Eti wadau kuna biashara ya kukodisha concrete mixer na ikafanya vizuri?

Eti wadau kuna biashara ya kukodisha concrete mixer na ikafanya vizuri?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Habari za asubuhi huku tukiendelea na vita lazima maisha yaendelee Tuamke kuinua uchumi unaoanguka nahitaji kujua kama umewahi kukutana na hii biashara ya kukodisha mtambo wa kuchanganya zege Tena Kwa mikoani huku kweli nitakuwa nimefanya uwekezaji wenye matokeo nikinunua hio mashine?
 

Attachments

  • images (5).jpeg
    images (5).jpeg
    12.7 KB · Views: 9
Kwa mikoani hapana. Ila kwa DAR iko sw kuna rasta man mmoja anazo kama iyo,na ile ya PUMP ya kunyonya maji yakijaa kwenye makazi,Na ile mguu w jini ya kushindilia baada ya kumwaga zege. Na zingine cjui hata kazi zake. Ni anakimbiza mnoo.
 
Kwa mikoani hapana. Ila kwa DAR iko sw kuna rasta man mmoja anazo kama iyo,na ile ya PUMP ya kunyonya maji yakijaa kwenye makazi,Na ile mguu w jini ya kushindilia baada ya kumwaga zege. Na zingine cjui hata kazi zake. Ni anakimbiza mnoo.
Sio kwamba mikoani ndo Pana endelea kukua nasikia unakodisha Mpaka 70000 kumbe Kwa siku hesabu ya coaster hiyo
 
Kuna namaa yangu kaniuliz hap sio mda

Naona inaweza faa

Ipoje hesabu yake kwa siku?
 
Habari za asubuhi huku tukiendelea na vita lazima maisha yaendelee Tuamke kuinua uchumi unaoanguka nahitaji kujua kama umewahi kukutana na hii biashara ya kukodisha mtambo wa kuchanganya zege Tena Kwa mikoani huku kweli nitakuwa nimefanya uwekezaji wenye matokeo nikinunua hio mashine?
Inalipa mkuu!Njoo Dodoma
 
Sio kwamba mikoani ndo Pana endelea kukua nasikia unakodisha Mpaka 70000 kumbe Kwa siku hesabu ya coaster hiyo
Dar zinakodishwa laki 1 mpaka 120,000 operator analamba 30k.

Hiyo 70k Mkoa gani ni hesabu ya coaster?
 
Habari za asubuhi huku tukiendelea na vita lazima maisha yaendelee Tuamke kuinua uchumi unaoanguka nahitaji kujua kama umewahi kukutana na hii biashara ya kukodisha mtambo wa kuchanganya zege Tena Kwa mikoani huku kweli nitakuwa nimefanya uwekezaji wenye matokeo nikinunua hio mashine?
Wachanganya zege kwa mikono lazima wakuroge
 
Back
Top Bottom