pooooooovuMikamba hatokuja kuwa Rais kamwe. Anajisumbua na kupoteza pesa zake anazoibia raia. Ila atakuja kuzitapika kwa njia yoyote.
Itafahamika tu kama ni povu la bia au la sabuni. Tutaona!pooooooovu
Waziri wa Nishati, January Makamba ameshtushwa na utitiri wa vituo vipya vya mafuta vinavyojengwa nchini huku akiwaomba NEMC na Ewura taarifa imekuaje?
Kama Waziri mwenye dhamana hana majibu tukamuulize nani? Vituo vimeanza kujengwa mpaka vimemalizika na vinafanya kazi hadi leo hajui kwanini! Bei nzuri na ruzuku juu kwanini wafanyabiashara wasihamie huko wakiwemo wanasiasa?
Kwanini hawa wanasiasa wanapenda kutucheza shere! Faida kubwa kwa gharama ya hela za watanzania.
Wakaangalie flow meter huko Bandarini iko sawa?!!Waziri wa Nishati, January Makamba ameshtushwa na utitiri wa vituo vipya vya mafuta vinavyojengwa nchini huku akiwaomba NEMC na Ewura taarifa imekuaje?
Kama Waziri mwenye dhamana hana majibu tukamuulize nani? Vituo vimeanza kujengwa mpaka vimemalizika na vinafanya kazi hadi leo hajui kwanini! Bei nzuri na ruzuku juu kwanini wafanyabiashara wasihamie huko wakiwemo wanasiasa?
Kwanini hawa wanasiasa wanapenda kutucheza shere! Faida kubwa kwa gharama ya hela za watanzania.
Ilishakufa.Wakaangalie flow meter huko Bandarini iko sawa?!!
Hivi mimi niulize,kuna ubaya gani wa kuwa na utitiro wa vituo vya mafuta?Waziri wa Nishati, January Makamba ameshtushwa na utitiri wa vituo vipya vya mafuta vinavyojengwa nchini huku akiwaomba NEMC na Ewura taarifa imekuaje?
Kama Waziri mwenye dhamana hana majibu tukamuulize nani? Vituo vimeanza kujengwa mpaka vimemalizika na vinafanya kazi hadi leo hajui kwanini! Bei nzuri na ruzuku juu kwanini wafanyabiashara wasihamie huko wakiwemo wanasiasa?
Kwanini hawa wanasiasa wanapenda kutucheza shere! Faida kubwa kwa gharama ya hela za watanzania.
Mshangae waziri wako anayeshangaa, idiotsHivi mimi niulize,kuna ubaya gani wa kuwa na utitiro wa vituo vya mafuta?
Mbona kama hii Nchi ina watu wajinga Sana,kuna sheria wanavunja? Mbona hiyo ni biashara kama biashara zingine?
Eti utitiri,huu ni upumbavu,nilidhani watafutahia kwa sababu uchumi unakua na hapo wanapambana Ili kukidhi mahitaji ya mafuta..
Kwanza hata sijamsikiliza maana ni upuuzi mtupu.Mshangae waziri wako anayeshangaa, idiots
Wanajenga sehemu haramu!Hivi mimi niulize,kuna ubaya gani wa kuwa na utitiro wa vituo vya mafuta?
Mbona kama hii Nchi ina watu wajinga Sana,kuna sheria wanavunja? Mbona hiyo ni biashara kama biashara zingine?
Eti utitiri,huu ni upumbavu,nilidhani watafutahia kwa sababu uchumi unakua na hapo wanapambana Ili kukidhi mahitaji ya mafuta..
Sasa Hilo ni kosa lao au kosa la ewura na nemc?Wanajenga sehemu haramu!
Na mimi nashauri hivyo, vituo vimezidiWakaangalie flow meter huko Bandarini iko sawa?!!
Duh !!Ilishakufa.
Kuna kimoja kimejengwa Kawe pembeni ya kituo cha mabasi, yaani ni kaeneo kadogo na nyumba zimebanana sana.Na mimi nashauri hivyo, vituo vimezidi
When you take two and two together unaweza ukapata nusu ya jibu!! Ni biashara nzuri inalipa vizuri kila mtu anaipenda!!Ilishakufa.
Kazi kubwa ya vituo hivyo ni kutakatisha pesa chafu za wanasiasa wa chama tawala. Ukimjua mmiliki halisi wa Lake Oil utazimiaWaziri wa Nishati, January Makamba ameshtushwa na utitiri wa vituo vipya vya mafuta vinavyojengwa nchini huku akiwaomba NEMC na Ewura taarifa imekuaje?
Kama Waziri mwenye dhamana hana majibu tukamuulize nani? Vituo vimeanza kujengwa mpaka vimemalizika na vinafanya kazi hadi leo hajui kwanini! Bei nzuri na ruzuku juu kwanini wafanyabiashara wasihamie huko wakiwemo wanasiasa?
Kwanini hawa wanasiasa wanapenda kutucheza shere! Faida kubwa kwa gharama ya hela za watanzania.