Eti utasikia mzazi anawambia wanaye, "msitoke hapa niwakute..."

Eti utasikia mzazi anawambia wanaye, "msitoke hapa niwakute..."

Joined
Nov 3, 2024
Posts
55
Reaction score
92
Mzazi anasema mimi naenda mahala fulani msitoke hapa niwakute mnaangalia TV.

Mzazi huyu anaongea ilimradi tu bila kujuwa madhara ya watoto kukaa muda mrefu.

Nyumba za sasa choo nazo ndani unakuta watoto na wazazi wameamka akitoka chooni yupo kwenye tv na watoto kuchek season huku ni kuharibu afya unatazama TV masaa tele,unakula ukiwa umekaa kutwa unakuwa umekaa masaa11.

Saa moja ndiyo unaligawa kwenda chooni na chumbani.

Aibu jamani mbadilike.
 
Mzazi akisema hivyo hamaanishi wakae kitako muda wote anamaanisha wasiende mbali na mazingira yale.

Dunia hii ishaharibika sasa unaweza kuacha mwanao akacheze mtaani na wenzie unakuta wameshamnajisi
 
UKiondoka kimya kimya ni bora zaidi,hawatajuwa uko mbali kiasi gani,ila ukiwaambia tu umeharibu,maana wataanza kufanya vitu ambavyo hawajawai kuvifanya,chunguza jambo hili,unapomwambia mtoto usibembee kwenye mlango,ndiyo kila mara utamkuta anambea huwo mlango,bora usiwaambie lolote waache na uhuru.
 
Back
Top Bottom