Eti ni kweli wanaume wa Jf hamna pesa?

Eti ni kweli wanaume wa Jf hamna pesa?

Sema Shida yako usaidiwe ,,,kujua kiasi cha pesa cha mtu haikusaidii kitu.


Hata kama unataka mtoko sema tu!!
Utafatw Popote ulipo !!


Wenye pesa wamo humu,,,makapuk tumo,,,wapenda bata wapo,,,kilA kitu kimo.
Weka uthibitisho
 
IMG_20180814_104219_590.jpg
 
Back
Top Bottom