Eti mimba ya miezi 8 ukitumia kipimo cha Ultrasound huwezi kuona jinsia ya kiumbe?

Acha ubishi. Hili sio jukwaa la siasa.

Nyinyi ndio mnasababisha wataalam wasitoe ushauri wa bure humu.

Be informed kwamba ultrasound ni kitu cha kawaida ndio maana kipo mpaka kwenye beauty salons.

Aiseeee beaty salons!!!! Sikua najua!!! Eheee!!!! Hebu tueleze mwanasiasa nguli na Daktari wewe!!! Wewe toa utaalam wako ila kila mtu atapima achukue lipi!!! Kila binadamu ana maamuzi yake!!! Mbona kila siku advocacy and publicity za gonjwa la ukimwi ziko on na maambukizi bado yapo? Kupanga ni kuchagua.
 

Tatizo lako hujui chochote umebaki ku-copy. na ku-paste kutoka google...Wewe ni wakuonewa huruma..
 

Kosa lako kwenye thread hii sio kuamini mambo ya uongo. Kosa lako ni kutoa taarifa za uongo kuhusu huduma ya afya.

Endelea kuwa rigid, hauko peke yako. Kuna wenzako walikuwa rigid wakawatoa wagonjwa hospitali kuwapeleka Loliondo.
 

huyo jamaa hana tofauti na filauni kwa ubishi halafu inakuaje mtu anapata confidence ya kubisha kitu ambacho hata ABC haijui?mbaya zaidi anaeleweshwa hataki kuelewa!!watu wa namna hiyo ni mzigo sana maofisini hadi ngazi familia na taifa
 
Kosa lako kwenye thread hii sio kuamini mambo ya uongo. Kosa lako ni kutoa taarifa za uongo kuhusu huduma ya afya.

Endelea kuwa rigid, hauko peke yako. Kuna wenzako walikuwa rigid wakawatoa wagonjwa hospitali kuwapeleka Loliondo.

ha ha hujakosea........umenikumbusha mbali.!!mtu anaenda Loliondo kwa matarajio ya HEPATOMA ipotee kwa kikombe kimoja cha babu
 
Tatizo lako hujui chochote umebaki ku-copy. na ku-paste kutoka google...Wewe ni wakuonewa huruma..

huyo jamaa hajui athari za google halafu ni limbukeni,much no for nothing he is so pathetic for sure !!
 
Kosa lako kwenye thread hii sio kuamini mambo ya uongo. Kosa lako ni kutoa taarifa za uongo kuhusu huduma ya afya.

Endelea kuwa rigid, hauko peke yako. Kuna wenzako walikuwa rigid wakawatoa wagonjwa hospitali kuwapeleka Loliondo.
Tena viongozi wako ndiyo walikuwa wa kwanza kupata kikombe cha babu!!!! Nao ni rigid kama mimi hawakupeleka matatizo yao kwa madaktari kama wewe??? Acha watu wafanye wawe huru na afya zako na si kuwa influenced na watu kama wewe mkuu. Taarifa nilizotoa si zangu, ni za wataalam!!! I just quoted them!!!! Sema najua ni kama kuweka mchanga katika vitumbua vya watu!!!!
 

Huyo atazaa mtoto wa kike,watoto wa kike uwa wanabana miguu mimba ikaishakua kubwa ni ngumu kuona jinsia,ila wa kiume wanashindwa kubana miguu kutokana na maumbile yao,akijifungua uje utupe ushuuda mkuu
 
Sawa mkuu nitakuja kutoa ushuhuda hapa ondoa shaka....!!!!!
 

.
.
.
.
.
.
.
.
teh teh teh teh...........noma sana hah hah mpaka jk alikwenda,hadi pinda
 
Mkuu mimi umechemsha utabiri wako...!!!! Amejaaliwa kujifungua mtoto wa kiume mwenye uzito wa kg 4.
 
Inawezekana kabisa kujua jinsia. Ila kutokana na sababu za ki taalamu na kitabibu huwa hairuhusiwi kutoa taarifa kwa wahusika.
 
Tena tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwani alijifungua kwa njia ya kawaida.
 

Hapo kwenye red si sahihi! Tusipotoshane
 
Mkuu Swart inawezekana.. ila alivyoenda ktk hospitali moja maarufu Jijini Dar ya wahindi hawakumletea longolongo, walimwambia moja kwa moja jinsia ya mtoto tena kwa uhakika kabisa na wakamwambia hutamaliza wiki 2 utajifungua na ikawa hivyo hivyo.
 
wewe kweli mwekundu, mweupe ana afadhali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…