Eti kufanya Engine Overhaul kunaondoa engine katika ubora na ufanisi daima?

Eti kufanya Engine Overhaul kunaondoa engine katika ubora na ufanisi daima?

Nyehunge, Sengerema. Unanisaidiaje mkuu?
Kutoka Nyehunge hadi mwanza ni km,110, wastan wa masaa matatu.
Sijajua nakusaidia kwenye lipi maana hujafanya maamuzi, kufanya overhaul au msuaki, nilikwambia tathmini garama kisha useme maamuzi ni yepi. Hapo ndipo msaada wa vipi kifanyike. Mi nipo Mwanza pia.
 
Kwa bongo jpange ubora unapungua coz kunaa baadh ya spea hupat OG plus mafundi weng n wababaishaj sana...na kuna sehem lzm upige modification..hayoo ndo yanaamua chuma iwe biyeee au ife kabsa..
Ukitaka uhakika kama gari ni Toyota wapelekee Toyota wenyewe wakufungie vipuri halisi.
 
Kuhusu engine mswaki... kuna kitu huwa sielewi...

Nitahakikishaje quality ya engine? Nitatambuaje kilomita ilizotembea?

-Kaveli-
Kama utanunua na ECM (Engine Control Module) yake basi itasoma mileage maana huwa ina capture accurate traveled odometer reading au kukupa details za hio engine. Kuhusu quality ya engine unaweza test compression kwa kuzungusha crank shaft pulley ambapo wakati unazungusha kama itakuwa inakurudisha nyuma wakati unaizungusha basi hio engine compression yake ni nzuri na hapo utajiridhisha kuwa umepata engine bora ila kama unaizungusha na hakuna drag force ya kukuvuta mzigo unazunguka tu hapo jua hio engine hamna kitu.
 
Weka vifaa OG... na fundi mzuri tu.

Overhaul chuma inakuwa Mpya. Nimefanya juzi ktk Patrol TD42, Inamlio wa tapping ktk Cylinder head inatakiw kupimwa tena.. hilo ndio tatizo dogo tu.. maana hakupima vzr.

Pia uwekaji wa Gasket nzuri, Usafi wa Ufundi na kuweka vimiminika Bora.

OVERHAUL haitaki UBAHILI.

pia jipange unaweza ambiwa hii OVERHAUL yake maybe 1.2M ila utashangaa inakutafuna mpk 2.0M
Nimefanya rav 4 L kilitime na ipo poa.
 
Kutoka Nyehunge hadi mwanza ni km,110, wastan wa masaa matatu.
Sijajua nakusaidia kwenye lipi maana hujafanya maamuzi, kufanya overhaul au msuaki, nilikwambia tathmini garama kisha useme maamuzi ni yepi. Hapo ndipo msaada wa vipi kifanyike. Mi nipo Mwanza pia.
Nitakucheck. Mwanza mitaa ipi?
 
Kuhusu engine mswaki... kuna kitu huwa sielewi...

Nitahakikishaje quality ya engine? Nitatambuaje kilomita ilizotembea?

-Kaveli-
Kibongo bongo Ngumu sana kujua ila Kwa wenzetu ukienda kununua engine zinakuwa na card zake kama ni mtumba itakuonesha km ngapi imetembea

Hapa tunabahatisha Tu
 
Kibongo bongo Ngumu sana kujua ila Kwa wenzetu ukienda kununua engine zinakuwa na card zake kama ni mtumba itakuonesha km ngapi imetembea

Hapa tunabahatisha Tu

Na je inawezekana kuagiza engine mtumba kutoka Japan directly? maana hizi za bongo ni magumashi tupu, utaaminishwa engine mtumba from Japan kumbe ni engine iliyokwishatumika hapa hapa bongo afu ikaingizwa sokoni.

-Kaveli-
 
Na je inawezekana kuagiza engine mtumba kutoka Japan directly? maana hizi za bongo ni magumashi tupu, utaaminishwa engine mtumba from Japan kumbe ni engine iliyokwishatumika hapa hapa bongo afu ikaingizwa sokoni.

-Kaveli-
Ndio inawezekana. Ingia kwenye website ya Beforward, ingia upande wa spare parts. Utachagua upande wa njini.
 
Kamwe siwezi iverhaul engine hata siku moja, nikiona bado naihitaji gari basi nitaagiza engine mtumba niweke then nilotoa namuuzia fundi atauza spares, ila mm gari ikishafikisha km160000 hadi laki2 huwa nauza.
Mf niliyonayo nimenunua ikiwa na 30k saiz inakaribia laki nishaanza kubadili spare kama.shokap, bearing sijui nini, kwangu huwa naona kero tu. Naanza kuweka hela mdogo mdogo niinywe kabla sijaanza kwenda kwa fundi maiko wa mtaani.
 
-Angalia gharama.
-1NZ ni alumminium block. Ukipata fundi mzuri wa overhaul hilo tatizo litaondoka, ila mlio hautarudi kama ulivyokua, utaongezeka. Na asije mtu akakuambia vifaa vilivyowekwa na fundi wako ni feki ukaifungua tena, hapo ndio utakua umeiua kabisa.
Alminiam ni nyepesi, hivyo unapofunga zile bolt silinda head-block huwa hazikazi kama awali, ukisema uzifungue tena, ukifunga ndio zinapwerepweta kabisaaa na hapo ndipo oili italiwa.
Pia 1NZ engine maisha yake ni kilomita laki mmbili (200,000,km)life spane. Ikifika km 150,000 majanga yataanza kama kula oil, ku vibrate, kutoa mlio wa kugonga nk, hapo utabadili hadi taimingchain na tanshiner yake, gasket karibu zote, rings, kisha itaishi kwa km 50,000. Hapo utoe engine. Sasa angalia gari yako ina km ngapi.
Una madini mengi sana, kongole kwa kutupa ufahamu huu
 
Bado nasoma nijue kipi bora zaidi ingawa kuweka mswaki nzuri zaidi.....
 
Engine mpya update wapi hapa bongo.
Hali bei yake tu sawa na gari
 
Back
Top Bottom