Eti kandarasi ni shindani Rais hatakubali rufaa za waliokosa, watachelewesha kazi

Eti kandarasi ni shindani Rais hatakubali rufaa za waliokosa, watachelewesha kazi

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Kuna ile kamati ya tenda wasijifanye eti ni malaika watu wawaamini tu. Tenda sio jambo la kushindanishwa tu mwenye bei ya chini eti anapewa.

Kuna umuhimu wa kamati kufanya utafiti sokoni ili kujua gharama halisi ya mradi wanaotangaza. Wakijidai wanaangalia nani mwenye bei ndogo wananchi watakuja na bei halisi toka sokoni.

Suala la rufaa baada ya tenda kutolewa sio suala la kuwatisha wakandarasi eti wasifanye watachelewesha mradi.

Lazima tuwe na utamaduni ambapo bei halisi sokoni ndio ziwe msingi kutoa tenda. Kama waombaji wote wataonekana wako nje kabisa ya bei sahihi sio eti yule wa chini anapewa tu.

Kinachotakiwa ni kuifuta hiyo tenda na kutangaza upya. Sio kampuni inapewa tu kwa kua wana quotation ya chini kuliko wengine.

Tumeona hapa juzi mombasa wanapewa kukarabati chombo kwa gharama karibu na ile ya kununulia chombo hicho kiliponunuliwa kipya.
 
Screenshot_2023-02-16-20-53-20-75_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Kama tender document imeeleza huo ukarabati una entail vitu gani, basi ni rahisi hata kukisia gharama kupitia kufanya utafiti wa ulinganifu wa bei zilizoko sokoni, mfano bei ya injini mpya. Ukishapata rough estimates basi unakuwa unatumia kama benchmark yako kuona kama yule aliyeweka quotation ya chini hajacheza mbali na ile estimate uliyo nayo. Vinginevyo kama wako juu sana unapiga chini, unaanza upya....​
 
Hapa patamu sana ....nasubiri rufaa yao kuna kitu tajifunza
 
Masheria yoote yale yamatungwa halafu yasifuatwe??

Sijui tunajenga Taifa la aina gani.

Kufuata kauli za wanasiasa badala ya kufuata mahitaji ya sheria tulizojiwekea.
 
Kuna ile kamati ya tenda wasijifanye eti ni malaika watu wawaamini tu. Tenda sio jambo la kushindanishwa tu mwenye bei ya chini eti anapewa.

Kuna umuhimu wa kamati kufanya utafiti sokoni ili kujua gharama halisi ya mradi wanaotangaza. Wakijidai wanaangalia nani mwenye bei ndogo wananchi watakuja na bei halisi toka sokoni.

Suala la rufaa baada ya tenda kutolewa sio suala la kuwatisha wakandarasi eti wasifanye watachelewesha mradi.

Lazima tuwe na utamaduni ambapo bei halisi sokoni ndio ziwe msingi kutoa tenda. Kama waombaji wote wataonekana wako nje kabisa ya bei sahihi sio eti yule wa chini anapewa tu.

Kinachotakiwa ni kuifuta hiyo tenda na kutangaza upya. Sio kampuni inapewa tu kwa kua wana quotation ya chini kuliko wengine.

Tumeona hapa juzi mombasa wanapewa kukarabati chombo kwa gharama karibu na ile ya kununulia chombo hicho kiliponunuliwa kipya.
Nilimshangaa siku ile akazidi kudidimiza matumaini yangu nani aisyejua tenda za tanzania ili upate mpaka utoe chochote
 
Back
Top Bottom