Eti jamani nitakuwa nimepona UKIMWI?!

Eti jamani nitakuwa nimepona UKIMWI?!

Pole mkuu kwa hofu uliyonayo mpaka sasa. Kufanya mapenzi na +ve partner c lazma kupata maambukizi. Unaweza fanya ngono zembe km ilvyokutokea na uyo +ve partner lakini usipate maambukizi japo ni hatari. Inaonekana ni miezi mitatu since then naumecheki huna, iyo inawezekana kabisa kwani kuna watu unakuta anaishi na mke au mme aliyeathirika bila kujua then unakuta mtu hapati maambukizi, japo hutokea mara chache. Kwa post yako si ajabu kusema kwamba umepima huna, inawezekana kabisa kuwa hukupata, kuondoa stress zaidi kacheki tena this month katikati au next month.

Ondoa hofu ulifanya kosa usirudie tena huo uzembe wa ngono zembe, trust no one mkuu, machoni vinavutia sanaa ila ndani ni fumbo! Si kushauri ufanye uzinzi mkuu, zingatia maadili ya dini ako na uwe na hofu na Mungu wako. Na km basi umeoa au una mchumba basi ni vizuri mkajua afya zenu mara kwa mara na kufanya safe sex na kuwa waaminifu.

Maambukizi hutokana na mchubuko au michubuka wakati wa tendo, na iwapo ikatokea kuwa mmoja ni +ve basi kutokana na iyo michubuko ni dhahiri kwamba mtu hupata maambukizi.
Watu wengi hasa wanaume hutegemae kuona damu ndo aamini kuwa amepata mchubuko/michubuko tofauti na kwa wanawake ambao uwa ni rahisi kupata michubuko ambayo uambatana na damu. Michubuko iyo hasa kwa wanaume uwa ni midogo sana sana kitaalamu wanasema ni very micro-scopic ikimaanisha kwamba si rahisi kuiona kwa macho lakini kutokana na iyo michubuko na udogo wake uweza kusababisha maambukizi.

Note: Maambukizi yatatokea iwapo pande zote mbili zmepata michubuko na iwapo mmojawapo ni +ve.
Bila michubuko iyo na upande mmoja ukiwa +ve huwezi kupata maambukizi.
Hivyo basi inawezekana kabisa tena kabisa kufanya mapenzi na mtu ambae ni +ve na usipate maambukizi.


Je, kwa mwanaume mwenye roho ngumu na asiye weka mbele afya yake kwanza anayefanya ngono zembe bila kinga, atajuaje km amepata michubuko/mchubuko wakati wa tendo? Ni rahisi sana, baada ya tendo nenda faragha umwagie maji uume wako na kisha uupake chumvi iliyosagwa vizuri (ni vyema ukafanya ivo ndani ya dakka 15 after sex). Je, ni nini kitatokea? Iwapo utasikia kuwashwa na iyo chumvi ni dhahiri kwamba utakua umepata mchubuko/michubuko,..ivo km partner wako nae alipata michubuko na akawa +ve ni dhahiri kwamba utakua umepata maambukizi. Iwapo hutasikia muwasho wowote ni dhahiri kwamba utakua hujapata mchubuko/michubuko yoyote hivyo hakutakuwa na maambukizi ya VVU.

Note: Lakini kwanini ujitese kufanya yote haya? Fanya ngono salama na zingatia maadili ya dini yako.
Nisikaririwe vibaya wakuu, najaribu kueleza ninachokijua juu ya suala hili na si kwamba nashauri au kushawishi watu wafanye ngono, si dhamira yangu dhamira yangu ni kuelimisha tuu.


Naomba radhi, kwa yeyote nitakayekuwa nimemkwaza kwa niliyoyaeleze au kuyaandika au kwa maneno niliyoyatumia, naomba radhi kwa hilo.

Hivyo basi, kwa mkuu aliyeuliza swali inawezekana kabisa kuwa hukupata maambukizi na itakua vzuri ukichek tena next month ukiambiwa kuwa still -ve usishangae kwani ni kawaida. Naamini utakua umenipata mkuu, uko vizuri ondoa shaka. Tujitahidi kuwa makini mkuu na kuepukana na vishawishi vya uzinzi, pia tuzingatie maadili ya dini zetu na kwa wanandoa tuwe waaminifu na kupima afya zetu mara kwa mara hivyo hivyo na kwawachumba, pia tuzingatie ushauri wa wataalamu husasni wakati tukikutana na wenza wetu.

Ewe kaka, ewe dada, ewe mwanamke, ewe mwanaume usimwamini mtu yeyote kwa kumtazama kwa nje, kwani nje tunavutia na kupendeza sana lakini ndani ni fumbo, usimwamini mtu njia sahihi mkapime au kufata njia za kitaalamu.

"Trust no one, for trust will kill you" - An HIV free generation, it's possible and it begins with You and Me".

Asanteni sana,...Thank You!
Asante sana Dr.
 
Mwezi wa 6, nliweka uzi kwamba nlitembea na dem mwenye ukimwi tarehe 15-06-2016 nlipiga kavu mara3 mfululizo nkashtuliwa kesho yake kwama demu kaathirika fasta nkamfata nkamwambia twende tukachek kwel bwana akawa anao.

Kuna mwanangu akaniwahisha fasfa kwa docta akanipa PEP. Hizo dawa usiku nkanywa ila hapo ni siku 2 toka nipge yule demu. Nikanywa hizo dawa siku 30.

Mwezi wa 8 nimepima wadau NIPO NEGATIVE!

Sasa atakuwa hakunipa ngoma au dawa zimenisaidia au tarehe za UKIMWI kuuona bado?

Nisaidieni maana nilikuwa silali.
Mrudie upige kavu tena ndio uje utupe ushuhuda, gooooood
 
Mwezi wa 6, nliweka uzi kwamba nlitembea na dem mwenye ukimwi tarehe 15-06-2016 nlipiga kavu mara3 mfululizo nkashtuliwa kesho yake kwama demu kaathirika fasta nkamfata nkamwambia twende tukachek kwel bwana akawa anao.

Kuna mwanangu akaniwahisha fasfa kwa docta akanipa PEP. Hizo dawa usiku nkanywa ila hapo ni siku 2 toka nipge yule demu. Nikanywa hizo dawa siku 30.

Mwezi wa 8 nimepima wadau NIPO NEGATIVE!

Sasa atakuwa hakunipa ngoma au dawa zimenisaidia au tarehe za UKIMWI kuuona bado?

Nisaidieni maana nilikuwa silali.

mkuu tayari unao, maana ndo faida za uzinzi. lkn siyo mwisho wa maisha
 
Risky ya kuambukizwa hupungua sana WaPo
i) umetahiriwa
ii) Huna vidonda / UTI
iii) Iwapo mwenzako anatumia dawa. Inavyoonekana huyo demu wako yupo kwenye dose ndio maana wanamjua kua ANAO, huenda baadhi yao hukutana nao clinic.
2. Utafiti unaonyesha kuwa asilimia 95 ya wanaoambukizwa HIV , kwa kutumia vipimo vya kisasa huweza kugundua uwepo wa maambukizi wiki nne hadi sita toka siku ya kuambukizwa. Ni asilimia tano tu ya watu ndio wanaotengeneza antibodies within 3 months.
Hivyo kwa upande wako Vila shaka yoyote utakuwa umenusurika this tym. So be extra, extra careful next tym.
 
Risky ya kuambukizwa hupungua sana WaPo
i) umetahiriwa
ii) Huna vidonda / UTI
iii) Iwapo mwenzako anatumia dawa. Inavyoonekana huyo demu wako yupo kwenye dose ndio maana wanamjua kua ANAO, huenda baadhi yao hukutana nao clinic.
2. Utafiti unaonyesha kuwa asilimia 95 ya wanaoambukizwa HIV , kwa kutumia vipimo vya kisasa huweza kugundua uwepo wa maambukizi wiki nne hadi sita toka siku ya kuambukizwa. Ni asilimia tano tu ya watu ndio wanaotengeneza antibodies within 3 months.
Hivyo kwa upande wako Vila shaka yoyote utakuwa umenusurika this tym. So be extra, extra careful next tym.
Asante sana mkuu
 
kwanini hukuuliza hapo hapo kwa majibu sahihi...ngoja doctor wako aje hapa akujibie nadhani yuko JF
 
Update sahivi kwa kutumia kipimo cha hiv rapid test "SD bioline" kutoka ulipokua exposed na mtu ambae anahiv mwezi mmoja kama ukipima inaonyesha majibu Ila bioline endapo itaonyesha positive kabla hujapewa majibu kuna kifaa kingne kinaitwa UNIGOLD icho ndio kitaconfirm kama kweli ni positive au laah
 
Huyu dogo kulingana Majibu ya Dactari na maelezo yake nilivyomcheki HANA yaan ni (-)But kuwa makini sana Dogo sikunyingine usirudie wengi sana wanakujaga na mawenge kwenye vituo vyetu vya Afya tunawaonya ila hamsikii so usipende sana Ku RAHISISHA maisha na usirudie tena na ukamshukuru Mungu kwa kukuepusha na hilo Janga na Usome kwa bidii
 
Back
Top Bottom