Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
huu mtiuano hapa nje/upenuni unaonekana haujaanza hapa mmeanzia huko pm nn?Mkuu sijakusoma,funguka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu mtiuano hapa nje/upenuni unaonekana haujaanza hapa mmeanzia huko pm nn?Mkuu sijakusoma,funguka.
Hapana mkuu,sijawahi kutumia PM hata siku moja na wala sijawahi kujibu pm ya mtu yeyote hapa jf.huu mtiuano hapa nje/upenuni unaonekana haujaanza hapa mmeanzia huko pm nn?
Ukikutana naye mtunuku tu hadi tigho utaliwa siku hiyoHahahahah nampenda pashaa kama nimtunuku kitumbua handsome yuleee
Sijawahi soma upumbavu zaidi ya huu ulioandika. Pengine umeongozwa na roho ya ushindani kiasi ukasahau kuweka vituo na herufi kubwa ili tu uwahi 'kuniumbua' na kupata hati ya pongezi.umeongea pumba tupu " ijapokuwa umejiwekea defense mechanism yakutotaka kupingwa ".... blaahh blaaah kibao sijui historia ya ottoman empire sijui vimefanya nini " wakati hao hao wabongo kuna watu kibao wamekaa kizoba zoba tu bila. kumjua hata sewa haji ",Yaani kuna wa bongo hawaijui " hata history ya nchi yao vyema " halafu unawashangaa wao kutoijua Timbuktu empire"... halafu kama haujui jambo uwe una kaa Linus chief utachekwa bure " prison break ndani yake ina baadhi ya matukio ya historia ya kweli " na moja ya tukio linamuhusu mwizi mtakatifu bwana db Cooper.... then kama movie ya history ya kweli imeshindwa mvuto mpaka na series ya kutungwa" basi kazi ipo aisee
hahaaa " umekimbia hoja tena " wewe sindiye uliyesema prison break ni tamthilia ya kutungwa tu " ilhali ndani Yake kuna vipande Vinavyo sadifu matukio makubwa " ambayo yalishawahi kutikisa vyombo vya usalama nchini USASijawahi soma upumbavu zaidi ya huu ulioandika. Pengine umeongozwa na roho ya ushindani kiasi ukasahau kuweka vituo na herufi kubwa ili tu uwahi 'kuniumbua' na kupata hati ya pongezi.
Hebu kuwa mwema kiasi, nisaidie kuelewa huu upumbavu ulioandika. NI VIPI WABONGO KUTOKUJUA HISTORIA YA SEWA HAJJ KUNAJUSTIFY WAO KUTOKUJISUMBUA KUIJUA YA OTTOMAN?
Mimi nilifikiri pengine wewe ulipaswa kutilia mkazo hoja yangu, maana wewe umeona tatizo ni kubwa zaidi ya nionavyo mimi, lakini badala yake umekurupua shutuma ukaacha hoja ya msingi. Kujifunza HAKUNA MWISHO na hata mimi sikuitaja tamthilia ya Sultan kama Educational Material pekee mpaka ikukere uisemee 'kimipasho' the way umefanya hapoku nilipopabold kwenye comment yako. Kama utaacha ushabiki na ghubu, rejea bandiko langu, nimezitolea mfano HISTORICAL DRAMA hadi za Kikorea na hii inamaanisha hata ikifanyiwa kazi historia ya Sewa Hajj au Mkwawa nayo nitaichukulia sawa na hizi...shida yako iko wapi?
Na wewe baada ya kubadili I'd unajiona wa maana kumbe shetani mjambia takooo mxeeewUmegeuzwa kituko humu jf bila kujijua,siku ukipata ufahamu inakua ni too little too late! Wazazi wako wana hasara kubwa sana.
Shangaaa yani kutwa kunifata kwenye comment zanguu utazan yeye ndo server mxeeeewhahhaa mwehu huyo " anataka tumdunde tu humu ".... anatupangia cha ku-comment amekuwa mods
[emoji23][emoji23][emoji23]huyo namjua vizur asikupe pressure mjingaaaa mmoja hivihuu mtiuano hapa nje/upenuni unaonekana haujaanza hapa mmeanzia huko pm nn?
Mnajuana kumbe [emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]huyo namjua vizur asikupe pressure mjingaaaa mmoja hivi
Tunajuana vizur ndo maana kutwa limejaa wivu nitamvisha sket nataman aje hapa tuchambane sema tu linanikwepaaaaMnajuana kumbe [emoji848]
AiseeTunajuana vizur ndo maana kutwa limejaa wivu nitamvisha sket nataman aje hapa tuchambane sema tu linanikwepaaaa
Pumbavu usiingilie hisia za watu, usichagulie watu starehe na mapenziMtoto Wa kiume unakaa kitako kucheki huu upuuzi ili iweje?? Yaani unashindwa kucheki hata Prison Break unacheki huu Uchuro???
Acha kujipendekeza wewe,hivi unaona ufahari kuongopa humu kua unajuana na mimi eeh! Siwezi juana na mshinda jf wewe,kituko cha jf.Tunajuana vizur ndo maana kutwa limejaa wivu nitamvisha sket nataman aje hapa tuchambane sema tu linanikwepaaaa
Wewe akili matope ujuane na mimi?! Kwa lipi hasa? Kwa kushinda jf kutwa na kisimu chako cha mchina huku ukitema pumba?[emoji23][emoji23][emoji23]huyo namjua vizur asikupe pressure mjingaaaa mmoja hivi
Wewe ndo kutwa unashinda jf kufatilia yasiyo kuhusu umeshindwa kwenda majukwaa ya biashara huko unakaa unajileta chitchat utaumia sana mwaka huu tena kwa taarifa yako unikome kama ulivyo koma kunyonya titi la mama akoo nyauuu weweAcha kujipendekeza wewe,hivi unaona ufahari kuongopa humu kua unajuana na mimi eeh! Siwezi juana na mshinda jf wewe,kituko cha jf.