That's just transphobia very relatively close to Homophobia, and generally has nothing to do with you seminary background, japo yana mchango fulani ambao ni kuwa ulikuwa confident na hisia zako za woga mbele ya wasichana by then kwasababu mazingira yalikuwa yana promote hofu hiyo and hizo hisia zilikusaidia ku run in the right track.
Sasa hivi upo katika mazingira na desire yako ni kutaka kujaribu ulichokuwa ukikiogopa, thats where your heart start to tremble, feelings za nitajibiwa nini? how does it test like? who is stalking me? what if the majority will know of that and etc, let alone the fear of GOD.
I also been there, so I do understand that kind of experience and feelings.
So don't rush in, bali uwe tabia za Mtakatifu Luka, tabia ya Tai. Kumbuka wasichana si maumbile, bali tabia.
Utajikuta kila wakati (viungo) Moyo na akili zako vinaingia katika mgogoro mkubwa baina ya vyenyewe kwa vyenyewe, lakini ukumbuke somo muhimu ni kuwa ni vizuri kutumia Mioyo yetu kwa ajili ya wengine (sympathy) na ni salama kutumia akili (Logic) zetu kwa mambo yatuhusuyo au tunayohisi ni magumu.
Falling in Love is Great But being in Love is disaster.
Amina.....tumsifu yesu kristu....uo ni wito mdg wangu......bwna mungu anakuita ukachunge kondoo wake...
That's just transphobia very relatively close to Homophobia, and generally has nothing to do with you seminary background, japo yana mchango fulani ambao ni kuwa ulikuwa confident na hisia zako za woga mbele ya wasichana by then kwasababu mazingira yalikuwa yana promote hofu hiyo and hizo hisia zilikusaidia ku run in the right track.
Sasa hivi upo katika mazingira na desire yako ni kutaka kujaribu ulichokuwa ukikiogopa, thats where your heart start to tremble, feelings za nitajibiwa nini? how does it test like? who is stalking me? what if the majority will know of that and etc, let alone the fear of GOD.
I also been there, so I do understand that kind of experience and feelings.
So don't rush in, bali uwe tabia za Mtakatifu Luka, tabia ya Tai. Kumbuka wasichana si maumbile, bali tabia.
Utajikuta kila wakati (viungo) Moyo na akili zako vinaingia katika mgogoro mkubwa baina ya vyenyewe kwa vyenyewe, lakini ukumbuke somo muhimu ni kuwa ni vizuri kutumia Mioyo yetu kwa ajili ya wengine (sympathy) na ni salama kutumia akili (Logic) zetu kwa mambo yatuhusuyo au tunayohisi ni magumu.
Falling in Love is Great But being in Love is disaster.
Ambao hata siwafahamu.......:shock:Nenda facebook utajitwalia wengi tu afu unaomba kuonana nao.
Nenda facebook utajitwalia wengi tu afu unaomba kuonana nao.
Heshima wakuu
Nimeishi miaka saba seminarini tangu nilipoanza pre-form one hadi nilipomaliza form six mwaka juzi. Tangu nimemaliza na kurudi rasmi mtaani nimekuwa na wakati mgumu wa kuzoeana na hawa wenzetu wa jinsia ya kike. Nimekuwa sijiamini ninapokuwa mbele ya mabinti, na nimejaribu kuomba ushauri kwa rafiki zangu ambao wamezoea maisha ya mtaani lakini wanaishia kunisanifu kuwa mambo ya mtaani niwaachie wao kwani siyawezi eti kwa sababu seminari imeniharibu, na kuwa ni bora nikarudi huko.
Naombeni ushauri wa namna ya kuweza kujiamini nami nijichanganye mtaani...
Ambao hata siwafahamu.......:shock: