Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 384
- 970
Nimeuliza tu ili tusije kukuta na mmoja tukampa heshima ya cheo kikubwa kumbe siye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Mkuu ni huyo mwenye njano kidogoNimeuliza tu ili tusije kukuta na mmoja tukampa heshima ya cheo kikubwa kumbe siye.
ndio kulwa aligombea ubunge jimbo la Busanda Geita akakatwa kwa tuhuma za kuzidisha >dp world< mwaka 2023.Kwani huyu dotto ni pacha? Kwa hiyo kuna kurwa na dotto?
Mafuta ukimaanisha pombe??ndio kulwa aligombea ubunge jimbo la Busanda Geita akakatwa kwa tuhuma za kuzidisha >dp world< mwaka 2023.
Itakua wamemteua Dotto makusudi ili wawe wanam duplicate.Nimeuliza tu ili tusije kukuta na mmoja tukampa heshima ya cheo kikubwa kumbe siye.
View attachment 2736800
Ndiyo! Identical twins!Kwani huyu dotto ni pacha? Kwa hiyo kuna kurwa na dotto?
agombee tena akishinda naye ateuliwa kuwa waziri ili iwe rekodi kurwa na doto wote kuwa ndani ya baraza la mawazirindio kulwa aligombea ubunge jimbo la Busanda Geita akakatwa kwa tuhuma za kuzidisha >dp world< mwaka 2023.
ndio kulwa aligombea ubunge jimbo la Busanda Geita akakatwa kwa tuhuma za kuzidisha >dp world< mwaka 2023.
kwa kawaida kurwa na dotto hulambishwa asali wote, na hasa wanaofanana wakitokea mfuko mmoja wa uzazi. Wale mambo yao huwa sare sare kama walivyofanana. Chama chao kifikirie kumuingiza kwenye kura za maoni na ashinde ubunge kisha naye ateuliwe kuwa waziri. Moja akiwa waziri mkuu mwingine awe naibu wake au vyovyote vile tuwaone kwenye utendaji wao kama unalingana, kuna cha kujifunza kutokana na akili zao walivyo mapachaNdiyo! Identical twins!
We unaleta mchezo, kwani hii unayoizungumzia hapa si ni serikali!?kwa kawaida kurwa na dotto hulambishwa asali wote, na hasa wanaofanana wakitokea mfuko mmoja wa uzazi. Wale mambo yao huwa sare sare kama walivyofanana. Chama chao kifikirie kumuingiza kwenye kura za maoni na ashinde ubunge kisha naye ateuliwe kuwa waziri. Moja akiwa waziri mkuu mwingine awe naibu wake au vyovyote vile tuwaone kwenye utendaji wao kama unalingana, kuna cha kujifunza kutokana na akili zao walivyo mapacha
Nasiki alikuwa diplomat katika ubalozi wa Tanzania nchini Msumbiji, aka resign na kurudi Tz kugombea ubungekwa kawaida kurwa na dotto hulambishwa asali wote, na hasa wanaofanana wakitokea mfuko mmoja wa uzazi. Wale mambo yao huwa sare sare kama walivyofanana. Chama chao kifikirie kumuingiza kwenye kura za maoni na ashinde ubunge kisha naye ateuliwe kuwa waziri. Moja akiwa waziri mkuu mwingine awe naibu wake au vyovyote vile tuwaone kwenye utendaji wao kama unalingana, kuna cha kujifunza kutokana na akili zao walivyo mapacha
kuna kitu cha kujifunza kwa mapacha wanaofanya kazi pamoja serikalini. Je ufani wao uko sawa?, au kila mmoja ana akili zake wakati tumejifunza kuwa mapacha wanaofanana wana akili inayofanana piaWe unaleta mchezo, kwani hii unayoizungumzia hapa si ni serikali!?
agombee tena ubunge ili tuje kupata kurwa na doto katika baraza la mawaziri. Kama doto amefanya vizuri hata kurwa naye atafanya vizuri. Tupate rekodi ya pacha katika baraza la mawaziriNasiki alikuwa diplomat katika ubalozi wa Tanzania nchini Msumbiji, aka resign na kurudi Tz kugombea ubunge
Sioni umuhimu wa kujifunza ufanisi wapacha katika utendaji kazi, na hata kama kuna umuhimu huo basi tusifanye baraza la mawaziri kama ndio sehemu ya majaribio.kuna kitu cha kujifunza kwa mapacha wanaofanya kazi pamoja serikalini. Je ufani wao uko sawa?, au kila mmoja ana akili zake wakati tumejifunza kuwa mapacha wanaofanana wana akili inayofanana pia