Eti ni kwanini? Hebu tuambie...

Eti ni kwanini? Hebu tuambie...

Mkuu niligundua nikiwa pale kona bar, nimetoka kunyoa nikaona ni-do ze needful pale mapemaaa!! si nakaona watu wanapita na matawi, wametoka church.

DUH!!..tafuta ile kiwani usome hapo juu!!
Hehehe!
Wengine na matawi
Wengine na bapa.
Lakini wote ni watoto wa baba mmoja. Na ufalme wa mbinguni ni wetu!
Mi Jumamosi naamka nasikia watu wanaimba nje. Ka Matesha kangu kalikuwa kanaumwa basi roho ikanitoka kwa muda. Nikajua ntolee.
Kumbe Jumuiya walikuwa wanasali kwangu.
Baba mwenye nyumba wala hata sijui. Hehehehe! Wife kanambia aliniamsha mpaka akachoka.
Hapo tu! Hapo tu basi ndipo napoipendea miksa!
 
Mkuu niligundua nikiwa pale kona bar, nimetoka kunyoa nikaona ni-do ze needful pale mapemaaa!! si nakaona watu wanapita na matawi, wametoka church.

DUH!!..tafuta ile kiwani usome hapo juu!!

Yesuuuuuuuuuuuu!!! nilikuwa sijajua kuna tumaandishi twa rangi ya yebo yebo hapo!!

B jamani uwiii umenichekesha sana!!!
 
Hehehe!
Wengine na matawi
Wengine na bapa.
Lakini wote ni watoto wa baba mmoja. Na ufalme wa mbinguni ni wetu!
Mi Jumamosi naamka nasikia watu wanaimba nje. Ka Matesha kangu kalikuwa kanaumwa basi roho ikanitoka kwa muda. Nikajua ntolee.
Kumbe Jumuiya walikuwa wanasali kwangu.
Baba mwenye nyumba wala hata sijui. Hehehehe! Wife kanambia aliniamsha mpaka akachoka.
Hapo tu! Hapo tu basi ndipo napoipendea miksa!
Hahahahaaa!!! mi niliambiwa na dads moja hivi, eti kijana mzuuuri, lakini ukilewa unavyokuwa kama mzee, ngoja nitakupiga picha nikuonyeshe asubuhi.
 
Yesuuuuuuuuuuuu!!! nilikuwa sijajua kuna tumaandishi twa rangi ya yebo yebo hapo!!

B jamani uwiii umenichekesha sana!!!
sasa nilikuwa nshaonja, ningeenda hata misa ya nne lakini sikuwa na la kufanya.
si unajua kwenda church ukiwa intoxicated ni issue.
 
Yesuuuuuuuuuuuu!!! nilikuwa sijajua kuna tumaandishi twa rangi ya yebo yebo hapo!!

B jamani uwiii umenichekesha sana!!!
Tatizo unacheka afu humtendei haki yake kwenye yuzifuli posti.

Hahahahaaa!!! mi niliambiwa na dads moja hivi, eti kijana mzuuuri, lakini ukilewa unavyokuwa kama mzee, ngoja nitakupiga picha nikuonyeshe asubuhi.
Hehehe! Ukitaka kujua sura ya mlevi mwangalie wakati anamiminia konyagi kavu kwenye koromeo. Utadhani mamba kabeba mimba ya tembo! LOLZ!

sasa nilikuwa nshaonja, ningeenda hata misa ya nne lakini sikuwa na la kufanya.
si unajua kwenda church ukiwa intoxicated ni issue.
Umenikumbusha kuna siku nilienda misa ya usiku. Benchi zima tulikuwa tumekutana. Raha ilikuwa wakati tunaimba wimbo maarufu wa xmass.

Glooooo oooooo ooooo riaaaaa, in excelsis deeeeeeooooo!
Kama tungekuwa tumeshatoa sadaka, paroko lazima angetutimua kanisani!
 
Hehehe!
Wengine na matawi
Wengine na bapa.
Lakini wote ni watoto wa baba mmoja. Na ufalme wa mbinguni ni wetu!
Mi Jumamosi naamka nasikia watu wanaimba nje. Ka Matesha kangu kalikuwa kanaumwa basi roho ikanitoka kwa muda. Nikajua ntolee.
Kumbe Jumuiya walikuwa wanasali kwangu.
Baba mwenye nyumba wala hata sijui. Hehehehe! Wife kanambia aliniamsha mpaka akachoka.
Hapo tu! Hapo tu basi ndipo napoipendea miksa!

Mmmmh! Jmosi hii wanakuja kusali Jumuiya nyumbani kwangu, wametuma ujumbe wanaomba niwepo, maana hawajahi kumwona mwenye nyumba akisali jumuiya hata kama sala inafanyika nyumbani kwake!

Ningekuwa najua kuweka ''reminder'' kwenye simu yangu ningeiseti inishutue angalau saa 8 usiku Ijumaa kuamkia Jmosi niondoke baa kurudi home!
icon10.gif
 
Triplets: Kama ungekuwa nesi/daktari, usingeogopa kuchoma sindano njemba yenye vinyweleo mpaka makalioni?

.

Binamu na wewe! mtu hachomwi sindano huko ziliko bana! haya nesi mzima sijui daktari anatafuta nini huko kwenye nywele za watu? hata zikiwepo hazina shida, Hizo si pubic hair tuu?!
 
Binamu na wewe! mtu hachomwi sindano huko ziliko bana! haya nesi mzima sijui daktari anatafuta nini huko kwenye nywele za watu? hata zikiwepo hazina shida, Hizo si pubic hair tuu?!

Kama ni public hair kwanini hazinyolewi saluni?
 
Binamu na wewe! mtu hachomwi sindano huko ziliko bana! haya nesi mzima sijui daktari anatafuta nini huko kwenye nywele za watu? hata zikiwepo hazina shida, Hizo si pubic hair tuu?!

Kama ni public hair kwanini hazinyolewi saluni?

Du hommie kweli nimegundua usober huuwezi...mwenzio anazungumzia "pubic" hair sio "public" and "pubic" hair is not meant to be public-unless u decide to make it "public"😀
 
Du hommie kweli nimegundua usober huuwezi...mwenzio anazungumzia "pubic" hair sio "public" and "pubic" hair is not meant to be public-unless u decide to make it "public"😀
hahahahaa!!! nimecheka sana hapa,

akiwa sober haoni vizuri
 
hahahahaa!!! nimecheka sana hapa,

akiwa sober haoni vizuri


Kiongozi,, huyu akiendelea kuwa sober anaweza kudumisha mila na kina Eliza wakaishia kuchomana visu

hommie ka do ze nidiful apo kidongo chekundu urudi normal bana
 
Du hommie kweli nimegundua usober huuwezi...mwenzio anazungumzia "pubic" hair sio "public" and "pubic" hair is not meant to be public-unless u decide to make it "public"😀

hahahahaa!!! nimecheka sana hapa,

akiwa sober haoni vizuri

haoni na pia ubongo wake unafanya kazi backwards
hahaaaa biggy umenimaliza from pubic to public.....kibluray sio wala kinoname sio
 
haoni na pia ubongo wake unafanya kazi backwards
hahaaaa biggy umenimaliza from pubic to public.....kibluray sio wala kinoname sio
Yo Yo Yo Girl I can hear u 🙄 I actually failed to understand u which is fine because sometimes I fail to understand myself... I wont take it personal since I dont know u well and am sure u dont know me... u actually remind me of High School teens,
 
Du hommie kweli nimegundua usober huuwezi...mwenzio anazungumzia "pubic" hair sio "public" and "pubic" hair is not meant to be public-unless u decide to make it "public"😀
Dah! Hommie we acha tu! Hapo umenifumbua macho! Sitarudia kuwa sober tena!

hahahahaa!!! nimecheka sana hapa,

akiwa sober haoni vizuri
Kiongozi nikisahau mawani yangu afu bahati mbaya nikawa sober basi ujue kwisha habari yangu.

Kiongozi,, huyu akiendelea kuwa sober anaweza kudumisha mila na kina Eliza wakaishia kuchomana visu

hommie ka do ze nidiful apo kidongo chekundu urudi normal bana
Hapo ndipo unapokosea hommie. Visu tena? Afu valeur atakamata nani?

haoni na pia ubongo wake unafanya kazi backwards
hahaaaa biggy umenimaliza from pubic to public.....kibluray sio wala kinoname sio
Shhhh! taratibu mamushka!

Yo Yo Yo Girl I can hear u 🙄 I actually failed to understand u which is fine because sometimes I fail to understand myself... I wont take it personal since I dont know u well and am sure u dont know me... u actually remind me of High School teens,
Eheeee! Hapo sasa.

Noname mambo? Naomba usinitoe knock out,(lugha ya ujamaa na kujitegemea) jana sikuyaonja ya kutosha na kale kadikishenari kangu nimekasahau kaunta.
 
Back
Top Bottom