Eti mboga saba

Eti mboga saba

Saguda47

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
11,258
Reaction score
20,386
3042099b13bec2ba045cd84400800333.jpg
 
Point ni kwamba umechafua tu meza maana mboga zote saba unapata kirutubisho kimoja!
Duuuh unamaanisha kwenye hizo mboga saba anazonadi Mr blue hakunaga vipande vya kuku au maini roast? Bas ka'vipi nimeghairi sasa staki kurundika chainizi na matembele mezani[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Duuuh unamaanisha kwenye hizo mboga saba anazonadi Mr blue hakunaga vipande vya kuku au maini roast? Bas ka'vipi nimeghairi sasa staki kurundika chainizi na matembele mezani[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hapana, yawezekama yeye kaweka hivyo vopamde vya nyama, maini nk na pia yawezekana ya mboga saba yake ni moja ya majani, pembeni spinach, kule maini, hapa chicken etc
 
Hapana, yawezekama yeye kaweka hivyo vopamde vya nyama, maini nk na pia yawezekana ya mboga saba yake ni moja ya majani, pembeni spinach, kule maini, hapa chicken etc
Kidogo umenishawishi, nilifikri zote ni sukumawiki tu,[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Duuuh unamaanisha kwenye hizo mboga saba anazonadi Mr blue hakunaga vipande vya kuku au maini roast? Bas ka'vipi nimeghairi sasa staki kurundika chainizi na matembele mezani[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom