Eti Kulala Pamoja si Afya! kwa wana NDOA

Eti Kulala Pamoja si Afya! kwa wana NDOA

mwanamke anaekoroma inabidi ukamhakikishe kama kweli si jike-dume! aaah mwanamke gani atakoroma!
 
to tell you ni kwamba hamna kitu kinachochosha kwenye ndoa KAMA UNYUMBA!

Hicho ndio kiini haswa watu wanaacha kwao na kuambata kuwa mwili mmoja, anyway kila kitu lazima kiwe na kiasi.
 
Kulala pamoja watu wawili wa jinsia tofauti ni raha jamani khaaa!!Hizi tafiti nazo zinataka kutibua tu.
we unasema hivo kwa kuwa hujaolewa, imean unaiba iba once in a while ndo maana unaona ni special, lakini if you are honest after two years in a marriage where you are together everyday, come here and say the same thing. Si kweli kamba usipolala nae unakuwa humpendi mwenzio, ila tu as a human being kuna muda you want to be yourself, you want space to relax na sio kuguswaguswa if youi know wora i mean.😉
 
geoff jee mwanamme akitaka unyumba mkewe akawa kachoka? au hii noma mwanamke tu akilianzisha?
 
eeeh naona kama si afya basi kila mtu awe na room yake ama room iwekwe vitanda viwili ,ikifika mida mwenzio anahitaji mahitaji ya moyo anahamia kitanda cha mwenzie tunapeana off za hapa na pale
 
ha ha haaaaaaaaaaa , binamu mtu yoyote anaweza kukoroma at one point in time. easy, easy!

Ahsante kwa kuwa fair, manake wanawake wengine bana! Kila kitu kibaya anatupiwa mwanaume.
 
mwanamke anaekoroma inabidi ukamhakikishe kama kweli si jike-dume! aaah mwanamke gani atakoroma!
Jamani tuweni wakweli. Na hatuwezi kuwa wakweli tusipojua sababu gani zinapelekea kukoroma, ukweli ni kwamba wanawake wanakoroma pengine ukilala vibaya (shingo) na sababu zingine nyingi tu wengine wanazitaja.
 
Kweli shost mie sijawahi kuona mwanamke anakoroma.

bwana mie nilisoma na mmoja yaani ni bora utangulie kupata usingizi wewe akianza yeye ,,inabidi uanze kuimba mapambio mpaka usingizi ukupitie hata kama ni saa tisa usiku
 
mwanamke anaekoroma inabidi ukamhakikishe kama kweli si jike-dume! aaah mwanamke gani atakoroma!

Binamu Carmel unamuona huyu? Mtwangie kale kabatani ka zii basi!
 
bwana mie nilisoma na mmoja yaani ni bora utangulie kupata usingizi wewe akianza yeye ,,inabidi uanze kuimba mapambio mpaka usingizi ukupitie hata kama ni saa tisa usiku
Inaonekana ulikuwa hodari wa kuimba mapambio sana enzi hizo, du, afadhali nimepata kitu cha kunichekesha asubuhi lol>
 
Kweli shost mie sijawahi kuona mwanamke anakoroma.

Wanawake wengine bana! Eti sijawahi kuona mwanamke anayekoroma! Tuulize sisi tunaolala nao bana! Lol! Usiombee kulala na mwanamke anayekoroma manake tarumbeta si tarumbeta, filimbi si filimbi, honi si honi. Yani kama sauti ya ushuzi wa mbuzi. Hahahaha! Binamu Carmel hebu mpe na huyu kale ka zawadi ketu.
 
ehhe kumbe wanawake huwa wanakoroma? ....mie sijasoma boarding skul, kwa hiyo nimelala na wanawake wachache sana maishani mwangu (lol) ........sikudhani kama huwa wanakoroma

samahani dada carmel usibonyeze ki ziiiii...........na crispin wewe pia ushawahi kumuona mwanamke akikoroma ?
 
Nani kasema si afya? ni mzungu au mwafrika? taujiangalie kuanzia vijijini tukiwa wadogo, tukaja mijiji/vyuoni tunabebana kijitanda kidogo pale hall 2 tunalala 4 na hatuugui TB wala malaria. Waulizeni waliopo mageto from manzese to temeke hadi kwa ma do na ma brazamen sinza wanalala wangapi? je ni wagonjwa/wanapata maradhi hata ya ngozi? vipi ndg zangu na ma best friends zangu wa kunako box wanaishije street za soweto na Marekeni etc? Nahitimisha kwa kuangalia bendi za wakongo maeneo ya Dar es Salaam wanalala wangapi wangapi? na sebene linapigwa kama kawa tena huwa mwenzako anaweza kuwa ana wo wa na wewe umelala pembeni
 
umeshawahi kulala na wanawake wangapi na ukahakikisha hilo shosti?

Nilisoma girls school wala sikuliona hilo, labda kama mnazungumzia wamama watu wazima.
 
Nilisoma girls school wala sikuliona hilo, labda kama mnazungumzia wamama watu wazima.

Wakuu nini chanzo cha mwanaume au mwanamke au hata mtoto kukoroma??
majibu haya yakijibiwa tunaweza ondoa hizi lawama za nani zaidi ya mwingine
 
Inaonekana ulikuwa hodari wa kuimba mapambio sana enzi hizo, du, afadhali nimepata kitu cha kunichekesha asubuhi lol>

we acha tu carmel usiombe dhahama hilo likukute utashaa
 
Back
Top Bottom