Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Ngebe nyiiiiingi, kumbe kisirisiri mnashoboka na Marekani pamoja na vitu vyake.
Sasa kama kuna uhaba wa $ nchini ndo nini sasa? Si na nyinyi mna sarafu yenu.
Wapumbavu wakubwa nyie. Kila mara kujifanya hambabaishwi na Marekani.
Marekani hivi, Marekani vile. Marekani maisha yake magumu. Tanzania maisha yake mazuri.
Blah blah blah blah blah.
Sasa mnalia lia eti $ imeadimika. Si mtumie hiyo mihela yenu tu. Watu mna mihela yenu hiyo mishilingi halafu mnashoboka na hela za watu wengine!
Mna akili kweli nyinyi? Acheni kubabaikia pesa za watu.
Use your own doggone currency you stupid mfers.
Stop whining. Suck it up buttercups.
Hakuna lolote. Porojo tu hizo.halafu si watalii si tumeambiwa wamekuwa wengi sana kutokana na royotua na si wanaleta dollar? Sasa zimekwenda wapi?
Swali lako linahusiana nini na mada yangu?Ww ni mgeni na hii serikali?
Watatumia za Urusi wanayemwabuduNgebe nyiiiiingi, kumbe kisirisiri mnashoboka na Marekani pamoja na vitu vyake.
Sasa kama kuna uhaba wa $ nchini ndo nini sasa? Si na nyinyi mna sarafu yenu.
Wapumbavu wakubwa nyie. Kila mara kujifanya hambabaishwi na Marekani.
Marekani hivi, Marekani vile. Marekani maisha yake magumu. Tanzania maisha yake mazuri.
Blah blah blah blah blah.
Sasa mnalia lia eti $ imeadimika. Si mtumie hiyo mihela yenu tu. Watu mna mihela yenu hiyo mishilingi halafu mnashoboka na hela za watu wengine!
Mna akili kweli nyinyi? Acheni kubabaikia pesa za watu.
Use your own doggone currency you stupid mfers.
Stop whining. Suck it up buttercups.
Halafu unakuta mwandishi ni Msukuma ambaye kwao bado kuna watu hawana vyoo wanakunya ziwani.Ngebe nyiiiiingi, kumbe kisirisiri mnashoboka na Marekani pamoja na vitu vyake.
Sasa kama kuna uhaba wa $ nchini ndo nini sasa? Si na nyinyi mna sarafu yenu.
Wapumbavu wakubwa nyie. Kila mara kujifanya hambabaishwi na Marekani.
Marekani hivi, Marekani vile. Marekani maisha yake magumu. Tanzania maisha yake mazuri.
Blah blah blah blah blah.
Sasa mnalia lia eti $ imeadimika. Si mtumie hiyo mihela yenu tu. Watu mna mihela yenu hiyo mishilingi halafu mnashoboka na hela za watu wengine!
Mna akili kweli nyinyi? Acheni kubabaikia pesa za watu.
Use your own doggone currency you stupid mfers.
Stop whining. Suck it up buttercups.
Unajua sielewi kabisa!Watatumia za Urusi wanayemwabudu
Naunga mkono hoja 👍👏Ngebe nyiiiiingi, kumbe kisirisiri mnashoboka na Marekani pamoja na vitu vyake.
Sasa kama kuna uhaba wa $ nchini ndo nini sasa? Si na nyinyi mna sarafu yenu.
Wapumbavu wakubwa nyie. Kila mara kujifanya hambabaishwi na Marekani.
Marekani hivi, Marekani vile. Marekani maisha yake magumu. Tanzania maisha yake mazuri.
Blah blah blah blah blah.
Sasa mnalia lia eti $ imeadimika. Si mtumie hiyo mihela yenu tu. Watu mna mihela yenu hiyo mishilingi halafu mnashoboka na hela za watu wengine!
Mna akili kweli nyinyi? Acheni kubabaikia pesa za watu.
Use your own doggone currency you stupid mfers.
Stop whining. Suck it up buttercups.
There you go…..Kwani ni huduma gani na bidhaa gani tunajitegemea wenyewe na kwa asilimia ngapi na ni zipi tunatoa nje? Kwani hatuwezi kuwalipa kwa fedha zetu wao wataenda kubadilisha huko??
MIaka 100 ijayo bado Us atabaki kuwa kiongozi wa kila kituUnajua sielewi kabisa!
Mamtu yako Tanzania halafu yanalialia eti hakuna $!!
WTF!!!
Make it make sense….
Swali lako linahusiana nini na mada yangu?
Wewe hata kuandika Kiswahili kilichonyooka tu ni mgogoro!Kwa kweli kama ingelikuwa kujua kiinglish kuntu bi culture kama chako ...
kinakuongezea chochote mfukoni......
Nyani Ngabu ungelikuwa bakhressa!!!