Eti pokeea pokeea! Wapeni na ninyi sadaka za maneno msitapeliwe pesa zenu

Eti pokeea pokeea! Wapeni na ninyi sadaka za maneno msitapeliwe pesa zenu

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Mnaokwenda kuombewa kwanza hamna uhusiano mzuri na Mungu BABA YENU. Hailezeki hata kwa maisha ya kibinadamu una baba yako mzazi huwezi kumuendea kumuomba kitu mpaka utumie kuwadi fulani anayejiita mtume, nabii,kuhani, mwalimu nk eti akuombee. Huu ni upumbavu na afya mbovu ya akili. Kama ulienda mahali ukaombewa ukapata ulichotaka JUA WAZI UMEPATA KWA MLANGO WA KISHETANI. Yesu alisema hata wateule wataingizwa kwenye mrengo huo. Ghadhabu ya Mungu inakusibiri.
 
Mnaokwenda kuombewa kwanza hamna uhusiano mzuri na Mungu BABA YENU. Hailezeki hata kwa maisha ya kibinadamu una baba yako mzazi huwezi kumuendea kumuomba kitu mpaka utumie kuwadi fulani anayejiita mtume, nabii,kuhani, mwalimu nk eti akuombee. Huu ni upumbavu na afya mbovu ya akili. Kama ulienda mahali ukaombewa ukapata ulichotaka JUA WAZI UMEPATA KWA MLANGO WA KISHETANI. Yesu alisema hata wateule wataingizwa kwenye mrengo huo. Ghadhabu ya Mungu inakusibiri.
Mkienda kwenye hayo makusanyoko yao waambieni na ninyi mnawaombea kwa jina la Yesu wapate pesa. Usiwape pesa zako matapeli
 
Mnaokwenda kuombewa kwanza hamna uhusiano mzuri na Mungu BABA YENU. Hailezeki hata kwa maisha ya kibinadamu una baba yako mzazi huwezi kumuendea kumuomba kitu mpaka utumie kuwadi fulani anayejiita mtume, nabii,kuhani, mwalimu nk eti akuombee. Huu ni upumbavu na afya mbovu ya akili. Kama ulienda mahali ukaombewa ukapata ulichotaka JUA WAZI UMEPATA KWA MLANGO WA KISHETANI. Yesu alisema hata wateule wataingizwa kwenye mrengo huo. Ghadhabu ya Mungu inakusibiri.
Naam; Kweli Kuna cha kujifunza hapo👆 👆 👆. Hapo ni mwenye masikio na asikie.
 
Back
Top Bottom