b191
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 742
- 1,031
Habari wandugu!
Nimekuwa nikipitia comments kadhaa humu jamvini.
Siku za hivi karibuni kuna neno linatumika sana humu jamvini hususani kama mada inamhusu ndugu yangu mmoja hivi.
Wengi husema eti ni "MWEZI MCHANGA"
Samahani naomba tu kujua,
1. Ni KWELI au SIKWELI?
2. Ni matukio au maamuzi gani ambayo yamefanyika mwezi ukiwa mchanga na yanadhihirisha hili?
Pia naomba tufanye utafiti juu ya matukio au maamuzi yanayotokea wakati mwezi ukiwa mchanga na utuambie hapa.
NB:Subscribe hii Mada ili kila panapotokea Mwezi unapokuwa mchanga upate updates.
Nawasilisha.
Nimekuwa nikipitia comments kadhaa humu jamvini.
Siku za hivi karibuni kuna neno linatumika sana humu jamvini hususani kama mada inamhusu ndugu yangu mmoja hivi.
Wengi husema eti ni "MWEZI MCHANGA"
Samahani naomba tu kujua,
1. Ni KWELI au SIKWELI?
2. Ni matukio au maamuzi gani ambayo yamefanyika mwezi ukiwa mchanga na yanadhihirisha hili?
Pia naomba tufanye utafiti juu ya matukio au maamuzi yanayotokea wakati mwezi ukiwa mchanga na utuambie hapa.
NB:Subscribe hii Mada ili kila panapotokea Mwezi unapokuwa mchanga upate updates.
Nawasilisha.