Eti Mtoto wa kiume unaangalia Tamthiliya ya Sultan

Mtoto Wa kiume unakaa kitako kucheki huu upuuzi. Unatafuta Bwana?? Utaolewa boya ww Changamkaaaa. Unashindwa kucheki Hata Prison Break unacheki huu Uchuro???

Utaolewa Na Ndevu zako
Hapa ulikua unatutaarif kwamba ww unapakuliwa, haya tutakuja kukupakua mkuu, weka na bei
 
Mtoto Wa kiume unakaa kitako kucheki huu upuuzi. Unatafuta Bwana?? Utaolewa boya ww Changamkaaaa. Unashindwa kucheki Hata Prison Break unacheki huu Uchuro???

Utaolewa Na Ndevu zako
Hahaha....mim kuna siku nilijichanganya nimetoka town nikakuta wife na mdada wa kazi wanaangali, duh! Kuna jamaa anaitwa sungura utafikiri ni shoga coz anavyoongea hatare hatare. Ila wao wanafurahia na wanajifanya kunifafanulia. Ikabidi nijifanye boya nisikilize tu. Ila Mimi ilinifanya nikumbuke tyrant coz walianza mambo yao ya ajabu ikabidi nisitishe maramoja kuangalia.
 
Mtoto Wa kiume unakaa kitako kucheki huu upuuzi. Unatafuta Bwana?? Utaolewa boya ww Changamkaaaa. Unashindwa kucheki Hata Prison Break unacheki huu Uchuro???

Utaolewa Na Ndevu zako
Wengine nawasikia wakiimba ninogeshe ya nandy. Tena kwa hisia kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wengine nawasikia wakiimba ninogeshe ya nandy. Tena kwa hisia kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio hiyo tu kuna ule mziki wa Diamond, hapo ndio nachoka kabisa
 
Hahahahah nampenda pashaa kama nimtunuku kitumbua handsome yuleee
We boya lazima ucomment ujinga wako humu? Kutwa unawaza kuliwa tuu? mwisho unajitangaza kugawa bure sasa! sometimes ficha ujinga wako kwa kukaa kimya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…