Eti Train ya Umeme kununuliwa engine za Diesel ⛽

Eti Train ya Umeme kununuliwa engine za Diesel ⛽

alieuanzisha huu mradi ndie angeweza kuuendeleza!, huyu alierithi hapana kwakweli!.

Hii nchi ni kama channel ya vituko!.
Kwani aliyeuanzisha huu mradi naye angekaa pale milele, kikubwa ni uwajibikaji kwa watendaji wote waliopewa nafasi za kuendesha hayo mashirika.
 
Tunaposema Tanzania inahitaji viongozi wenye maono,malengo na uzalendo wa kweli tunamaanisha. Ni juzi tu train ya umeme imeanza kazi huku Stigler gorge ikiwa imeanza kuchangia kiasi cha megawatt kwenye gridi ya taifa ila cha kushangaza na kitia huzuni ni kwamba badala ya kuwa na mkakati mahususi wa kuhakikisha umeme haukatiki kwa namna yoyote Ile hata kwa ku dedicate megawatt kadhaa just for train peke yake, viongozi wanakuja na mkakati wa kinunua engine za Diesel eti kwajili ya kuendesha SGR pale umeme unapokatika.

Hakuna mpango wowote unaowekwa mezani kuhakikisha umeme haukatiki, mabilion ya pesa yamewekezwa kwenye umeme pamoja na train ya kisasa ila naona viongozi wameamua ku sabotage na kurudisha Tanzania kwenye giza.

Viongozi wetu unapowaona wanapita na magari ya kifahari na suti nzuri za kuvutia unawezawaona kama ni watu wa maana sana ila kiukweli ni tofauti na vile tunavyowaona, wengi ni less creative, wapenda rushwa na madaraka, uwezo mdogo katika kifikiri na kutenda, na wengi hufikiria zaidi matumbo yao kuliko maendeleo halisi ya nchi ya Tanzania.

Mama Samia angalia sana watu unawapa nafasi za kubeba maono na ndoto za watanzania, wengi wa hawa viongozi wanatulazimisha kuwa umasikini, na ujinga kuwa sehemu ya maisha yetu.

Train ya SGR imetupa sifa kubwa kama watanzania duniani kote ila hili la kununua engine za diesel badala ya kuimarisha upatikanaji wa umeme unaenda kutunyong'onyeza, kutubagaza, kituaibisha na kutufanya tuonekane kituko kwenye Dunia hii ya sayansi na teknologia.

Naomba Rais Samia uchunguze kwa makini huyu aliyeleta wazo la kununua engine za Diesel Ili kujua nani ana ratibu mambo haya ya kihuni na aseme ni nchi gani duniani iliyonunua train za umeme alafu wakaagiza tena engine za diesel kwajili ya kuendesha train ya umeme.

Ila pia msichukie sana wananchi wanavyomsifu JPM kwa namna alivokuwa anapambana kwa nia ya dhati ya kuiletea Tanzania maendeleo ya kweli na heshima duniani. JPM asinge tolerate mambo kama haya.
View attachment 3175658
 

Attachments

  • IMG-20241213-WA0037.jpg
    IMG-20241213-WA0037.jpg
    86.1 KB · Views: 1
Mkuu ukiendelea kuwachukulia serious CCM utastukia mwaka 3000 na bado CCM ipo madarakani. Hiki chama wanajua hii nchi kuna watu hua wanadakia vitu na kuanza kujadiri kimihemko. So wanaleta kitu mkoendelea kujadili mnaachana na mambo ya muhimu. Ngoja siku umuone Mh Rais kapanda punda ndio utajua CCM wanajua kucheza na akili za manyumbu.
 
Tunaposema Tanzania inahitaji viongozi wenye maono,malengo na uzalendo wa kweli tunamaanisha. Ni juzi tu train ya umeme imeanza kazi huku Stigler gorge ikiwa imeanza kuchangia kiasi cha megawatt kwenye gridi ya taifa ila cha kushangaza na kitia huzuni ni kwamba badala ya kuwa na mkakati mahususi wa kuhakikisha umeme haukatiki kwa namna yoyote Ile hata kwa ku dedicate megawatt kadhaa just for train peke yake, viongozi wanakuja na mkakati wa kinunua engine za Diesel eti kwajili ya kuendesha SGR pale umeme unapokatika.

Hakuna mpango wowote unaowekwa mezani kuhakikisha umeme haukatiki, mabilion ya pesa yamewekezwa kwenye umeme pamoja na train ya kisasa ila naona viongozi wameamua ku sabotage na kurudisha Tanzania kwenye giza.

Viongozi wetu unapowaona wanapita na magari ya kifahari na suti nzuri za kuvutia unawezawaona kama ni watu wa maana sana ila kiukweli ni tofauti na vile tunavyowaona, wengi ni less creative, wapenda rushwa na madaraka, uwezo mdogo katika kifikiri na kutenda, na wengi hufikiria zaidi matumbo yao kuliko maendeleo halisi ya nchi ya Tanzania.

Mama Samia angalia sana watu unawapa nafasi za kubeba maono na ndoto za watanzania, wengi wa hawa viongozi wanatulazimisha kuwa umasikini, na ujinga kuwa sehemu ya maisha yetu.

Train ya SGR imetupa sifa kubwa kama watanzania duniani kote ila hili la kununua engine za diesel badala ya kuimarisha upatikanaji wa umeme unaenda kutunyong'onyeza, kutubagaza, kituaibisha na kutufanya tuonekane kituko kwenye Dunia hii ya sayansi na teknologia.

Naomba Rais Samia uchunguze kwa makini huyu aliyeleta wazo la kununua engine za Diesel Ili kujua nani ana ratibu mambo haya ya kihuni na aseme ni nchi gani duniani iliyonunua train za umeme alafu wakaagiza tena engine za diesel kwajili ya kuendesha train ya umeme.

Ila pia msichukie sana wananchi wanavyomsifu JPM kwa namna alivokuwa anapambana kwa nia ya dhati ya kuiletea Tanzania maendeleo ya kweli na heshima duniani. JPM asinge tolerate mambo kama haya.
View attachment 3175658
Umeme unafanya tunashindwa kupiga upigaji wetu kwenye wese ndio kuzur tunazidisha sifur moja
 
Kama kimradi cha UDART kiliwashinda vibaya mno mpaka wakatafuta wawekezaji matapeli wakishirikiana na Kafulila kwa kivuli cha PPP huo mradi nao sikuona ukifika mbali.

Vipi utunzaji tu wa viti, vyoo, meza na viti wameweza kutunza japo mabehewa nayo ni mtumba.
 
Kwa nini asiagize backup systems zinazoweza kuendesha japo kwa massage manne. Badala ya hayo madiesel. Sio ya kipaumbele sana twaweza endelea kuvumilia wakati tunasoma mchezo
 
Ngozi nyeusi hii ni tatizo. Kwa nini hatuwezi kufanya vitu kwa weledi vikaenda kama inavyotakiwa? Hakuna maono. Hakuna mambo ya legacy. Nitawaachia nini watu wangu. Ni kuwaza matumbo tu. Halafu siku ya siku jitu linafia nje huko likitibiwa; na kuacha mamilioni ya dola limeficha. Ubinafsi wa kihayawani. Primitive! Shithole! Pathetic!
dah Huyu masanja kadogosa si alitwambia hii train hata umeme ukake train haiwezi simama. yaan nimepatwa na hasira gafla hivi sisi tulimkosea nini Mungu?
 
Najua mtanikumbuka Tena kwa mema yangu hayo ndo maneno ya mwenda zake.PUMZIKA UNAPOSTAHILI
 
Tunaposema Tanzania inahitaji viongozi wenye maono,malengo na uzalendo wa kweli tunamaanisha. Ni juzi tu train ya umeme imeanza kazi huku Stigler gorge ikiwa imeanza kuchangia kiasi cha megawatt kwenye gridi ya taifa ila cha kushangaza na kitia huzuni ni kwamba badala ya kuwa na mkakati mahususi wa kuhakikisha umeme haukatiki kwa namna yoyote Ile hata kwa ku dedicate megawatt kadhaa just for train peke yake, viongozi wanakuja na mkakati wa kinunua engine za Diesel eti kwajili ya kuendesha SGR pale umeme unapokatika.

Hakuna mpango wowote unaowekwa mezani kuhakikisha umeme haukatiki, mabilion ya pesa yamewekezwa kwenye umeme pamoja na train ya kisasa ila naona viongozi wameamua ku sabotage na kurudisha Tanzania kwenye giza.

Viongozi wetu unapowaona wanapita na magari ya kifahari na suti nzuri za kuvutia unawezawaona kama ni watu wa maana sana ila kiukweli ni tofauti na vile tunavyowaona, wengi ni less creative, wapenda rushwa na madaraka, uwezo mdogo katika kifikiri na kutenda, na wengi hufikiria zaidi matumbo yao kuliko maendeleo halisi ya nchi ya Tanzania.

Mama Samia angalia sana watu unawapa nafasi za kubeba maono na ndoto za watanzania, wengi wa hawa viongozi wanatulazimisha kuwa umasikini, na ujinga kuwa sehemu ya maisha yetu.

Train ya SGR imetupa sifa kubwa kama watanzania duniani kote ila hili la kununua engine za diesel badala ya kuimarisha upatikanaji wa umeme unaenda kutunyong'onyeza, kutubagaza, kituaibisha na kutufanya tuonekane kituko kwenye Dunia hii ya sayansi na teknologia.

Naomba Rais Samia uchunguze kwa makini huyu aliyeleta wazo la kununua engine za Diesel Ili kujua nani ana ratibu mambo haya ya kihuni na aseme ni nchi gani duniani iliyonunua train za umeme alafu wakaagiza tena engine za diesel kwajili ya kuendesha train ya umeme.

Ila pia msichukie sana wananchi wanavyomsifu JPM kwa namna alivokuwa anapambana kwa nia ya dhati ya kuiletea Tanzania maendeleo ya kweli na heshima duniani. JPM asinge tolerate mambo kama haya.
View attachment 3175658


Haya mashirika kila siku wanakaa na kujaribu kutafuta deal za kifisadi. Walisema umeme tunao mpaka wa kuuza sasa hii la kununua mafuta ili waweze kuiba kwenye mafuta. Ubinafsi huo. Sasa wanasema tatizo ni umeme kukatika kwanini umeme ukatike katike kwanini wasitatue hilo tatizo kwanza
 
Tunaposema Tanzania inahitaji viongozi wenye maono,malengo na uzalendo wa kweli tunamaanisha. Ni juzi tu train ya umeme imeanza kazi huku Stigler gorge ikiwa imeanza kuchangia kiasi cha megawatt kwenye gridi ya taifa ila cha kushangaza na kitia huzuni ni kwamba badala ya kuwa na mkakati mahususi wa kuhakikisha umeme haukatiki kwa namna yoyote Ile hata kwa ku dedicate megawatt kadhaa just for train peke yake, viongozi wanakuja na mkakati wa kinunua engine za Diesel eti kwajili ya kuendesha SGR pale umeme unapokatika.

Hakuna mpango wowote unaowekwa mezani kuhakikisha umeme haukatiki, mabilion ya pesa yamewekezwa kwenye umeme pamoja na train ya kisasa ila naona viongozi wameamua ku sabotage na kurudisha Tanzania kwenye giza.

Viongozi wetu unapowaona wanapita na magari ya kifahari na suti nzuri za kuvutia unawezawaona kama ni watu wa maana sana ila kiukweli ni tofauti na vile tunavyowaona, wengi ni less creative, wapenda rushwa na madaraka, uwezo mdogo katika kifikiri na kutenda, na wengi hufikiria zaidi matumbo yao kuliko maendeleo halisi ya nchi ya Tanzania.

Mama Samia angalia sana watu unawapa nafasi za kubeba maono na ndoto za watanzania, wengi wa hawa viongozi wanatulazimisha kuwa umasikini, na ujinga kuwa sehemu ya maisha yetu.

Train ya SGR imetupa sifa kubwa kama watanzania duniani kote ila hili la kununua engine za diesel badala ya kuimarisha upatikanaji wa umeme unaenda kutunyong'onyeza, kutubagaza, kituaibisha na kutufanya tuonekane kituko kwenye Dunia hii ya sayansi na teknologia.

Naomba Rais Samia uchunguze kwa makini huyu aliyeleta wazo la kununua engine za Diesel Ili kujua nani ana ratibu mambo haya ya kihuni na aseme ni nchi gani duniani iliyonunua train za umeme alafu wakaagiza tena engine za diesel kwajili ya kuendesha train ya umeme.

Ila pia msichukie sana wananchi wanavyomsifu JPM kwa namna alivokuwa anapambana kwa nia ya dhati ya kuiletea Tanzania maendeleo ya kweli na heshima duniani. JPM asinge tolerate mambo kama haya.
View attachment 3175658
Bure kabisa!!!
Kwani haikufanyika feasibility study kabla ya kuamua kuwa na mradi wa SGR kwa kutumia chanzo cha umeme??, bure kabisa!!!, wanajifanya ni wasomi kumbe ni bure kabisa!!!

Badala ya kula sahani moja na Tanesco ili kuwe na stable power supply nyie unaleta mawazo ya kui-inflate gharama ya mradi. Kwanini hamkuamua kuwa na source ya kutumia diesel?? Mnawafanya Watanzania ni wajinga sio!!, bure kabisa, huu ni upigaji mwingine.

Namshauli mama SSH aachane na hili wazo kwa manufaa ya Watanzania badala awabane Tanesco kuwa na stable power supply.
 
Tunaposema Tanzania inahitaji viongozi wenye maono,malengo na uzalendo wa kweli tunamaanisha. Ni juzi tu train ya umeme imeanza kazi huku Stigler gorge ikiwa imeanza kuchangia kiasi cha megawatt kwenye gridi ya taifa ila cha kushangaza na kitia huzuni ni kwamba badala ya kuwa na mkakati mahususi wa kuhakikisha umeme haukatiki kwa namna yoyote Ile hata kwa ku dedicate megawatt kadhaa just for train peke yake, viongozi wanakuja na mkakati wa kinunua engine za Diesel eti kwajili ya kuendesha SGR pale umeme unapokatika.

Hakuna mpango wowote unaowekwa mezani kuhakikisha umeme haukatiki, mabilion ya pesa yamewekezwa kwenye umeme pamoja na train ya kisasa ila naona viongozi wameamua ku sabotage na kurudisha Tanzania kwenye giza.

Viongozi wetu unapowaona wanapita na magari ya kifahari na suti nzuri za kuvutia unawezawaona kama ni watu wa maana sana ila kiukweli ni tofauti na vile tunavyowaona, wengi ni less creative, wapenda rushwa na madaraka, uwezo mdogo katika kifikiri na kutenda, na wengi hufikiria zaidi matumbo yao kuliko maendeleo halisi ya nchi ya Tanzania.

Mama Samia angalia sana watu unawapa nafasi za kubeba maono na ndoto za watanzania, wengi wa hawa viongozi wanatulazimisha kuwa umasikini, na ujinga kuwa sehemu ya maisha yetu.

Train ya SGR imetupa sifa kubwa kama watanzania duniani kote ila hili la kununua engine za diesel badala ya kuimarisha upatikanaji wa umeme unaenda kutunyong'onyeza, kutubagaza, kituaibisha na kutufanya tuonekane kituko kwenye Dunia hii ya sayansi na teknologia.

Naomba Rais Samia uchunguze kwa makini huyu aliyeleta wazo la kununua engine za Diesel Ili kujua nani ana ratibu mambo haya ya kihuni na aseme ni nchi gani duniani iliyonunua train za umeme alafu wakaagiza tena engine za diesel kwajili ya kuendesha train ya umeme.

Ila pia msichukie sana wananchi wanavyomsifu JPM kwa namna alivokuwa anapambana kwa nia ya dhati ya kuiletea Tanzania maendeleo ya kweli na heshima duniani. JPM asinge tolerate mambo kama haya.
View attachment 3175658
Hivi ni kitu gani serikali inaweza kufanya kwa ufanisi angalau ata 80%.
Yani ubabaishaji mwingi sana.
 
Ngozi nyeusi hii ni tatizo. Kwa nini hatuwezi kufanya vitu kwa weledi vikaenda kama inavyotakiwa? Hakuna maono. Hakuna mambo ya legacy. Nitawaachia nini watu wangu. Ni kuwaza matumbo tu. Halafu siku ya siku jitu linafia nje huko likitibiwa; na kuacha mamilioni ya dola limeficha. Ubinafsi wa kihayawani. Primitive! Shithole! Pathetic!
Mama anaupiga mwingi
 
Tunaposema Tanzania inahitaji viongozi wenye maono,malengo na uzalendo wa kweli tunamaanisha. Ni juzi tu train ya umeme imeanza kazi huku Stigler gorge ikiwa imeanza kuchangia kiasi cha megawatt kwenye gridi ya taifa ila cha kushangaza na kitia huzuni ni kwamba badala ya kuwa na mkakati mahususi wa kuhakikisha umeme haukatiki kwa namna yoyote Ile hata kwa ku dedicate megawatt kadhaa just for train peke yake, viongozi wanakuja na mkakati wa kinunua engine za Diesel eti kwajili ya kuendesha SGR pale umeme unapokatika.

Hakuna mpango wowote unaowekwa mezani kuhakikisha umeme haukatiki, mabilion ya pesa yamewekezwa kwenye umeme pamoja na train ya kisasa ila naona viongozi wameamua ku sabotage na kurudisha Tanzania kwenye giza.

Viongozi wetu unapowaona wanapita na magari ya kifahari na suti nzuri za kuvutia unawezawaona kama ni watu wa maana sana ila kiukweli ni tofauti na vile tunavyowaona, wengi ni less creative, wapenda rushwa na madaraka, uwezo mdogo katika kifikiri na kutenda, na wengi hufikiria zaidi matumbo yao kuliko maendeleo halisi ya nchi ya Tanzania.

Mama Samia angalia sana watu unawapa nafasi za kubeba maono na ndoto za watanzania, wengi wa hawa viongozi wanatulazimisha kuwa umasikini, na ujinga kuwa sehemu ya maisha yetu.

Train ya SGR imetupa sifa kubwa kama watanzania duniani kote ila hili la kununua engine za diesel badala ya kuimarisha upatikanaji wa umeme unaenda kutunyong'onyeza, kutubagaza, kituaibisha na kutufanya tuonekane kituko kwenye Dunia hii ya sayansi na teknologia.

Naomba Rais Samia uchunguze kwa makini huyu aliyeleta wazo la kununua engine za Diesel Ili kujua nani ana ratibu mambo haya ya kihuni na aseme ni nchi gani duniani iliyonunua train za umeme alafu wakaagiza tena engine za diesel kwajili ya kuendesha train ya umeme.

Ila pia msichukie sana wananchi wanavyomsifu JPM kwa namna alivokuwa anapambana kwa nia ya dhati ya kuiletea Tanzania maendeleo ya kweli na heshima duniani. JPM asinge tolerate mambo kama haya.
View attachment 3175658
Kama ni kweli, basi mama she's a pain in our ass. Hili likitokea, nitamchukia full force kwa nguvu zangu n all my mighty.

Kweli nchi in almost 60+yrs na haiwezi kuprovide stable electricity, tunazalisha zaidi ya mahitaji yetu ila someplaces bado zinaexperience power disruptions hadi kufikia watu wanaamini tuna power rationing.

Mwemdokasi miundombinu imekamilika ila hamna enough buses, some places hakuna harakati yeyote coz hakuna hata bus moja. Haya yaliyopo yenyewe ni insufficient.

Sgr imekamilika, tukiwa kama powerhouse of electricity, ila power outages zimekuwa zikisababisha inconveniences mara 1 hadi 3 kwa mwezi. Sasa ndio ninaskia wanataka kuleta diesel engines. Ckuf

Our mighty air Tanzania kumbe isa disgrace under blue sky. Kama hazijameet all needed safety controls, mlikuwa mnangojea a calamity ndio aje kuibuka majaliwa the 2?? Kama waliokuwepo ofisini hawakulizingatia hili, hauoni our government is proudly tolerating incompetency in our public offices??

Huu ni puuzi uliotukuka. If your hand makes you sin, cut it. It is evident kuwa kuna mtu majukumu kwake yamekuwa mabukwa kuliko uwezo wake wa kuyamudu. Kama wakina yanga na simba wakiona kiongozi no1 wa timu mambo yanamshinda, anatimuliwa tu kwan sh ngapi. Ila mama ameng'ang'ania madaraka maana hakuna wa kumwondoa. Jua mama unazingua. Wengine ni madie hards wa CCM ila mama unatufanya tukichukie hata Chama chetu pendwa. Aisee samahani ila shame on you. You're being a disgrace to our developing nation. Mtu mwenyewe una madhaifu kibao ambayo hatutaki kuyaongelea maana tunataka kuendelea kupatikana. Sio siri nchi imekushinda, mtu kucha kutembea tu nje ilhali ndani kuna mambo lukuki yanayohitaji uyasolve ila wewe unang'ethia ng'ethia tu. Mediocrity government shamelessly at its peak but bouncing n bragging as if everything is ok
 
Back
Top Bottom