Yamekasirika mpaka Yamechanganyikiwa hayajui yaandike nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siyo shida ya macho tu uliyonayo hata ya uandishi pia "malengo" inaingiaje hapo?
Uwanja ulishiba sio kutapika tuKwa macho yangu niliona malengo mengi hasa majukwaa ya juu ya kusini mwa uwanja. Lkn kumekuwa na mabishano ya kadhaa huku wengine wakisema Simba waliujaza uwanja (full house). Pengine nina shida ya macho.
Wengine mlionaje?
Na hayo malengo simba ndio tulitaka kuyafikia[emoji23]Kwa macho yangu niliona malengo mengi hasa majukwaa ya juu ya kusini mwa uwanja. Lkn kumekuwa na mabishano ya kadhaa huku wengine wakisema Simba waliujaza uwanja (full house). Pengine nina shida ya macho.
Wengine mlionaje?
Uwanja ulishiba sio kutapika tu
Yamekasirika mpaka Yamechanganyikiwa hayajui yaandike nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa malengo si ndio hayo simba tulitaka kufikia sasa yeye kayaona malengo hahahahahaah
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Mutaweweseka hivyohivyo mpaka mufe kwa vihoro shenztype guruguja nyie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
THIS IS SIMBA.....
Mmetoka katika penati ya kupewa ,ulipokumbushwa VAR ilikuwepo[emoji22]
Mkaja kwenye kagoli kenyewe kamoja ,[emoji24] mlivyoona matokeo ya mechi zote za robo za CL na CC ni SIMBA SC pekee ndio iliyopata matokeo mazuri [emoji23]
Mnakuja kwenye kujaza uwanja[emoji25][emoji25]
mmeletewa picha za uwanjani[emoji23]
Sasa mnasonya tu,SHUBAMIT WAHED
UTOPOLO WATU WENYE AKILI NI WAWILI TU MZEE SUNDAY MANALA NA KIKWETE,
wengine wote ni mavimavi tu[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2192004
Wivu na chuki vitakuueni watu ninyi!!! Yaani mada kama hii itakusaidia nini? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Kwa macho yangu niliona malengo mengi hasa majukwaa ya juu ya kusini mwa uwanja. Lkn kumekuwa na mabishano ya kadhaa huku wengine wakisema Simba waliujaza uwanja (full house). Pengine nina shida ya macho.
Wengine mlionaje?
Yaani dunia hii kuna watu wa ajabu sana.Mumehamia kwenye kujaza uwanja sasa . Hii nchi!!!
Sasa kwa mada yako unafikiri ni nani inamhusu kauli mbiu ya ELIMU, ELIMU, ELIMU?Lowasa alikuwa sahihi sana juu ya kipaumbele cha elimu
Haujatapika tu,pia uliharishaKwa macho yangu niliona malengo mengi hasa majukwaa ya juu ya kusini mwa uwanja. Lkn kumekuwa na mabishano ya kadhaa huku wengine wakisema Simba waliujaza uwanja (full house). Pengine nina shida ya macho.
Wengine mlionaje?
Mateso ya kimaisha ya kujitakia.Kwa macho yangu niliona malengo mengi hasa majukwaa ya juu ya kusini mwa uwanja. Lkn kumekuwa na mabishano ya kadhaa huku wengine wakisema Simba waliujaza uwanja (full house). Pengine nina shida ya macho.
Wengine mlionaje?
Wivu na chuki vitakuueni watu ninyi!!! Yaani mada kama hii itakusaidia nini? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Sasa kwa mada yako unafikiri ni nani inamhusu kauli mbiu ya ELIMU, ELIMU, ELIMU?
Kweli huko kuna shida!!!
Uliona MALENGO ya kitu gani mkuu?Kwa macho yangu niliona malengo mengi hasa majukwaa ya juu ya kusini mwa uwanja. Lkn kumekuwa na mabishano ya kadhaa huku wengine wakisema Simba waliujaza uwanja (full house). Pengine nina shida ya macho.
Wengine mlionaje?
Sawa basi tufanye 1 - 1Nilikuwepo......60K haikufika ila 56-58K hivi.
Maana ni green seats za nyuma ya goli la kusini pekee na chache pembeni ya screen kubwa.
NB: Video nimechukua mwenyewe kwa kimeo changu, na hivyo ndio mambo yalikuwa.
View attachment 2192236