X_INTELLIGENCE JF-Expert Member Joined Mar 25, 2014 Posts 10,400 Reaction score 14,339 Sep 8, 2019 #2 Kwa hali hii nachelea kuamini kuwa wewe ni mwanamke...haki wewe sio mwanamke
X_INTELLIGENCE JF-Expert Member Joined Mar 25, 2014 Posts 10,400 Reaction score 14,339 Sep 8, 2019 #3 Kwa hali hii nachelea kuamini kuwa wewe ni mwanamke...haki wewe sio mwanamke
Kaab msafi Member Joined Jun 13, 2013 Posts 60 Reaction score 115 Sep 8, 2019 #4 Hata huku mabaharia wanaona rahisi tu.
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Sep 8, 2019 #5 kumpiga mtu ni kazi rahisi sana ila ugumu upo unaporudishiwa kipigo
Swet-R JF-Expert Member Joined Jul 20, 2018 Posts 5,613 Reaction score 8,082 Sep 8, 2019 #7 Prince Mhando said: Kwa hali hii nachelea kuamini kuwa wewe ni mwanamke...haki wewe sio mwanamke Click to expand... Kumbe na wewe una wasiwasi nae kama mimi? Kuna siku alileta thred fulani ilikuwa sijui ya mambo ya kale hivi. Pale ndipo nilipobadirisha mtazamo wangu kuhusu huyu mtu. Maana sio kwa speach ile. Hawezi kuwa nayo mwanamke hata awe msomi kiasi gani?
Prince Mhando said: Kwa hali hii nachelea kuamini kuwa wewe ni mwanamke...haki wewe sio mwanamke Click to expand... Kumbe na wewe una wasiwasi nae kama mimi? Kuna siku alileta thred fulani ilikuwa sijui ya mambo ya kale hivi. Pale ndipo nilipobadirisha mtazamo wangu kuhusu huyu mtu. Maana sio kwa speach ile. Hawezi kuwa nayo mwanamke hata awe msomi kiasi gani?
Dejane JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 50,587 Reaction score 71,492 Sep 10, 2019 #8 Mbona wanacheza tu