Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Dena huyo mshikaji akikunyima hiyo inayomezwa na mwenzake utakuja kwangu?????
Jamaa asipokuwepo home hadi midnight still utakuja kwangu maana mimi saa 12 jioni niko home?????
WILL BE RIGHT BACK FOR ANSWERS.
Heaven Forbid!!!:A S 112:
Kwahiyo Dena huyo mshikaji akikunyima hiyo inayomezwa na mwenzake utakuja kwangu?????
Jamaa asipokuwepo home hadi midnight still utakuja kwangu maana mimi saa 12 jioni niko home?????
WILL BE RIGHT BACK FOR ANSWERS.
Wewe kijana hebu acha mambo nimesema sababu hizo chache zipo na nyingine kibaoooooo ha ha ha mie NATOKA bana hakuna mchezo katika hilo
Mie nakwambia hapa watu wanazuga tu si kweli kuwa wanawake hawatoki bana wanakuwa kama wale watu wanaotumia mtandao wa thumuni wakali hao ikija mada kama hiyo jaribisha uone uzoefu alionao ha ha ha ha niliwahi kucheka siku moja rafiki yangu kachukua msichana (mpango wa kando) tena msitaarabu ana kazi nzuri na gari nzuri na nyumba nzuri na kila kitu na katika maongezi tukiwa tunapata waluu ikianzishwa mada hiyo mkali kweli he jamaa kajichukulia kufika huko jamaa kapita mlango wa uwani ushirikiano aliopewa ni kuliko ule mlango wa sebuleni ha ha ha tuache kupretend hapa bana ha ha ha .
Kama nawakwaza na kuwaudhi wakina Michelle samahani sana
fainest na mama obama mnakwenda ofu topic am watching kwa niaba ya odm
ha ha ha.....jaribu....l.o.l:wink2:
Mie nakwambia hapa watu wanazuga tu si kweli kuwa wanawake hawatoki bana wanakuwa kama wale watu wanaotumia mtandao wa thumuni wakali hao ikija mada kama hiyo jaribisha uone uzoefu alionao ha ha ha ha niliwahi kucheka siku moja rafiki yangu kachukua msichana (mpango wa kando) tena msitaarabu ana kazi nzuri na gari nzuri na nyumba nzuri na kila kitu na katika maongezi tukiwa tunapata waluu ikianzishwa mada hiyo mkali kweli he jamaa kajichukulia kufika huko jamaa kapita mlango wa uwani ushirikiano aliopewa ni kuliko ule mlango wa sebuleni ha ha ha tuache kupretend hapa bana ha ha ha .
Kama nawakwaza na kuwaudhi wakina Michelle samahani sana
aaaa tusiwe wanafik jamani.
Subira ngumu sana na hasa kama bado kijana. Ikiwa nipo above 50 maybe nitaweza lakini chini ya hapo nitadai talaka.
better that way than to cheat
Hahaha...Maty bana.
Kwa hiyo kama ulimpenda kiukwelikweli hutaenda kutii kiu yako na huo umri wako wa miaka 25?
Aisee Dena unaruhusiwa kuongeza kinywaji kingine cha moto!
CPU bana haya ngoja niku PM namba yangu naona umefuta ile PM niliyokutumia siku ile
HA AHAAAA HAAAA AHAAAA KWELI AISEEE GOD FORBID OHOOOO OGAH OHOOO YOU GO WALK WITH SOMEONES WAIFOO ABOMINATIONHeaven Forbid!!!:A S 112:
SASA NIMEELEWA SIGNATURE YAKOWewe kijana hebu acha mambo nimesema sababu hizo chache zipo na nyingine kibaoooooo ha ha ha mie NATOKA bana hakuna mchezo katika hilo
Heaven Forbid!!!:A S 112: