Eti jana uwanja ulitapika?

Eti jana uwanja ulitapika?

🇹🇿Watanzania huwa hatujui matumizi sahihi ya rasilimali washabiki katika uwanja

🇹🇿Watu wengi kama wale lakini ni unorganised noises za mavuvuzela

🇹🇿 Kila kakundi kametoka kwenye tawi lake na vinyimbo vyake na staili zake za kucheza ambazo sio staili za halaiki na hivyo kumezwa

🇹🇿 Hatujaweza kuwatumia vyema mashabiki jama nchi za ulaya au afrika magjaribi

🇹🇿inatakiwa kabla ya mechi ifanyike rehearsal ya ushangiliaji wa pamoja
 
Afadhali umenijibu. Wengine waligeuka wakali sana. Mara ooooh wivu. Nchi ngumu sana hii
Nilikuwepo......60K haikufika ila 56-58K hivi.
Maana ni green seats za nyuma ya goli la kusini pekee na chache pembeni ya screen kubwa.

NB: Video nimechukua mwenyewe kwa kimeo changu, na hivyo ndio mambo yalikuwa.
View attachment 2192236
 
Afadhali umenijibu. Wengine waligeuka wakali sana. Mara ooooh wivu. Nchi ngumu sana hii
Wapo sahihi kusema ni full house kama unavyoweza kuona mwenyewe....
Maana watu wanazigwaya hizo sehemu sababu visibility.
Na wapo tayari kusimama ( japo sio wengi).
 
🇹🇿Watanzania huwa hatujui matumizi sahihi ya rasilimali washabiki katika uwanja

🇹🇿Watu wengi kama wale lakini ni unorganised noises za mavuvuzela

🇹🇿 Kila kakundi kametoka kwenye tawi lake na vinyimbo vyake na staili zake za kucheza ambazo sio staili za halaiki na hivyo kumezwa

🇹🇿 Hatujaweza kuwatumia vyema mashabiki jama nchi za ulaya au afrika magjaribi

🇹🇿inatakiwa kabla ya mechi ifanyike rehearsal ya ushangiliaji wa pamoja
Ni ngumu......japo muhimu.
Hatua ziliwekwa hakuna aliyezifuata.
Wengine tunaenda Uwanjani kustarehe tu, huwezi ni imbisha Nyimbo.
 
Kwa macho yangu niliona malengo mengi hasa majukwaa ya juu ya kusini mwa uwanja. Lkn kumekuwa na mabishano ya kadhaa huku wengine wakisema Simba waliujaza uwanja (full house). Pengine nina shida ya macho.

Wengine mlionaje?
kinachokusumbua na kuteseka nakuweweseka ni nini hasa?
 
Kwa macho yangu niliona malengo mengi hasa majukwaa ya juu ya kusini mwa uwanja. Lkn kumekuwa na mabishano ya kadhaa huku wengine wakisema Simba waliujaza uwanja (full house). Pengine nina shida ya macho.

Wengine mlionaje?

Hata kama uwanja haukujaa wewe ng'ombe wa Mayele kinakuuma nini?
 
Back
Top Bottom