Eti ni kweli wanaume wa Jf hamna pesa?

Hata wewe weka namba yako ya simu ya kweli, picha yako ya kweli ukionekana kwanzia juu hadi chini, njemba zitakutumia pesa hata dakika 5 nyingi.
Hahaahaha hiyo siyo sababu sababu ni kutuma madorali ili niamini unapesa huko unatoka nje ya madaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…