Eti vijana wasiokuwa na ajira wakalime! Kweli?

Eti vijana wasiokuwa na ajira wakalime! Kweli?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Labda kama ni kilimo cha kumpatia chakula chake tu. Lakini kama ni kilimo cha kumpatia hela, asahau "kutoboa" bila mtaji!

Kilimo kinajitaji hela! Kilimo kinahitaji uwe umejipanga! Vinginevyo, utakuwa msindikizaji tu!

Ninawashangaa wanasiasa wanaowashauri vijana wasiokuwa na ajira kwamba eti wakalime! Watalima bila mtaji?

Nimelima! Ninalima! Ndiyo maana nimefahamu kuwa kilimo bila "hela" hakiendi!
 
Labda kama ni kilimo cha kumpatia chakula chake tu. Lakini kama ni kilimo cha kumpatia hela, asahau "kutoboa" bila mtaji!

Kilimo kinajitaji hela! Kilimo kinahitaji uwe umejipanga! Vinginevyo, utakuwa msindikizaji tu!

Ninawashangaa wanasiasa wanaowashauri vijana wasiokuwa na ajira kwamba eti wakalime! Watalima bila mtaji?

Nimelima! Ninalima! Ndiyo maana nimefahamu kuwa kilimo bila "hela" hakiendi!
Watanzania tunashida sana. Kama mtu una shamba mbeya la ekari 5 unaliacha unaanza kazi ya laki 3 kwa mwezi. Hiyo laki 3 unanunulia chakula na hakitoshi. Hapo akili huwa inanigomea
 
Mfano ulime mahindi.
Shamba ni la kukodi.
Hela ya kulima (vibarua au trekta)
Mbegu
Mbolea
Dawa
Bila kujipanga ni ngumu kweli
Kilimo ni baishara nzuri sana, lakini lazima uwe na mtaji unaokidhi!
 
Labda kama ni kilimo cha kumpatia chakula chake tu. Lakini kama ni kilimo cha kumpatia hela, asahau "kutoboa" bila mtaji!

Kilimo kinajitaji hela! Kilimo kinahitaji uwe umejipanga! Vinginevyo, utakuwa msindikizaji tu!

Ninawashangaa wanasiasa wanaowashauri vijana wasiokuwa na ajira kwamba eti wakalime! Watalima bila mtaji?

Nimelima! Ninalima! Ndiyo maana nimefahamu kuwa kilimo bila "hela" hakiendi!
Nchi na ma pesa yake tote, wameshindwa kulima ili tujitosheleze na sukari,
Wengi wanaolima, kwanza wali kuwa kwenye ajira,wameishakusanya ukwasi, assets, properties, hata wakiwekeza milioni 10,kwenye nyanya, zikazama,hawapati ugonjwa wa moyo! Mtu kama Kikwete, au pinda,wanalima mahindi, nanasi,wao hawapati shida ya kupata soko, ni simu tu, kwa bakheresa, mzigo unafstwa shambani,
Mfumo wa kilimo kwa ujumla, ni wa hovyo, mathalani kule kagera, unavuna kahawa, unalazimishwa uuze chama cha ushirika/ccm, pesa hupati siku hiyo, sehemu kubwa ya bei, ni Kodi, ushuru, tozo za, ccm, mkulima anapata kiduchu!
Kule mafinga kuna kiwanda cha paleto, serikali ilishindwa kukiendesha, wakabinafsisha, yupo mzungu pale,
Mkulima ukivuna paleto yako, hata kama unavuna kila siku, unapeleka kiwandani,inapimwa, pesa yako hapo hapo, vile vile, kiwanda kinatoa huduma ya bwana shamba, pembejeo kwa wa kulima, sio upuuzi wa serikali wa stakabadhi gala ni,
Ccm Ina jua aslimia 80 ya wa bongo, ni wa kulima, na haitaki wana nchi majority wa we l na nguvu za ki uchumi, minya mapato Yao katika kilimo, kwa figisu, tozo, ushuru, na mauchawi mengine, watoto wa wa kubwa, ukiona wanafanya kilimo, ni kile cha kibabe, ekari kama 100,matrekta kibao, sasa mwenzangu na Mimi, utoke udom,SAuT, udsm, arusha tech, boom huna, uingie kwenye kilimo, na hauna backup, si mwanzo wa kupatwa na kichaa!
 
Back
Top Bottom