Yoel eliud
Member
- Nov 11, 2017
- 28
- 12
Eti wadau, ivi ule msalaba kwenye chupa ya dompo huwa una maana gani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38]Unakunywa damu ya yesu
Alta wine hatakuelewasio dompo bali ni ALTA WINE rejea upya pengine umetuma ukiwa umeshawaka tayari
Alter wineEti wadau, ivi ule msalaba kwenye chupa ya dompo huwa una maana gani??
yesu sio mtu pekee aliyehukumi kusulubiwa.Msalaba ulikuwa mmoja tu aliosuribiwa Bwana Yesu tu, mingine ni miti vyuma na alama za kujumlisha.
Weka pichaEti wadau, ivi ule msalaba kwenye chupa ya dompo huwa una maana gani??
Zilikuwa ni aina ya hukumu enzi zile za utawala wa waroma. Na Yesu si wa kwanza kutundikwa bali wahalifu wote waliohukumiwa kifo kwa njia ya msalaba juu ya kilima Ili Jamii yote ione tukio hilo Ili iogope kufanya uhalifu.Msalaba ulikuwa mmoja tu aliosuribiwa Bwana Yesu tu, mingine ni miti vyuma na alama za kujumlisha.