Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Hii imekaaje, utasikia nchi za Afrika eti zilipigania na kupata Uhuru, sasa kama ni kweli ina maana aliyekutawala alikuwa adui, sasa iweje kifo chake kiwe maombolezo kwenu?
Afrika ni takataka na tunadanganywa sana, hakuna nchi yoyote ile iliyopigania Uhuru, wote walipewa huo tunaouita uhuru kwa hiari, I mean ni kama vile Amir Bashir wa Sudani afe halafu South Sudani watangaze siku za maombolezo, Unafikiri linawezekana hilo?
Afrika ni takataka na tunadanganywa sana, hakuna nchi yoyote ile iliyopigania Uhuru, wote walipewa huo tunaouita uhuru kwa hiari, I mean ni kama vile Amir Bashir wa Sudani afe halafu South Sudani watangaze siku za maombolezo, Unafikiri linawezekana hilo?