themanhimself176
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,806
- 2,830
Neno "mbususu" limenikalia kushoto sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari zenu ......! Naona wanaume tunaendelea kujitengenezea maisha magumu, maisha ya kuhangaika na ada za watoto Hadi uzeeni....
Asilimia kubwa ya wanawake hawaelewi nini wanataka.
Mzee wewe ndio hujielewi ...kungekua unaelewa wanawake Ni watu wenye akili timamu kabisa .ndio maana hata shuleni hakuna mitihani ya wanawake na wanaume wote mtihani Ni mmoja.Asilimia kubwa ya wanawake hawaelewi nini wanataka.
AsanteMzee wewe ndio hujielewi ...kungekua unaelewa wanawake Ni watu wenye akili timamu kabisa .ndio maana hata shuleni hakuna mitihani ya wanawake na wanaume wote mtihani Ni mmoja.
Hivyo jua anapo fanya yake ujue anaakili zake timamu
Sawa, asante.Si kweli, mwanamke ni kiumbe mwenye akili nyingi sana.