Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 7,828
- 9,546
Lowasa - Rais
you made my day!! hahahahahh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lowasa - Rais
kwani duniania havipo?nimevitolea mfano kwakuwa vipo kwenye mazingira yetu na vinafahamika na watu wengiMkuu, yaani hiyo sio duniani bali ni kwa mujibu wa fikra zako. Mifano uliyotoa hapo juu sio universal bali ni ya kimazingira zaidi mfano Ugali- wali, mahindi - mpunga,
Magufuli-Lowasaleo siwasalimii naanza na mada moja kwa moja
inasemekana vitu vyote duniani vimeumbwa viwiliviwili ila kimoja ni kinyume na mwenzake,mfano
mwanaume-mwanamke
ugali-wali
mahindi-mpunga
mwanga-giza
kulia-kushoto
usiku-mchana
kiangazi-masika
jua-mvua
na kadhalika na kadhalika.kama unajua vingine ongeza au kama hukubaliani tuelezee
kwahiyo ulitaka tuzungumzie uasherati muda wote ndio ungeona ni point?
na mke wangu
PUMBA TUPU
mkuu nahisi hapa ulimaanisha interesting!Interested