Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mboga saba ila zote ni mboga za majani.
Point ni kwamba umechafua tu meza maana mboga zote saba unapata kirutubisho kimoja!Daaahhh kweeel? Hebu ntajie nifanye tathmini ili ikiwezekana ni achane nazo kabsaaa
Duuuh unamaanisha kwenye hizo mboga saba anazonadi Mr blue hakunaga vipande vya kuku au maini roast? Bas ka'vipi nimeghairi sasa staki kurundika chainizi na matembele mezani[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Point ni kwamba umechafua tu meza maana mboga zote saba unapata kirutubisho kimoja!
Hapana, yawezekama yeye kaweka hivyo vopamde vya nyama, maini nk na pia yawezekana ya mboga saba yake ni moja ya majani, pembeni spinach, kule maini, hapa chicken etcDuuuh unamaanisha kwenye hizo mboga saba anazonadi Mr blue hakunaga vipande vya kuku au maini roast? Bas ka'vipi nimeghairi sasa staki kurundika chainizi na matembele mezani[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kidogo umenishawishi, nilifikri zote ni sukumawiki tu,[emoji13] [emoji13] [emoji13]Hapana, yawezekama yeye kaweka hivyo vopamde vya nyama, maini nk na pia yawezekana ya mboga saba yake ni moja ya majani, pembeni spinach, kule maini, hapa chicken etc
[emoji23] [emoji23]Duuuh unamaanisha kwenye hizo mboga saba anazonadi Mr blue hakunaga vipande vya kuku au maini roast? Bas ka'vipi nimeghairi sasa staki kurundika chainizi na matembele mezani[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]