Eti "Kila king'aricho"

Eti "Kila king'aricho"

Ralphryder

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2011
Posts
5,168
Reaction score
1,549
Yani kuna tanagazo baya la magodoro sijawahi kuona! sasa kile ndio kiswahili gani na cha wapi? hebu wajuzi mtusaidie!
 
Huyo mrembo wa tangazo la magodoro kama vile ana maringo fulani hivi. Alitaka kurembesha neno 'kingaacho' akajikuta
anatamka 'kingaricho' kwa kuzidisha maringo. Na walioandaa tangazo hawakujishughulisha na editing wala nini, waliona poa tu!
 
Huyo mrembo wa tangazo la
magodoro kama vile ana maringo fulani hivi. Alitaka kurembesha neno
'kingaacho' akajikuta
anatamka 'kingaricho' kwa kuzidisha maringo. Na walioandaa tangazo
hawakujishughulisha na editing wala nini, waliona poa tu!

Kwani lile baraza la taifa la sanaa na lugha si huwa linapitia matangazo yote na filamu? kwa nini wasimwambia muandaaji aliedit!
 
Kwani lile baraza la taifa la sanaa na lugha si huwa linapitia matangazo yote na filamu? kwa nini wasimwambia muandaaji aliedit!
BASATA wao wanajikita zaidi kwenye maadili na lugha chafu. Maadam hilo tangazo halijakiuka maadili mema na halina lugha ya kuudhi kwao ni ok tu! Ni hivyo tu Ralphryder.
 
Last edited by a moderator:
Kwani lile baraza la taifa la sanaa na lugha si huwa linapitia matangazo yote na filamu? kwa nini wasimwambia muandaaji aliedit!

lingekuwa lipo hilo baraza na linatimiza wajibu wake Tusingelishwa uvundo na upuuzi mwingi kila wakati HASA kwenye tasnia ya filamu
 
Back
Top Bottom