The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
BBC wenyewe walireport janaHii taarifa ameisema nani?
Acheni uzishi wakuu wangu wa Jf!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BBC wenyewe walireport janaHii taarifa ameisema nani?
Acheni uzishi wakuu wangu wa Jf!
Biashara za watu mkuu.Tunaposema Tanzania inahitaji viongozi wenye maono,malengo na uzalendo wa kweli tunamaanisha. Ni juzi tu train ya umeme imeanza kazi huku Stigler gorge ikiwa imeanza kuchangia kiasi cha megawatt kwenye gridi ya taifa ila cha kushangaza na kitia huzuni ni kwamba badala ya kuwa na mkakati mahususi wa kuhakikisha umeme haukatiki kwa namna yoyote Ile hata kwa ku dedicate megawatt kadhaa just for train peke yake, viongozi wanakuja na mkakati wa kinunua engine za Diesel eti kwajili ya kuendesha SGR pale umeme unapokatika.
Hakuna mpango wowote unaowekwa mezani kuhakikisha umeme haukatiki, mabilion ya pesa yamewekezwa kwenye umeme pamoja na train ya kisasa ila naona viongozi wameamua ku sabotage na kurudisha Tanzania kwenye giza.
Viongozi wetu unapowaona wanapita na magari ya kifahari na suti nzuri za kuvutia unawezawaona kama ni watu wa maana sana ila kiukweli ni tofauti na vile tunavyowaona, wengi ni less creative, wapenda rushwa na madaraka, uwezo mdogo katika kifikiri na kutenda, na wengi hufikiria zaidi matumbo yao kuliko maendeleo halisi ya nchi ya Tanzania.
Mama Samia angalia sana watu unawapa nafasi za kubeba maono na ndoto za watanzania, wengi wa hawa viongozi wanatulazimisha kuwa umasikini, na ujinga kuwa sehemu ya maisha yetu.
Train ya SGR imetupa sifa kubwa kama watanzania duniani kote ila hili la kununua engine za diesel badala ya kuimarisha upatikanaji wa umeme unaenda kutunyong'onyeza, kutubagaza, kituaibisha na kutufanya tuonekane kituko kwenye Dunia hii ya sayansi na teknologia.
Naomba Rais Samia uchunguze kwa makini huyu aliyeleta wazo la kununua engine za Diesel Ili kujua nani ana ratibu mambo haya ya kihuni na aseme ni nchi gani duniani iliyonunua train za umeme alafu wakaagiza tena engine za diesel kwajili ya kuendesha train ya umeme.
Ila pia msichukie sana wananchi wanavyomsifu JPM kwa namna alivokuwa anapambana kwa nia ya dhati ya kuiletea Tanzania maendeleo ya kweli na heshima duniani. JPM asinge tolerate mambo kama haya.
View attachment 3175658
Jiko la kuni?Dunia iko kwenye mkakati wa kuondokana na fossil fuel wewe unashabikia ujinga! Kama ni back up kwa nini wasitafute technology ya clean energy?
Habari za kutunga ndio sifa ya ulimwengu wa sasa wa mitandao. Bahati mbaya zikikutana na wajinga wengi huchukuliwa ndio za kweli.Kwani mnaweza kuwa na majibu zaidi ya "Fake news" "Uzushi" "Upotoshaji" "Uchonganishi" ??.....Ufafanuzi uliotolewa jana usiku usiku mbona haukusema ni Fake news? 😲😮
Fake tu, usitishwe na lugha ya kingereza, ndege za ATCL hazijaanza kwenda huko Ulaya, usafiri wa anga sio sawa na madaladala, kuna taratibu za mamlaka za anga kusaini kwanza mikataba ya kufanya biashara baina ya nchi zao na Tanzania,![]()
Air Tanzania banned from EU skies over undisclosed 'safety concerns'
Air Tanzania Company Limited (ATCL) has been added to the European Union’s Air Safety List, effectively barring the airline from operating within the EU.www.thecitizen.co.tz
![]()
Commission updates EU Air Safety List and adds Air Tanzania to the airlines banned within the European Union
The Commission updated the EU Air Safety List, the list of airlines that are subject to an operating ban or operational restrictions within the European Union, because they do not meet international safety standards.transport.ec.europa.eu
![]()
Air Tanzania banned in latest revision to European blacklist
Air Tanzania has been formally blacklisted by the European Commission, following safety concerns identified at the flag-carrier. The European Union Aviation Safety Agency has also denied third-country operator authorisation to the airline, a prerequisite for conducting services to European...www.flightglobal.com
haya kuhusu airt tanzania nimekuwekea vyanzo ambavyo ni vya ulaya huko huko tena vya kuaminika na chanzo kimoja cha TZ ambacho ni the citzen.![]()
EU bans Air Tanzania, unsafe airline
Air Tanzania Will no longer have Third Country Operator authorization. Bans flights. Pakistani airlines PIA and Airblue Limited removed from blacklist.www.eunews.it
Kuhusu vichwa vya diesel niliona screenshot za gazeti labda kama lilikuwa photoshoped.
Hii habari iko kwenye reliable sources nyingi tu sasa sijui wabisha nini.Fake tu, usitishwe na lugha ya kingereza, ndege za ATCL hazijaanza kwenda huko Ulaya, usafiri wa anga sio sawa na madaladala, kuna taratibu za mamlaka za anga kusaini kwanza mikataba ya kufanya biashara baina ya nchi zao na Tanzania,
Mkuu sekta ya anga sio nyepesi kama tunavyoongopeana huku mitaani.
Haiwezi kuwa reliable kwa sababu ATCL haijamaliza kuingia mikataba na mamlaka za anga za mataifa hayo ya Ulaya.Hii habari iko kwenye reliable sources nyingi tu sasa sijui wabisha nini.
Bora hata hiyo ya vichwa vya train. Hii habari ni reliable
Kweli mtu huamua kuamini anachokiamini. Unapingana na media outlets zinazohusika ana usafiri wa anga? Hapo wametoa list ikiwemo pakistan...Haiwezi kuwa reliable kwa sababu ATCL haijamaliza kuingia mikataba na mamlaka za anga za mataifa hayo ya Ulaya.
Usitishwe na kizungu hicho, ni habari za upotoshaji sawa na nyingine zozote.
Tatizo ni dereva mwenyewe. Mimi Huwa namuona hamna kitu kabisa. Alifikaje hapo. Hana Nia nzur na nchi,Hana uwezo wa kuendesha gari, uwezo wake wa kujenga hoja na kuongea ni mdogo,haeleweki falsafa yake ya udereva ni ipi. Lakini Kuna wajinga utawasikia mitano tena. Huwezi ukawa na akili timamu ukampa mitano tena dereva wa hovyo kiasi hicho.Tunaposema Tanzania inahitaji viongozi wenye maono,malengo na uzalendo wa kweli tunamaanisha. Ni juzi tu train ya umeme imeanza kazi huku Stigler gorge ikiwa imeanza kuchangia kiasi cha megawatt kwenye gridi ya taifa ila cha kushangaza na kitia huzuni ni kwamba badala ya kuwa na mkakati mahususi wa kuhakikisha umeme haukatiki kwa namna yoyote Ile hata kwa ku dedicate megawatt kadhaa just for train peke yake, viongozi wanakuja na mkakati wa kinunua engine za Diesel eti kwajili ya kuendesha SGR pale umeme unapokatika.
Hakuna mpango wowote unaowekwa mezani kuhakikisha umeme haukatiki, mabilion ya pesa yamewekezwa kwenye umeme pamoja na train ya kisasa ila naona viongozi wameamua ku sabotage na kurudisha Tanzania kwenye giza.
Viongozi wetu unapowaona wanapita na magari ya kifahari na suti nzuri za kuvutia unawezawaona kama ni watu wa maana sana ila kiukweli ni tofauti na vile tunavyowaona, wengi ni less creative, wapenda rushwa na madaraka, uwezo mdogo katika kifikiri na kutenda, na wengi hufikiria zaidi matumbo yao kuliko maendeleo halisi ya nchi ya Tanzania.
Mama Samia angalia sana watu unawapa nafasi za kubeba maono na ndoto za watanzania, wengi wa hawa viongozi wanatulazimisha kuwa umasikini, na ujinga kuwa sehemu ya maisha yetu.
Train ya SGR imetupa sifa kubwa kama watanzania duniani kote ila hili la kununua engine za diesel badala ya kuimarisha upatikanaji wa umeme unaenda kutunyong'onyeza, kutubagaza, kituaibisha na kutufanya tuonekane kituko kwenye Dunia hii ya sayansi na teknologia.
Naomba Rais Samia uchunguze kwa makini huyu aliyeleta wazo la kununua engine za Diesel Ili kujua nani ana ratibu mambo haya ya kihuni na aseme ni nchi gani duniani iliyonunua train za umeme alafu wakaagiza tena engine za diesel kwajili ya kuendesha train ya umeme.
Ila pia msichukie sana wananchi wanavyomsifu JPM kwa namna alivokuwa anapambana kwa nia ya dhati ya kuiletea Tanzania maendeleo ya kweli na heshima duniani. JPM asinge tolerate mambo kama haya.
View attachment 3175658
Tanzania kuna nchi bado haijaweza kupeleka ndege zake, amini vyanzo vya ndani punguza huo utumwa wa kuamini kila kinachotoka huko nje. Punguza kujidharau.Kweli mtu huamua kuamini anachokiamini. Unapingana na media outlets zinazohusika ana usafiri wa anga? Hapo wametoa list ikiwemo pakistan...
Kweli you only see what your eyes want to see.
Shida sio kiingereza, na ndiyo maana nimechambua links za kukutumia na ndo maana nimekutumia links za reliable sources na si any source
Kumbe taarifa zote za treni kukwama mbugani kwa masaa kadhaa zilizoripotiwa tangu safari za Morogoro na Dodoma zianze ni za kutunga?Habari za kutunga ndio sifa ya ulimwengu wa sasa wa mitandao. Bahati mbaya zikikutana na wajinga wengi huchukuliwa ndio za kweli.
Labda wamebadili gia anganiMbona nimeona sehemu Tena msigwa amekanusha! Hii habari