Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,928
Acha ubishi. Hili sio jukwaa la siasa.
Nyinyi ndio mnasababisha wataalam wasitoe ushauri wa bure humu.
Be informed kwamba ultrasound ni kitu cha kawaida ndio maana kipo mpaka kwenye beauty salons.
Aiseeee beaty salons!!!! Sikua najua!!! Eheee!!!! Hebu tueleze mwanasiasa nguli na Daktari wewe!!! Wewe toa utaalam wako ila kila mtu atapima achukue lipi!!! Kila binadamu ana maamuzi yake!!! Mbona kila siku advocacy and publicity za gonjwa la ukimwi ziko on na maambukizi bado yapo? Kupanga ni kuchagua.