mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Ngoja na mimi nitafute pampu za mafuta!Kuna kimoja kimejengwa kawe pembeni ya kituo cha mabasi, yani ni kaeneo kadogo na nyumba zimebanana sana,
Zikiingia daladala tatu hazienei, Lori kubwa la mafuta haliwezi kuingia, labda hayo mafuta watakuwa wanaleta na kirikuu,