Eti kisa nina maumbile madogo! Nifanye nini mie?

Eti kisa nina maumbile madogo! Nifanye nini mie?

haya wenye ndoa,si mnasema ndoa tamu!

umeona eeeeh!...toka 2007 mpaka sasa ndio anamwambie utumbo kama huo,....hapo sasa ngoja tusubiri wana harakati wa ndoa waje......wapi mr.rocky njoo huku sasa
 
pole sweetlol
toka mwanzo hakuona hilo tatizo.......hiyo ni silaha ya kukuchanganya......isikutie hofu cause umesema wasichana wa nyuma hawakuwahi kukwambia hilo sasa wasiwasi wa nini

basi kama ni silaha hii ni balaa,....anyway life goes on
 
kumbe wewe ni he??? Daaah utanisamehe, mi huwa nadhani wewe ni she! Pole sana kwa misuko suko ya ndoa... Endelea kusubiri watakuja wataalam kukupa ushauri zaidi.

Ata mi nilikuwa najua ni she kumbe ni kidume lol...

sasa nashindwa hata nimshaurije maana usikute ni hadith za shigongo... kama ni kweli basi Mungu akutie nguvu tu, maana hilo ni kombora zito la maangamizi, itakuchukua muda kusahau hata ukimsamehe, hakuna lakufanya zaid ya kumuomba Mungu akusahaulishe ili mkirudiana usiwe na inferiority complex badala yake ujione kidume cha ukwee.. maana NDOA ni mke mmoja, mume mmoja till death do you apart. No discussion on that labda umfumanie tu hapo inaruhisiwa kumuacha.
 
Average size ni inch tano
so wewe kusema madogo
jipime kwanza nchingapi?
Mi sioni kama itakuwa solution yeye kujipima. Tatizo lipo pale pale, mfanyie cancelling taratibu na uweze kumsoma nini kimsumbuacho.
Huenda ikawa alikupenda kwa kipato chako then kapata jamaa anamkuna na kukuona hufai hali akijua huna ubavu wa kupambana nae ama anayemtia kichwa. hayo ni mawazo yangu.
Pili ndoa za kikristu huwa hazifunguliwi hadi kifo kwani chaguo ni lako. Lakini itokeapo tatizo kubwa basi idhini hutolewa. Vuta subira jipange kabla ya maamuzi ya ghafla.
 
Inawezekana yeye maumbile yake ni abnormal-(yamezidi ukubwa)
then alitakiwa akwambie kama ulikuwa humfikishi kileleni au tatzo lipo wapi-maana unaweza kuwa na maumbile madogo,lakini mchakato wa 6/6 ukawa upo vyema tu
 
<br />
<br />
siku hizi watu wanajuana in advance. Lol.

He..kumbe!
Nyie vijana wa siku hizi mna raha basi.
Enzi zetu sisi ulikuwa unachumbia binti wakati anakaribia kumaliza shule...na hutakiwi kumjua kimwili. Unaenda ukweni unapewa msitu, unafyeka, unalima, unapanda mazao na kuyatunza hadi unavuna, afu unayakabidhi ukweni...yani unatumikishwa ile mbaya. Binti humjui hadi siku ile ambayo bibi anawashuhudia huku akiwa ametandika kitambaa chake cheupe na kupiga vigelegele baada ya kugundua kuwa kimepata madoa mekundu..
 
Ata mi nilikuwa najua ni she kumbe ni kidume lol...

sasa nashindwa hata nimshaurije maana usikute ni hadith za shigongo... kama ni kweli basi Mungu akutie nguvu tu, maana hilo ni kombora zito la maangamizi, itakuchukua muda kusahau hata ukimsamehe, hakuna lakufanya zaid ya kumuomba Mungu akusahaulishe ili mkirudiana usiwe na inferiority complex badala yake ujione kidume cha ukwee.. maana NDOA ni mke mmoja, mume mmoja till death do you apart. No discussion on that labda umfumanie tu hapo inaruhisiwa kumuacha.
Leo amesahau notebook. amejichanganya kwenye kulog in,............lol!
 
Jamaniii...mbona mnakimbia swali na dukuduku la mtoa madaa?..je kuna means za kuongeza nyeti fupi??...

Maana yeye keshakubali ki-saikolojia kuwa dongo alopigwa kuwa ana nyeti ndogo ni kweli na solution anaona ni kuiongeza ila hajui kama dawa zipo...

Nakujibu mtoa mada.
Ndio...dawa zipo tena za aina 2

a) kienyeji au za kiafrika
hizi zipo za aina nyingi ila nayoikumbuka na nilowahi kuitumia ni ilee ya kuchanjia dodoki katika kichwa cha uume na hii tuliifanya enzi hizooo tukiwa na 7-9 yrs tukiwa tunasoma shule za msingi..

Angalizo.. Ukishachanjia unahakikisha dodoki lako umelitia alama vizuri na kufuatilia ukuaji wake maana ukijishahau tuu uume unakuwa kama wa punda oversize...pia wapo waganga wa jadi kibao wanaolimudu suala hili kiraisi tuu

b) kigeni au za kutoka nje
hizi zipo toka ulaya na marekani na pia zile za ndugu na jamaa zetu wa uchina..

Sina sana uzoefu nazo ila niliskia radioni jamaa m1 alitumia mashine ikaongezeka uzito mpaka kg 15 akaanza kuomba msaada akapunguzwe size huko india kwa operation na inasemekana ukipasuliwa machine inakuwa haisimami...

do the math take the risks
 
Nnamiaka 34 nilioa 2007!nnawatoto wawili.mke wangu amekua tatizo tangu sikutumeoana,baada yakuoana nae week 3 tu nilianza kujuta mpaka tukakutafuta talaka.tumekua tukigombana mara nyingi mpaka anarudi kwao tunasuluhishwa tunarudi tena.mwez wa 6 alinitukana sana na maneno machafu mengi nikanyamaza,baadae nnlimuomba aende nyumban akasalimie alivyoondoka nakufika nilimwambia sitaki kumuona tena afundishwe kwanza maana ya mume then atafute mume mwingine aishi nae,.jana sasa aliniomba arudi nyumban nikamwambia nimevumilia vyakutosha mahusiano yetu yameshaisha kitambo hata kama tulifunga ndoa kanisani ila hii imenishinda. nilikua sio mnywa pombe mpaka nikaanza kunywa.baada ya kumtumia message akaniambia.AMEKUA AKINIVUMILIA SANA NA MAUMBILE YANGU MADOGO LKN NIMEMUONA HAFAI.SASA NAJIULIZA SABABU NDO ILIKUA HIYO NDO MAANA ALIKUA ANANIDHARAU?

naombeni ushauri nifanyaje juu ya hili coz mwanamke huyu sinahamu naye tena yaani namuona kama mwanaume mwenzangu sasa.Je haya maumbile yangu yanaweza niletea shida nikipata mwanamke mwingine sababu sijawihi toka nje ya ndoa yangu na wanawake wote wanyumba hawajawahi niambia hili?je nnaweza kuyakuza?

1. haina haja kabisa ya kuikuza hiyo bolt yako kwani yawezekana yeye ndiye mwenye caldera badala ya kuwa na crator; mwambie yeye akapunguze kwanza ya kwake ndio mrudiane na kama hawezi basi Mungu ndiye aliyeumba na wala haukuchagua wewe mwenyewe!

2. ulitakiwa kuwa na hii information 'a map of a woman' then ungeelewa kuwa 'ukubwa wa pua si wingi wa kamasi'. Angalia attachment.
 

Attachments

Average size ni inch tano
so wewe kusema madogo
jipime kwanza nchingapi?

Mimi niliambiwa kwenye semina ya ndoa kuwa average ni inch 6 yaani kuanzia kwenye ncha ya juu mpaka mwisho wa mzizi mkuu (kama ni mti kuanzia tawi la juu kabisa mpaka mwisho wa mzizi) kwa kifupi ni kwamba kama msingi ni inch 6 basi na ukuta ni inch sita na jumla inakuwa inch 12! Na je atapimaje?
 
Km tatizo ni hilo kwanini anataka kurudi kwako? Utakua umebadilika au? Sikushaur uvunje ndoa yk ila hy mwanamke atakutesa na kukudhalilisha saana
 
Labda nae mwanamke ana maumbile makubwa
jiamini ndugu yangu, ukubwa wa hiyo kitu sio ndio
tiketi ya kumburudisha mkeo, unaweza kuwa na makubwa
na ukawa tu kero kwa mwanamke
 
kwani kweli ndogo? All in all size c ishu mradi unajua jinsi yamkuitumia. Na mkeo kakwambia hivyo ili kukuvunja nguvu. As long as ulishafanya maamuzi yako usirudi nyuma. Inaelekea mkeo alikubalu kufunga ndoa na wewe ili aonekane kaolewa! Hajui ndoa ni zaidi ya pete.
 
Back
Top Bottom