marehem x
JF-Expert Member
- Dec 28, 2022
- 513
- 792
Wajameni.
Wkt nakula bia mhudumu wa bar alinitolea mpya Leo.
Mimi. "Wewe dada lete Serengeti lite, na konyagi. Gras iwe ndefu tafadhali"
Mhudumu. - Huyo akaenda akaja na bia Serengeti baridi na konyagi kaschana. " Serengeti Moja au mbili." ?
Mimi. "Mbili"
Muhudumu. " Nii panue?"
Mimi. "Heee...!?! Upanue nini dada?
Muhudumu. "Maji"
Mimi. (Huku nashangaa shangaa ) nikamcheki nyuma nikaona tako lipo.
Dada" Nahizi bia nifungue zote?"
Mimi. " panua zote"; (dada akacheka)
Natafakari bado tofauti ya kupanua na kufungua.
Ukiagiza bia Sema "panua bea sio fungua bia no"
Wkt nakula bia mhudumu wa bar alinitolea mpya Leo.
Mimi. "Wewe dada lete Serengeti lite, na konyagi. Gras iwe ndefu tafadhali"
Mhudumu. - Huyo akaenda akaja na bia Serengeti baridi na konyagi kaschana. " Serengeti Moja au mbili." ?
Mimi. "Mbili"
Muhudumu. " Nii panue?"
Mimi. "Heee...!?! Upanue nini dada?
Muhudumu. "Maji"
Mimi. (Huku nashangaa shangaa ) nikamcheki nyuma nikaona tako lipo.
Dada" Nahizi bia nifungue zote?"
Mimi. " panua zote"; (dada akacheka)
Natafakari bado tofauti ya kupanua na kufungua.
Ukiagiza bia Sema "panua bea sio fungua bia no"