Eti soda unaipanua, chupa ya maji unaifungua na kufunga

Eti soda unaipanua, chupa ya maji unaifungua na kufunga

marehem x

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2022
Posts
513
Reaction score
792
Wajameni.

Wkt nakula bia mhudumu wa bar alinitolea mpya Leo.

Mimi. "Wewe dada lete Serengeti lite, na konyagi. Gras iwe ndefu tafadhali"

Mhudumu. - Huyo akaenda akaja na bia Serengeti baridi na konyagi kaschana. " Serengeti Moja au mbili." ?

Mimi. "Mbili"

Muhudumu. " Nii panue?"

Mimi. "Heee...!?! Upanue nini dada?
Muhudumu. "Maji"

Mimi. (Huku nashangaa shangaa ) nikamcheki nyuma nikaona tako lipo.

Dada" Nahizi bia nifungue zote?"

Mimi. " panua zote"; (dada akacheka)

Natafakari bado tofauti ya kupanua na kufungua.

Ukiagiza bia Sema "panua bea sio fungua bia no"
 
Je barmaid akiweka mezani tu bila kuipanua? 😀😃😄
 
Kuyapanua maji tena..nin maana yake
Amekuja huyu dada nikamuuliza yeye anapenda bia gani. Akadai atakunywa redds.

Akaagiza yake. Nikamuhoji.

Mimi. " Niambie maana ya kufungua na kupanua"

Muhudumu. " Unapua kitu ambacho huwezi kufunga kikarejea katika Hali yake.

Muhudumu akaendelea kusema. " Huwezi kurejesha kifuniko Cha soda ikafunga kama ilivyo awali. Ila maji unafungua ma unafunga.

Kupanua na kufungua ndio point kuu hapa
 
Wajameni.

Wkt nakula bia mhudumu wa bar alinitolea mpya Leo.

Mimi. "Wewe dada lete Serengeti lite, na konyagi. Gras iwe ndefu tafadhali"

Mhudumu. - Huyo akaenda akaja na bia Serengeti baridi na konyagi kaschana. " Serengeti Moja au mbili." ?

Mimi. "Mbili"

Muhudumu. " Niya panue?"

Mimi. "Heee...!?! Upanue nini dada?
Muhudumu. "Maji"

Mimi. (Huku nashangaa shangaa ) nikamcheki nyuma nikaona tako lipo.

Dada" Nahizi bia nifungue zote?"

Mimi. " panua zote"; (dada akacheka)

Natafakari bado tofauti ya kupanua na kufungua.


Ukiagiza bia Sema "panua bea sio fungua bia no".
Kaa hapo hapo nakuja na polisi
 
Ongeza konyagi nyingine kavu-kavu alafu utupe mrejesho mmemaliza vipi hapo
 
Sie tunakula na meno yake hatubakishi.
Kama nguruwe unamla Hadi meno yake wewe kiboko. Wewe hata mb.oo yenye Pete wewe unaondoa Pete, ule mkuyenge mzima.

Lazima utakuwa mtaalamu wa threesome
 
🎼Zamani tukiimba wimbo wa kimanumanu.

Utoto bana.

Eti kimanumanu kinamanuamanua
🎼 🎵🎵🎶🎵🎶🎵🎶🎵🎶
 
Back
Top Bottom