Eti Train ya Umeme kununuliwa engine za Diesel ⛽

Eti Train ya Umeme kununuliwa engine za Diesel ⛽

Tunaposema Tanzania inahitaji viongozi wenye maono,malengo na uzalendo wa kweli tunamaanisha. Ni juzi tu train ya umeme imeanza kazi huku Stigler gorge ikiwa imeanza kuchangia kiasi cha megawatt kwenye gridi ya taifa ila cha kushangaza na kitia huzuni ni kwamba badala ya kuwa na mkakati mahususi wa kuhakikisha umeme haukatiki kwa namna yoyote Ile hata kwa ku dedicate megawatt kadhaa just for train peke yake, viongozi wanakuja na mkakati wa kinunua engine za Diesel eti kwajili ya kuendesha SGR pale umeme unapokatika.

Hakuna mpango wowote unaowekwa mezani kuhakikisha umeme haukatiki, mabilion ya pesa yamewekezwa kwenye umeme pamoja na train ya kisasa ila naona viongozi wameamua ku sabotage na kurudisha Tanzania kwenye giza.

Viongozi wetu unapowaona wanapita na magari ya kifahari na suti nzuri za kuvutia unawezawaona kama ni watu wa maana sana ila kiukweli ni tofauti na vile tunavyowaona, wengi ni less creative, wapenda rushwa na madaraka, uwezo mdogo katika kifikiri na kutenda, na wengi hufikiria zaidi matumbo yao kuliko maendeleo halisi ya nchi ya Tanzania.

Mama Samia angalia sana watu unawapa nafasi za kubeba maono na ndoto za watanzania, wengi wa hawa viongozi wanatulazimisha kuwa umasikini, na ujinga kuwa sehemu ya maisha yetu.

Train ya SGR imetupa sifa kubwa kama watanzania duniani kote ila hili la kununua engine za diesel badala ya kuimarisha upatikanaji wa umeme unaenda kutunyong'onyeza, kutubagaza, kituaibisha na kutufanya tuonekane kituko kwenye Dunia hii ya sayansi na teknologia.

Naomba Rais Samia uchunguze kwa makini huyu aliyeleta wazo la kununua engine za Diesel Ili kujua nani ana ratibu mambo haya ya kihuni na aseme ni nchi gani duniani iliyonunua train za umeme alafu wakaagiza tena engine za diesel kwajili ya kuendesha train ya umeme.

Ila pia msichukie sana wananchi wanavyomsifu JPM kwa namna alivokuwa anapambana kwa nia ya dhati ya kuiletea Tanzania maendeleo ya kweli na heshima duniani. JPM asinge tolerate mambo kama haya.
View attachment 3175658
Biashara za watu mkuu.
Diesel inalipa mkuu!
 
Kwakua sielewi treni ya SGR inavyofanya kazi hiki ninachoandika kisichukuliwe serious sana.

Badala ya engine haiwezekani kununua generators za kusupply umeme huu mwingine unapokata?

Au hiki hapa

Treni inatumia umeme. Umeme unakata treni haiendi.

Suluhu zipo mbili. Kujua kwanini umeme unakata na kutafuta suluhu au kununua engines za diesel. Ipi ni profitable in the long run?
 
Kwani mnaweza kuwa na majibu zaidi ya "Fake news" "Uzushi" "Upotoshaji" "Uchonganishi" ??.....Ufafanuzi uliotolewa jana usiku usiku mbona haukusema ni Fake news? 😲😮
Habari za kutunga ndio sifa ya ulimwengu wa sasa wa mitandao. Bahati mbaya zikikutana na wajinga wengi huchukuliwa ndio za kweli.
 
haya kuhusu airt tanzania nimekuwekea vyanzo ambavyo ni vya ulaya huko huko tena vya kuaminika na chanzo kimoja cha TZ ambacho ni the citzen.
Kuhusu vichwa vya diesel niliona screenshot za gazeti labda kama lilikuwa photoshoped.
Fake tu, usitishwe na lugha ya kingereza, ndege za ATCL hazijaanza kwenda huko Ulaya, usafiri wa anga sio sawa na madaladala, kuna taratibu za mamlaka za anga kusaini kwanza mikataba ya kufanya biashara baina ya nchi zao na Tanzania,

Mkuu sekta ya anga sio nyepesi kama tunavyoongopeana huku mitaani.
 
Fake tu, usitishwe na lugha ya kingereza, ndege za ATCL hazijaanza kwenda huko Ulaya, usafiri wa anga sio sawa na madaladala, kuna taratibu za mamlaka za anga kusaini kwanza mikataba ya kufanya biashara baina ya nchi zao na Tanzania,

Mkuu sekta ya anga sio nyepesi kama tunavyoongopeana huku mitaani.
Hii habari iko kwenye reliable sources nyingi tu sasa sijui wabisha nini.
Bora hata hiyo ya vichwa vya train. Hii habari ni reliable
 
Hii habari iko kwenye reliable sources nyingi tu sasa sijui wabisha nini.
Bora hata hiyo ya vichwa vya train. Hii habari ni reliable
Haiwezi kuwa reliable kwa sababu ATCL haijamaliza kuingia mikataba na mamlaka za anga za mataifa hayo ya Ulaya.

Usitishwe na kizungu hicho, ni habari za upotoshaji sawa na nyingine zozote.
 
Haiwezi kuwa reliable kwa sababu ATCL haijamaliza kuingia mikataba na mamlaka za anga za mataifa hayo ya Ulaya.

Usitishwe na kizungu hicho, ni habari za upotoshaji sawa na nyingine zozote.
Kweli mtu huamua kuamini anachokiamini. Unapingana na media outlets zinazohusika ana usafiri wa anga? Hapo wametoa list ikiwemo pakistan...
Kweli you only see what your eyes want to see.
Shida sio kiingereza, na ndiyo maana nimechambua links za kukutumia na ndo maana nimekutumia links za reliable sources na si any source
 
Tunaposema Tanzania inahitaji viongozi wenye maono,malengo na uzalendo wa kweli tunamaanisha. Ni juzi tu train ya umeme imeanza kazi huku Stigler gorge ikiwa imeanza kuchangia kiasi cha megawatt kwenye gridi ya taifa ila cha kushangaza na kitia huzuni ni kwamba badala ya kuwa na mkakati mahususi wa kuhakikisha umeme haukatiki kwa namna yoyote Ile hata kwa ku dedicate megawatt kadhaa just for train peke yake, viongozi wanakuja na mkakati wa kinunua engine za Diesel eti kwajili ya kuendesha SGR pale umeme unapokatika.

Hakuna mpango wowote unaowekwa mezani kuhakikisha umeme haukatiki, mabilion ya pesa yamewekezwa kwenye umeme pamoja na train ya kisasa ila naona viongozi wameamua ku sabotage na kurudisha Tanzania kwenye giza.

Viongozi wetu unapowaona wanapita na magari ya kifahari na suti nzuri za kuvutia unawezawaona kama ni watu wa maana sana ila kiukweli ni tofauti na vile tunavyowaona, wengi ni less creative, wapenda rushwa na madaraka, uwezo mdogo katika kifikiri na kutenda, na wengi hufikiria zaidi matumbo yao kuliko maendeleo halisi ya nchi ya Tanzania.

Mama Samia angalia sana watu unawapa nafasi za kubeba maono na ndoto za watanzania, wengi wa hawa viongozi wanatulazimisha kuwa umasikini, na ujinga kuwa sehemu ya maisha yetu.

Train ya SGR imetupa sifa kubwa kama watanzania duniani kote ila hili la kununua engine za diesel badala ya kuimarisha upatikanaji wa umeme unaenda kutunyong'onyeza, kutubagaza, kituaibisha na kutufanya tuonekane kituko kwenye Dunia hii ya sayansi na teknologia.

Naomba Rais Samia uchunguze kwa makini huyu aliyeleta wazo la kununua engine za Diesel Ili kujua nani ana ratibu mambo haya ya kihuni na aseme ni nchi gani duniani iliyonunua train za umeme alafu wakaagiza tena engine za diesel kwajili ya kuendesha train ya umeme.

Ila pia msichukie sana wananchi wanavyomsifu JPM kwa namna alivokuwa anapambana kwa nia ya dhati ya kuiletea Tanzania maendeleo ya kweli na heshima duniani. JPM asinge tolerate mambo kama haya.
View attachment 3175658
Tatizo ni dereva mwenyewe. Mimi Huwa namuona hamna kitu kabisa. Alifikaje hapo. Hana Nia nzur na nchi,Hana uwezo wa kuendesha gari, uwezo wake wa kujenga hoja na kuongea ni mdogo,haeleweki falsafa yake ya udereva ni ipi. Lakini Kuna wajinga utawasikia mitano tena. Huwezi ukawa na akili timamu ukampa mitano tena dereva wa hovyo kiasi hicho.
 
Hii habari ingekuwa ya kweli kuna mtu ningemdharau mpaka siku yake ya mwisho. Hata hivyo nafikiri kuna ukweli ndani yake ila wameona response ya public imekuwa negative sana wamaamua kukanusha.
 
Kweli mtu huamua kuamini anachokiamini. Unapingana na media outlets zinazohusika ana usafiri wa anga? Hapo wametoa list ikiwemo pakistan...
Kweli you only see what your eyes want to see.
Shida sio kiingereza, na ndiyo maana nimechambua links za kukutumia na ndo maana nimekutumia links za reliable sources na si any source
Tanzania kuna nchi bado haijaweza kupeleka ndege zake, amini vyanzo vya ndani punguza huo utumwa wa kuamini kila kinachotoka huko nje. Punguza kujidharau.
 
Ununuzi wa vichwa vya diesel kwangu naona kama kiini macho. Kwa taarifa hii ni dhahiri kwamba Bwawa la Mwl. Nyerere limefeli tena mapema kweupe pamoja na majigambo yote ya serikali.
 
Habari za kutunga ndio sifa ya ulimwengu wa sasa wa mitandao. Bahati mbaya zikikutana na wajinga wengi huchukuliwa ndio za kweli.
Kumbe taarifa zote za treni kukwama mbugani kwa masaa kadhaa zilizoripotiwa tangu safari za Morogoro na Dodoma zianze ni za kutunga?
Kukwama kwa treni kisa ngedere na bundi ni uongo?
Kisingizio cha watu kuhujumu miundombinu ya reli pia ni uongo ulioshadidiwa na wajinga?

Sababu hasa ya kuendelea kuishi in denials ni nini? Badala ya kuyafanyia kazi mapungufu mnaamua kukaza shingo na kuita watu kuwa wajinga? Hiki kiburi chimbuko lake ni nini? 😲
 
Back
Top Bottom