Eti ni kwanini? Hebu tuambie...

Mbona mimi hujaniuliza Mhe. Xpin? Hata hivyo nimekupa thanks kutokana na heshima yangu kwako? Its good so far, nimeipenda mno
 
Hahaha! Kiongozi hebu do the needful hapo. Inaelekea TUKI is not richabo....mimi naona noname uwe mwalimu wa KISWAHILI wa JF
haha niwe mwalimu was kiswahili? but i can only take the job if am capable... I dont wanna deceive you.... U need someone who can master the language and I Dont master either swahili or English... may be I should teach u my local language πŸ˜€
 
haha niwe mwalimu was kiswahili? but i can only take the job if am capable... I dont wanna deceive you.... U need someone who can master the language and I Dont master either swahili or English... may be I should teach u my local language πŸ˜€
hivi, huwa zinaitwa local language?
kama kimasai ni local language?

mi nilikuwa no kujua hiyo
 
Shikamooni wapwa.
Nyivonduma sir.........shida ya huyu jamaa, anakuwa na mipango isiyotekelezeka. kwasababu anapangia bar, asubuhi akiamka anakuwa hana mia. jioni akizikamata anaenda bar tena.

Nyivondumar sir, anawatangazia wote kuwa anafungua bar TEGETA mumuunge mkono na miguu.
 
Nyivondumar sir, anawatangazia wote kuwa anafungua bar TEGETA mumuunge mkono na miguu.
Afadhali afungue bar kabisa, alikuwa anapoteza pesa mingi kwa bar za watu! atakuwa anazirudisha mfukoni kwake sasa!
 
Mimi nilifikiri ni VERNACULAR
by local language I meant mother tongue or mother language, or the native language of a population located in a country or in a region... so How do u define VERNACULAR? πŸ™„ locality?
 
I got it Kaizer Thanks man... I will work on my English Grammar as well as my vocabulary and I'll improve my Kiswahili as well... πŸ™‚
 
I got it Kaizer Thanks man... I will work on my English Grammar as well as my vocabulary and I'll improve my Kiswahili as well... πŸ™‚

now this is what we call wisdom!πŸ™‚
 
B wa ukweli nilikumis



B nimewavumilia weee nimeamua kuomba page ya watu niwasabahi
ni mimi niwapendae sana BHT

hili HAIWEZEKANI...umeiba pwd ya bht ama vipi....apo tu kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…