eti kuna mtu yoyote katika maisha yake ambaye haja pata matatizo katika mapenzi,, ?

eti kuna mtu yoyote katika maisha yake ambaye haja pata matatizo katika mapenzi,, ?

Umekua mnajimu ehhh?!

lizzy my love..
upooo?
leo nimeamka tofauti....
baada ya what u said jana
i feel like singing that james brown song...

i feel goood?????i feeeeeeeeel good....
 
Maisha ni zaidi ya mapenzi na mapenzi si kitu ktk maisha, wangap huinjoy maisha pasipo wapenz? Maisha ni satisfaction bwana!
 
Mapenzi yana maumivu
Yana maswali na machozi
Mapenzi yana tetemesha
Na huja na majonzi

Mapenzi yana furaha
Na kuleta kicheko
Yanapoteza huzuni
Na kutuliza mioyo

So... ukitaka kupenda jiandae kwa kicheko na machozi. NO MATTER WHAT.
 
lizzy my love..upooo?leo nimeamka tofauti....baada ya what u said janai feel like singing that james brown song...i feel goood?????i feeeeeeeeel good....
I‘m here babez....nimefurahi umeamka vizuri,...tuimbe wote basi!I feeeel good..!
 
mh!! naomba nipite tuu!! naweza kuyakubuka nkazidi kuumia.
 
najua, maana ya jina langu. lakin ata uwe tajiri kiasi gani jamani, tukubali ukweli ,,si wote lakin kuna watu wanalia na utajri wao, katika mapenzi, na bro haimanishi bcz jina langu mimi ni mmoja then niwe mmoja hiyo sio hakiiiiiiiiii,,,,,,:A S cry:
 
Wahida umeongea kwa feelings... pole mwaya nahisi kama umepatwa karibunii....

wewe naye unamapenzi ya kazi mara hii umeshaona feeling za wahida au jina linakuchanganya
kwanza jibu shwali
 
lizzy my love..
upooo?
leo nimeamka tofauti....
baada ya what u said jana
i feel like singing that james brown song...

i feel goood?????i feeeeeeeeel good....

I‘m here babez....nimefurahi umeamka vizuri,...tuimbe wote basi!I feeeel good..!

soo goood

soooo goood
cause i got uuuuuuuuuuuuuuuuuu

Ohhhh pole ehhh...njoo nikubembeleze usahau yote!

nipo chumbani na sikuoni ..........

Niko bafuni nabadilisha....

njoo tu hivyo hivyo....
utabadilishia hapa hapa,ntakusaidia kufungua bra lol

hacheni kufanya NGONO kwenye keyboard au ndio u BHOKE unawasumbua te te te te te
 
Back
Top Bottom