Eti inawezekana?...UVUMILIVU MPAKA LINI?

Eti inawezekana?...UVUMILIVU MPAKA LINI?

Tutatoka hata kama si kwa situation kama hiyo peke yake zipo nyingi mf. Maudhi, kunyimwa ile kitu inamesa mwenzake, jamaa kutokuwepo home hadi midnight nk

BTW: Sababu zipo nyingi za kukufanya utoke nje ukawa na mpango wa kando wa kiume
Hahahahaa....afadhali leo umeamua kusema ukweli...kwahiyo huwa mnatoka ila kwa siri, siyo?

sasa ukiondoa yote hayo....mmeo hajakufanya ubaya wowote...kila utakacho unapewa...na ikulu unafikishwa kila utakapo...ila likatokea kama hili.....utamuacha mmeo kitandani anagumia kwa maumivu ukaenda kuitii kiu yako na njemba nyingine?
 
Ahsante kwa kunisamehe.

Hapo Bold sijawaonea kwa kuwa kila siku nyie huwa mnatubishia kuwa hamtoki nje ya ndoa zenu, wakati wanaume wamekuwa wakikiri kuwa huwa wanatoka....ndo maana nimewaulizeni mama zangu, katika situation kama hiyo bado hamtatoka?

Tutatoka hata kama si kwa situation kama hiyo peke yake zipo nyingi mf. Maudhi, kunyimwa ile kitu inamesa mwenzake, jamaa kutokuwepo home hadi midnight nk

BTW: Sababu zipo nyingi za kukufanya utoke nje ukawa na mpango wa kando wa kiume

Dena naomba useme nitatoka,mimi siwezi kwenda nje ya ndoa eti kwakuwa jamaa kachelewa home hadi midnight hajarudi au kaniudhi au kaninyima tendo la ndoa....si suluhisho kwenda nje ya ndoa......mimi hapana kabisaa na Mungu anisaidie,huh!
 
Hahahahah....Keren..

Leo kina Mama mmemtumia Mungu sana kujikinga LOL

Tunapokuwa wazima mnaenda kuchakachuliwa huko mnajifanya hamfanyi! Tunapokuwa wagonjwa mnasema Mungu atawasaidieni....babu ako konfyuzdi!

Babu sio kwamba tunamtumia Mungu kujikinga; tusitumie udhaifu wetu kuhalalisha vile ambavyo Mungu havipendi. Mimi nakuambia hivi, kama mtu sio mwaminifu kwa Mungu wake, uwe umelala kitandani au uko mzima, atafanya hayo mambo yake. Ni tabia ya mtu na jinsi gani amedhamiria moyoni mwake kumheshimu Mungu. Narudia tena, kwa wanadamu haiwezekani, lakini pamoja na Mungu inawezekana kuwa waaminifu.
 
Asprin babu yangu najiuliza swali moja kabla sijapata majibu ..
Hivi kama Mtu unaweza kuishi forever and ever bila kupata hiyo kitu ?Na kwa nn iliwekwa kwanza
Mwili kwanza unakuwa hauko active au ume -expire ?
Hii ni mitihani mikubwa sana ya maisha
Lakini kwa kesi ya huyu dada hata sijui nisemeje mie?
Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema atusaidie na aendelee kutupa rehema na hekima zake kama mfalme Suleiman

Jibu ni moja tu kama nilikupenda toka moyoni wewe mume wangu nikivumilia kunirudia usiku wa manane siku nyingine unapitiliza, na madhaifu mengine mengi lakini nimo kwani si nilikupenda mwenyewe sikulazimishwa wala kukulazimisha kunioa (maana ndoa zingine wamama wanaziforce sasa katika hili huyo mama lazima katika hali hiyo atoke tu nje ya ndoa kwani ataenda kumforce mwingine amdu) Huku nikimshirikisha na mungu anisaidie na hatimae mwisho wa siku anaweza kukuponya kabisa kwani hakuna kinachoshindikana.

Note:
Kuna wababa huwa wanaona kabisa huyu mama hanipendi ila atamlazimisha na pesa na nini kisa aliamua ataoa mke mwenye shepu fulani na sura fulani basi atafanya kila njia amuoe na wamama tulivyo dhaifu basi unaamua kukubali kuolewa. Kama mbaba ulifanya hivi tegemea kuja kusalitiwa na huyo mwanamke ukipata matatizo kama hayo na wala usije kumlaumu mtu.

conclusion:
Tuoe na kuolewa na watu tunaowapenda/wanaotupenda tusilazimishe mambo matokeo yake kuchukua maubavu ya wenzetu subiri mungu akuletee mke/mume aliekuandalia
 
Hahahahaa....afadhali leo umeamua kusema ukweli...kwahiyo huwa mnatoka ila kwa siri, siyo?

sasa ukiondoa yote hayo....mmeo hajakufanya ubaya wowote...kila utakacho unapewa...na ikulu unafikishwa kila utakapo...ila likatokea kama hili.....utamuacha mmeo kitandani anagumia kwa maumivu ukaenda kuitii kiu yako na njemba nyingine?

Bwana weee saa nyingine tuwe wakweli and fair "TUNATOKA" asikwambie mtu ila kwa siri sana.

Kwa situation hiyo NITATOKA ha ha ha ha usininukuu tafadhali yaishie hapa hapa usijekwenda mwambia mwenyewe atanitoa macho.

Nimemiss albatar!!!
 
only grace can do this away,,,
Umefufuka kama ulivyosema, japokuwa hata kama kwa kupitia mobile.
Una mke mwema,wajua hilo acha story zako hapa.....ni kweli,si chakula kile au pumzi kwamba ukikosa unakufa Babu!
We Michelle dada yangu...ile kitu ni habari nyingine acha kuzusha. Watu wanauana kwa ajili ya hiyo kitu...........Kiu yake ni hatari kuliko kiu ya maji!
 
Hahahahaa....afadhali leo umeamua kusema ukweli...kwahiyo huwa mnatoka ila kwa siri, siyo?

sasa ukiondoa yote hayo....mmeo hajakufanya ubaya wowote...kila utakacho unapewa...na ikulu unafikishwa kila utakapo...ila likatokea kama hili.....utamuacha mmeo kitandani anagumia kwa maumivu ukaenda kuitii kiu yako na njemba nyingine?

Huo ni ukweli wake ,nashngaa kasema tutatoka as if kuna wengine kawa consult wakamwambia watatoka kwa sababu hizo!!!!!!!!!!

mimi sikubaliani nae kabisaaa.......!
 
Babu mdogo...hii ni ngumu kumesa....hilo swala la dau...huoni hiyo ni sababu ya kukutana Zero Pub leo kulijadili? Hebu msome msiri mwingine huyu hapa chini...LOL

Babu hawa viumbe hawapendi kwa uwazi ktk hilo ila wanafanya kama sisi tu, tuko ngoma droo.

Leo umenipa mada ya kuileta pale mjengoni mwetu Sifuri Pub, nitahitaji mwongozo wako kwanza.
Halafu babu hata hilo la KUMTANGULIZA MUUMBA bado naona kama ni msemo tu kwa wengi wao, wengi wao bado hawapo ACTIVE KIUKWELI sambamba na hiyo kauli, ni msemo tu wa mdomoni
 
Buke ahsante kwa hii yuziful posti..... huo ndio ukweli halisi japo kina mama wengi humu ndani huwa wanaubishia sana.

Ahsante pia kwa hatimaye kujua kumbe wewe ni mwanamke. JF kaazi kwelikweli!

Ahsante kwa kuwa mkwelimama yangu



Tunaelimishana babu, tumemweka Mungu pembeni ndo maana uchafu wa kila aina unafanyika.

Ukitaka kufanikiwa mtangulize Mungu na umshikilie kwa dhati, kila kitu utafanikiwa.
 
Bwana weee saa nyingine tuwe wakweli and fair "TUNATOKA" asikwambie mtu ila kwa siri sana.

Kwa situation hiyo NITATOKA ha ha ha ha usininukuu tafadhali yaishie hapa hapa usijekwenda mwambia mwenyewe atanitoa macho.

Nimemiss albatar!!!

Sina swali la nyongeza mheshimiwa Dena Amsi.

Unanidai albatar la kike na tusker kadhaa za baridi!
 
Umefufuka kama ulivyosema, japokuwa hata kama kwa kupitia mobile.
We Michelle dada yangu...ile kitu ni habari nyingine acha kuzusha. Watu wanauana kwa ajili ya hiyo kitu...........Kiu yake ni hatari kuliko kiu ya maji!

Kwanini mna amini mtu akiwa tofauti na nyie anazusha? there are exceptions.....!!! mimi hapana na Mungu anisaidie......!!!
 
ndo ukweli lakini mara nyingi watu hukimbia kusema ukweli au hukaa kimya majibu unayo babu huwa havisemwi ivo kikwetu ni kosa kubwa sana atiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!


Kwahiyo Lizzy unataka kuniambia wewe hiki kiapo "mpaka kifo kitutenganishe' hutakiapa kwa kuwa hutaweza kukisimamia?

Hahahaha....Chaurooooooz!

Kumbe ukweli ni kuwa kina baba wanafanya hadharani na kina mama mnafanya kwa siri?

Kwa hiyo KUFANYA kuko palepale?
 
Babu sio kwamba tunamtumia Mungu kujikinga; tusitumie udhaifu wetu kuhalalisha vile ambavyo Mungu havipendi. Mimi nakuambia hivi, kama mtu sio mwaminifu kwa Mungu wake, uwe umelala kitandani au uko mzima, atafanya hayo mambo yake. Ni tabia ya mtu na jinsi gani amedhamiria moyoni mwake kumheshimu Mungu. Narudia tena, kwa wanadamu haiwezekani, lakini pamoja na Mungu inawezekana kuwa waaminifu.

Asante Keren,usibishane na watu waliohalalisha dhambi kwenye mioyo na nafsi zao.....hawataki hata kujitahidi na wanasihi kwa assumption kuwa kila mtu yuko hivyo,nasema siko hivyo,sitokuwa hivyo na Mungu azidi kunisaidia.....agrrrrrrrrrrrrrr!
 
Jibu ni moja tu kama nilikupenda toka moyoni wewe mume wangu nikivumilia kunirudia usiku wa manane siku nyingine unapitiliza, na madhaifu mengine mengi lakini nimo kwani si nilikupenda mwenyewe sikulazimishwa wala kukulazimisha kunioa (maana ndoa zingine wamama wanaziforce sasa katika hili huyo mama lazima katika hali hiyo atoke tu nje ya ndoa kwani ataenda kumforce mwingine amdu) Huku nikimshirikisha na mungu anisaidie na hatimae mwisho wa siku anaweza kukuponya kabisa kwani hakuna kinachoshindikana.

Note:
Kuna wababa huwa wanaona kabisa huyu mama hanipendi ila atamlazimisha na pesa na nini kisa aliamua ataoa mke mwenye shepu fulani na sura fulani basi atafanya kila njia amuoe na wamama tulivyo dhaifu basi unaamua kukubali kuolewa. Kama mbaba ulifanya hivi tegemea kuja kusalitiwa na huyo mwanamke ukipata matatizo kama hayo na wala usije kumlaumu mtu.

conclusion:
Tuoe na kuolewa na watu tunaowapenda/wanaotupenda tusilazimishe mambo matokeo yake kuchukua maubavu ya wenzetu subiri mungu akuletee mke/mume aliekuandalia

Hahaha...Maty bana.

Kwa hiyo kama ulimpenda kiukwelikweli hutaenda kutii kiu yako na huo umri wako wa miaka 25?
 
Umefufuka kama ulivyosema, japokuwa hata kama kwa kupitia mobile.
hahaha!usiende ofu topic hapa tunaangalia uwezekano wa kutomwita zraili kwa kujitakia,dena amesema atatoka coz uvumilivu utamshinda!odm labda cjakuelewa,jamaa anapoumwa kiuno na baolojia yake nayo inakuwa haifankshen?
 
Babu hawa viumbe hawapendi kwa uwazi ktk hilo ila wanafanya kama sisi tu, tuko ngoma droo.

Leo umenipa mada ya kuileta pale mjengoni mwetu Sifuri Pub, nitahitaji mwongozo wako kwanza.
Halafu babu hata hilo la KUMTANGULIZA MUUMBA bado naona kama ni msemo tu kwa wengi wao, wengi wao bado hawapo ACTIVE KIUKWELI sambamba na hiyo kauli, ni msemo tu wa mdomoni

Hahahaha babu mdogo...unataka kusema wanamtumia Mungu kama ngao ya kuficha matendo yao? Sababu nyingine ya kukutana na kujadili huu mswada zero PUB
 
Back
Top Bottom