!!!..🙂
1.Hiki kiapo kwamba nitakuwa mwaminifu mpaka kifo kitutenganishe kinatekelezeka? Is it practical kwa wanawake? (Kwa wanaume sitii neno hapo, kwa sababu liko wazi kabisa)!
Hahahaahahahahahahahah Husninyo nimecheka bila ridhaa yangu na cheko hili limenidhihirishia kuwa nimekuelewa na kukusoma vizuri nso bado niko sober so.............Dada Eliza hebu niongezee tafadhali