Sio kucheki cheki tuu, kuchagua haswaaa, maana kuna wanaume wengine mwenzangu wanamaumbo mabaya, maana unakuta mtu mrefuuuu, mh! hapo hata kwa kunitongoza miaka sitakubali maana siri tunaijua sisi wenyewe. Au mwingine kafupiiiii, huyo hata akijaribu ataishia kuambiwa i'm sorry nina mtu hata kama mtu hajapatikana, siri tunaijua wenyewe. Lakini kila mtu anachaguo lake huu ni mtizamo wangu tuu, na msimamo wangu mimi kama sydney. Wakaka humu JF kama umeguswa unisameh,e lakini nachangia kama nionavyo ama nifikiriavyo. Mimi kama mimi Kifua muhimu haswa kile kilichojazia jazia, ama chamazoezi zoezi, sura, na uvaaji, swala la akili na how muhusika anavyobehave, hili huwa linakuja baada ya HABARI GANI NDIO MWANZO WA KUJUANA.