Uchaguzi 2020 Eti ‘tunataka Tume huru’ wakati chaguzi za vyama vyenu hazina huo uhuru, wanafiki wakubwa!

Wewe andika kiswahili tu nitakuelewa! Tume huru kwa muktadha upi!? Mie hii iliyopo ni huru tayari! Unataka waje mabeberu ndio wahesabu kura ndio uamini kuwa tume yetu ya uchaguzi ni huru?
Hivi kwa mawazo yako, mahakama zetu ni huru au haziko huru?
Rip Aquilina
 

Unarudia kosa lile like. Kwamba:
- Mama amoni anazini
- Baba amoni anazini
- Kwa hiyo uzinzi ktk familia ya baba na mama amon inakuwa ni halali.

HAPANA
Two wrongs dont make a right!

Baba amon akinifumania nimechepuka hapati keseni ya kuchepuka.
 
Unarudia kosa lile like. Kwamba:
- Mama amoni anazini
- Baba amoni anazini
- Kwa hiyo uzinzi ktk familia ya baba na mama amon inakuwa ni halali.

HAPANA
Two wrongs dont make a right!

Baba amon akinifumania nimechepuka hapati keseni ya kuchepuka.
Kwa hiyo utamlalamikia kuwa si mwaminifu na kumtaka atulie njia kuu wakati ww ukiendelea kuchepuka si ndio eeh! Mama Amoni huku akijua kabisa ww nae unachepuka, unategemea atakusikiliza!?

Hata hivyo tume ya uchaguzi Tz haifikia kutokuwa na uhuru! Contexity ya uhuru inafaa kuendana na mazingira, na katiba! Kwa mazingira yetu na katiba yetu, tume yetu Mama Amon ni huru! Ila ni uhuru wenye mipaka!
 

Uhuru ni kitu gani na sio kitu gani?

Kuna matatu:

- agent
-agent's goals
-constraints.

Hapa,

-agent ni tume
- goals ni uchaguzi ulio huru, unaofanya kwa haki na wa uwazi, kwa kiwango kinachoheshimu matakwa ya umma mpana.
-vikwazo ni interventions za serikali, financial scarcity, technological backwardness, makada wa chama tawala kuingizwa kama watendaji, ma-TISS kuingilia utendaji wanTume, etc

Bado unasema tume ni huru?
Mungu anakuona
 
Wabunge wa chadema ni watumwa wa Mbowe, kwa hiyo hawawakilishi wananchi bali Mbowe
 

With your big-mind comment,definitely the thread is closed
 
Nini faida ya kuwa na Tume huru ya uchaguzi vs Tume isiyo huru?
Weka porojo za siasa na itikadi pembeni.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si dhani kama uko sahihi katika madai yako. Unajaribu kujitetea kisiasa kwa maslahi binafsi na chama chako. Hoja ya tume huru ina mashiko kitaifa na inampa nguvu mwananchi kuzingatia maamuzi yake ni huo uhuru wa tume ndiyo utaipa thamani kura zetu ziwe na sauti viongozi wetu waliotia pamba masikioni na kujigeuza miungu watu.

Hivyo haiwezi kunasibishwa na chaguzi za vyama. Kutokuwa na mfumo mzuri kwa mujibu wa madai yako kwa hao vyama kusitumike kudhoofisha hoja zao zenye mashiko na afya kwa watanzania.

Wewe ni wa hovyo sana kama unashindwa kuelewa thamani ya tume huru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo mimi mama amon ni mjinga kwa sababu ni mwanamke? Huo ni untanyasaji wa kijinsia. Nitake radhi
Mama Amon, mbona umeeukia 'pathway' ya risaai iaiyokuhuau? Na pia mbona umekimbilia kwenye jinsia!? Mimi nilikuwa natoa maoni yangu juu ya misimamo ya watu wanaotoka mwisho wa reli...kuwa misimamo ya kibishi mingine huwa ni ujinga wa mtu mwenyew kwa kutokuwa na taarifa sahihi!

Hata hivyo nani kasema ujinga ni mbaya, unakuwa mbaya tu pale unapohamia kwenye upumbafu! Ujinga unaweza futwa kirahisi sana mtu akiamua kuufuta!

Hivyo sina haja ya kukutaka radhi maana hiyo bullet haikuwa yako Mama Amon, lilikuwa jiwe la gizani😂😂😂😂😂! Pole, na samahani kama limekupata!
 
Umewatwanga haswa ,wanapita kimyakimya kama hawauoni uzi [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vikundi cha kihuni tu hivyo, ni aibu kuita vyama vya siasa! Hata soni hana huyu Mbowe, baada ya kujichaguliachagulia viongozi kihuni huni kwenye chama chake pasi kufuata democrasia, uhuru, na uwazi, anasimama mbungeni kudai tume huru...huu siyo unafiki wa dunia hii, ni kiwango kilichopitilia!


Angalieni na kusikiliza wenyewe kama unaharaka ruka mpaka dakika ya 9:45... anataka viongozi wapatikane kidemocrasia huyu Mbowe wakati ticktak na rough a enzi ngoza mwenyewe kufanyika hukohuko chadema!

Wataleta wagombea kutoka kwenye vyama vyao vya kihuni wasiopatikana kwa misingi ya kidemocrasia...afu wakifika ktk kufanya uchaguzi wa taifa ndio wanataka ufaanyike kwa kufuata democrasia...upuuzi kabisa!

Hata hivyo tume hii tuliyonayo ni huru sana ukilinganisha vikundi vyao vya kihuni wanavyoviita vyama vya siasa!
 
Nadhani anaetaka tume huru zaidi ni wananchi mkuu sio kina Mbowe.
Hakuna mwananchi aliyewahi kutaka tume huru, ili imfanyie nini. Mwananchi anataka maji, barabara za rami, madawa hospitalini, elimu bure, pesa, na vingine kama hivyo. Kwanza wapo wanachi wengi hawajui hata kazi ya Tume. Hilo ni hitaji la wanasiasa ili kujihakikishia mapito ya kuupata uongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waambie na ww ila sidhani kama wataelewa...sio kwa uzuzu, umbulula, na upumbafu walionao! Definition ya wananchi wa kawaida kwao siyo hiyo tunayoilewa ss! Ndio maana utasikia mara 'umma' haukumchagua Magu, mara nguvu ya umma'!

Ukiwauliza maana ya hayo msneno kama wanajua unaambulia matusi na kejeli! Kwao wananchi wa kawaida ni wao wenyewe wenye chuki binafsi na Magu..nach wahurumia ni kwamba Magu bado ana miaja 5 mingine, na tukimuona bado ananguvu tutampa kumi mingine,...naamini wakakufa na chuki zao wasipojirudi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…