Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,886
- 1,038
Usipatwe na kihoro wala usighadhabike.
Jifanyie tathmini ya usafi wa kinywa chako.
Huenda ukawa hukisafishi vizuri.
Usafi wa kinywa si kupiga mswaki tu!
kufanya kazi umeshindwa ila kutujulisha wana JF umeweza
Unasafishaje tena? mimi najua mswaki tu.
Usipige mswaki inasaidia
kaufanyie sajar
hahaha hivi wanaume wanaolia lia mbona mi sina bahati nao
Ni pm utanipata alafu utakuwa na mimi.
....akyanani lazima mate yako yatakuwa dawa ya dengue...!! dah kuna watu wanabahati....!!
Usipatwe na kihoro wala usighadhabike.
Jifanyie tathmini ya usafi wa kinywa chako.
Huenda ukawa hukisafishi vizuri.
Usafi wa kinywa si kupiga mswaki tu!