Eti Train ya Umeme kununuliwa engine za Diesel ⛽

Ukweli na mm hili limenishangaza sana sana hovyo kabisa
 

View: https://x.com/tzrailways/status/1867583445402066996?t=czO-ZCSdLABd0QIlVXw7cA&s=19
 
Tulianza na umeme , taratibu dizeli, taratibu makaa ya nawe, taratibu viongozi watatuomba wananchi tujitolee kuisukuma ili mambo yaende
 
Swali la kujiuliza kwa budget ipi iliyopitishwa watu wanatafuna nchi
 
Nchi hii nadhani ina laana siyo bure, hapo kuna madalali wameshatega mitego malundo ya hela yaingie!
Unazima umeme ili uwashe koroboi!!!
 
Pia inawezekana ni jamaa wa mabasi ya Dar - Moro wamepenyeza sumu ya kuua taratibu. Tanzania mauzauza mengi.


Me ndo lilikuwa wazo langu hili .... Dar -moro business ni vigogo watupu


SGR ikifanya vizuri kama ilivyo kusudiwa wakati wa kuanzishwa kwake biashara ya mabasi dar - moro lazima itakufa tu B'se hakuna mtu atakubali akae kwenye basi masaa 7 to 8 akisafiri Kwenda dar au Dodoma it means biashara yao itakufa kabisa
 
Inakera Sanaa yani upambavu mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…