CCM ni matapeli snCCM ilisha Nunua bidhaa yake na kuiweka dukani, sasa mtaibadilishaje kwa kuingiza bidhaa mpya?
#Ngumu sana
YapWamestuka wanajua anaekuja ni mwamba pale hamna maridhiano ya kitapeli
Hapo sasaHivi ni kwa nini CCM wanaumizwa na Lissu kuwa mwenyekiti?
Wanahofu na nini?
Ghafula wanaanza kuihurumia CHADEMA kuwa itakufa Lissu akiwa mwenyekiti, mara ooh hawezi...