wajameni kazi ya vitanda vikubwa 6x6 ni nini?
kwangu binafsi hakuna raha kama kulala na mai waifu wangu! dah, wacha bana...
Hii ya kulala vitanda viwili wameizoea 'wazungu' ndo maana hata ndoa zao talaka kwa wingi huenda hili linachangia! hakuna ile closeness ya ivo!
wajameni kazi ya vitanda vikubwa 6x6 ni nini?
kwangu binafsi hakuna raha kama kulala na mai waifu wangu! dah, wacha bana...
Hii ya kulala vitanda viwili wameizoea 'wazungu' ndo maana hata ndoa zao talaka kwa wingi huenda hili linachangia! hakuna ile closeness ya ivo!
Afasavali umesema wewe,kuna siku zingine mnajisikia kula daku ingawa kesho yake hamtafunga.Ulishawahi kuamshiwa daku wewe,acha habari hiyo.Mnaweza kujikuta asubuhi imefika na ilikuwa saa tisa.Jamani mie na hiyo afya niikose tuu,tena nina mpango wa kuachana na 6 kwa 6,naenda kujinunulia 3 kwa 6.Full kugusana.
Hapa tupo ukurasa mmoja kabisa Che, mambo ya daku usiyataje hapa manake ni hatari tupu!
Sasa mkuu mwenzako yuko chumba cha pili panalika daku hapo.Unajua wakati mwingine kitendo cha kuzungusha mkono na kumgusa mwenzi wako inaongeza togetherness.
soryy mzee niliandika kwa spd na standard nikakosea nasema hivi natamani mke wang mimi nguli anilalie kila dakika hata ninavyoandika huu ujumbe.
muwe makini na lugha zenu-
sema na wewe mr wangu, khaa mie bwana bila kukumbatiwa na mr cjickii raha kabisa labda awe safarini...lol