Eti ni kwanini? Hebu tuambie...

nakushauri kaake mimi usisome kiarabu utaharibu
anzia ulipo ishia ili twende sawa

BTW: ulipigwa ban yahoo pia???
Kama muda wote namuona hapa JF, na huko Yahoo sijui ndio mamesenja nako pia anahudhuria, mkoloni anatumikiwa saa ngapi wajameni??? Dah Hii hangover hapa naona maruweruwe...... Kama namwona Frank Ribbery......I mean Man United akiolewa.....😀😀
 

Aahaa kumbe okey sasa na mimi nimekuelewa
 
Eheeee! Hapo sasa.

Noname mambo? Naomba usinitoe knock out,(lugha ya ujamaa na kujitegemea) jana sikuyaonja ya kutosha na kale kadikishenari kangu nimekasahau kaunta.
ok Kiddo umeanza kuwa annoying... www.dictionary.com let it be ur friend... na isipokusaidia u can put me on ur Ignore list ( I guess it works)... I really dont have time for this...
 
hehehe!nilijua tu.
 

kweli miwani yako inaona
mie kwangu not seenable kabisa, sijui nimeingia kwenye list yake kama ya Masanilo
me donno!!
 
ok Kiddo umeanza kuwa annoying... www.dictionary.com let it be ur friend... na isipokusaidia u can put me on ur Ignore list ( I guess it works)... I really dont have time for this...
Thanks for your assistance. Ntaanza na ABCDs. But you do not belong to my IGNORE list, if you must kill me. You knoo woram seyying? Hapo kwenye red, ngoja niende kanisani, nlishasahau hii ni Kwaresma..........
 
kweli miwani yako inaona
mie kwangu not seenable kabisa, sijui nimeingia kwenye list yake kama ya Masanilo
me donno!!
Ebo! Kumbe ntabaki peke yangu nikifanya masihara! Ngoja niingie mkataba na kadikshenare kangu kwa Eng-Swa from TUKI with love.
 
Ebo! Kumbe ntabaki peke yangu nikifanya masihara! Ngoja niingie mkataba na kadikshenare kangu kwa Eng-Swa from TUKI with love.


hahaaaa
tuisheni bei rahisi, bugurununi kwa mnyamani
bluray ndo mwalimu wa somo (rejea lile tangazo la kipeuo la haki elimu)
 
Ebo! Kumbe ntabaki peke yangu nikifanya masihara! Ngoja niingie mkataba na kadikshenare kangu kwa Eng-Swa from TUKI with love.
Hommie don't 4get to send a copy!! I have lost mine!! dah hapa sijui nimepiga kinn
 
hahaaaa
tuisheni bei rahisi, bugurununi kwa mnyamani
bluray ndo mwalimu wa somo (rejea lile tangazo la kipeuo la haki elimu)
Kama mwalimu ndo huyo basi SUP zitahusika kwa sana!
 
Hommie don't 4get to send a copy!! I have lost mine!! dah hapa sijui nimepiga kinn
Hahaha! Hivi Hommie ulinambia ulizaliwa Northingham au Birmingham? Huwezi kuflow namna hiyo wakati huna alkoholi kumkichwa!
 
biggy umemuona mwenzio Meku???
dah afu mwalimu huyu bana watu wana-disco nini ku-SUP!!!
Nimemuona mamushka! Naanza kutilia mashaka birth certificate yake!
Hahaha! Nilivo mtaalam wa kudesa, kudisco itakuwa ndoto. Mi ni mtaalam wa ku-Sup tu!
 
Baba Enock: Lini utanitafuta Viola Pub nikununulie bia baridi?

Mkuu

Long weekend - Jumamosi itakuwa muafaka: baada ya Ibada ya Mkesha wa Pasaka : Tutakuwa tumewekwa HURU baada ya kumshinda shetani
 
Hahaha! Hivi Hommie ulinambia ulizaliwa Northingham au Birmingham? Huwezi kuflow namna hiyo wakati huna alkoholi kumkichwa!
hommie ni hangover tu hii inanisaidia nadhani ikiisha ntaanza kuflow the opposite ya kibluray
 
Mkuu

Long weekend - Jumamosi itakuwa muafaka: baada ya Ibada ya Mkesha wa Pasaka : Tutakuwa tumewekwa HURU baada ya kumshinda shetani
Ubarikiwe na Bwana aliyeziumba Mbingu na Nchi.

Ni yeye pia ndiye aliyewaumba wanadamu wote, kuanzia Adamu, Hawa, mgunduzi wa bia, valeur na mbege.😀😀
 
hommie ni hangover tu hii inanisaidia nadhani ikiisha ntaanza kuflow the opposite ya kibluray

hahaaaaaa!!!
Meku mi sinilisema leo nafia nchi lakini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…